Nao wamebadilika juzi tu bwashee...lakini nao walikuwa wale wale tu.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kama hujui Hata huyu Mbunge wa Geita Vijijini mh Msukuma aliibuliwa na Star tv Wakati akiwa diwani wa CCM LAKINI alikuwa akipinga sana Ufisadi wa CCM enzi za akina Yahya Mohamed na Dotto Bulendu

Hawa akina Katambi wote Siasa zao za Upinzani walizifanyia Star tv

Diallo ni chuma hata Shujaa Magufuli alimnyooshea Mikono 😂
 
Hivi huyo Tundi Liddi angehojiwa hapo Wasafi Radio ndiyo ingekuwaje??

Huo woya wa kupitiliza kwa chama cha Chadema, ndiyo utakaokiangamiza chama hiko cha CCM!🙆

Kilishakufa muda mrefu, ndio maana wanalazimisha kuhodhi tume ya uchaguzi, maana wanajua uwanja wa ushindani ukiwa sawa imekula kwao. Katika kitu ccm hawatakubali kirahisi ni kuruhusu cdm iwe na nguvu tena mbele ya umma. Na ikitokea Mbowe akaachia kiti Cha uenyekiti kisha Lisu Kawa mwenyekiti wa cdm, ni lazima cdm ifutwe.
 
Bado tuna ushamba wa kiwango cha juu sana, kule Makonda anapambana na zile episode zake mkoa kwa mkoa na wilaya kwa wilaya ila mtu mmoja tu anaogopwa tena kupitia radio isiyowafikia hata robo ya waTZ utadhani nyuki wametumwa do!.
 
Kinyonge sana. Hapa nilipo ni kama nakuona vile. Mafuriko fake hayawapi nguvu tena ya wengine kusikilizwa? Tena uzuri hayo mazungumzo tayari cdm wana kashfa ya kula 2.7b walizopewa kwa hisani ya ccm, ndio ilikuwa sehemu ya cdm kuaibika kwa Lisu kushindwa kujibu. 😂😂
wazee wa malalamiko mnatia huruma mkubwa wenu anakataliwa kama vile ilikua Lazima yaani 🤣

kuweni waungwana mkizuiliwa pande hizi,
find other platforms and air the massage you intend to share to the publics, shida iko wap, kwan Lazima wasafi 🐒

kwa tabia hiyo which media house atawaalika tena ving'ang'anizi wenye nuksi na wabishi kama hivi 🐒
 
Kama hujui Hata huyu Mbunge wa Geita Vijijini mh Msukuma aliibuliwa na Star tv Wakati akiwa diwani wa CCM LAKINI alikuwa akipinga sana Ufisadi wa CCM enzi za akina Yahya Mohamed na Dotto Bulendu

Hawa akina Katambi wote Siasa zao za Upinzani walizifanyia Star tv

Diallo ni chuma hata Shujaa Magufuli alimnyooshea Mikono
Diallo yule aliyekuwa anagombea uenyekiti wa CCM Mkoa aende kinyume na Magufuli kisha abaki salama?!

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
analondomana amezuiwa lisikufike la sivyo angeachwa
Siaje tu hapa.

Mbona J.F iliyaweza ya EPA na mengine mengi tu.

Asitafute sababu za kutuhadaa aje kusema ' oh Wasafi ndio waliomfunga mdomo'

Aje hapa ahojiwe na Kina Erythrocyte, Tindo, au Max mwenyewe.

loh
 
Kasema juzi mujahid twendeni kwa wananchi na marufuku hizo media zote zimekatazwa kurusha mikutano ya wapinzani.Jana nilijiuliza hando alifukuzwa efm,huenda na wasafi akafukuzwa.KAMA MKURUGENZI WA VIPINDI ZINAKUTOSHA jiuzulu.
Ana kimbele mbele sana huyu kijana wa msimbazi mseto!, just a joke my class mate. 😁😁😁
 
Bwahaaaa, bwahaaaaa, nimecheka kwa nguvu kinoma. Juzi Kinana kajiachia dhidi ya cdm, na muhalifu Makonda huko aliko Yuko kwenye ziara zinazofadhiliwa na serekali akifanya maigizo, leo mtu mmoja tu kutaka kuongea kwenye media, simu zimetoka Kila mahali kuzuia Lisu kuongea. Hayo ndio madhara ya kukaa madarakani kwa shuruti, akitokea uliyempora ushindi wake atake kuongea na umma inakuwa hekaheka.
kwa uongeaji wa puppet haipo media house itakubali kupoteza viewers na followers wake kwa kumkaribisha mropokaji asie na staha kama huyo kibaraka.

hiyo media house haipo Tanzania na kama kuna media itampa platform bass hasara na madhara yake kwenye media hiyo kwenye industry yatakua ni makubwa mno 🐒

Kwan kule space na YouTube hapatoshi 🤣
 
Hivi huyo Tundu Lissu angehojiwa hapo Wasafi Radio ndiyo maana yake usalama wa nchi ungekuwa hatarini??

Huo woga wa kupitiliza kwa chama cha Chadema, ndiyo utakaokiangamiza chama hiko cha CCM!🙆
Nape kamlinda Kinana asivuliwe nguo

JamiiForums-787880945.jpeg
 
Mtu yeyote anayependa siasa safi na haki hawezi kushabikia ccm. Demokrasia waliiruhusu wao lakini wanaiogopa CHADEMA. Tena mtu mmoja tu anawaogopesha chama kizima.

CHADEMA ifungue media zake. TBC inaendeshwa na kodi za wananchi wote lakini huwezi kuona CHADEMA wanapewa airtime. Akina millard ayo, clouds wote ni kama hawarushi habari za CHADEMA. Je CHADEMA sio Watanzania? Kama mnakiogopa chama hicho kifuteni ibaki ccm yenu yenyewe.
 

Attachments

  • 1706510947734.mp4
    2.7 MB
Back
Top Bottom