Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
- Thread starter
- #41
Ferocious free-kick from Didier Drogba which comes down off the underside of the crossbar!
Mourinho hana raha... anajua balaa lililo mbele yake endapo itatokea tukarudisha goli hilo!Umeona kick hiyo ya Drog the bar? Kosa kosa ... .wood work ..
Kwenye hiyo free kick Drogba kajitahidiHii match ni kati ya Kocha na Kocha na kati ya Eto' na Drogba & kipa na kipa... Yangu mie macho...
Hii match ni kati ya Kocha na Kocha na kati ya Eto' na Drogba & kipa na kipa... Yangu mie macho...
Hapana; ni jaramba zuri kwa ajili ya mechi hii...Hii speed ya mpira Chelsick hawaiwezi kwa dakika 90 na itawachosha sana mechi ya weekend na Man City.
No comment...Ninatumaini hakutakuwa na matengenezo ya dharura ya JF ... mimi sina runinga, na connection ya mtandao ni mzozo. Ninasubiri updates toka kwako!
Hapana; ni jaramba zuri kwa ajili ya mechi hii...
Ila speed ni kubwa sana match hii mkuu
We're doing fine so far, japo tuko nyuma.
come on inter,2 more goals
Ndio inaonekana kama vile penalty,lakini Kalou nae kakosea kuanguka pale alikuwa na chance nzuri ya kufunga. Wasifikili marefarii wote ni waingereza.oooops! looks like an pen to me!!!!
Roho mbaya tu... Na haiwi hivyo sasa hahahahacome on inter,2 more goals