Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Acha kuwaombea wenzako mabaya ... hata kama Chelsea watafungwa watakuwa wameonyesha kwamba wametawala game kwa kipindi chote cha kwanza. Bado nina amini kwamba Chelsea watatoka sare ama kushinda. Kila la heri wana wa Darajani!
Roho mbaya tu... Na haiwi hivyo sasa hahahaha
Lazima mfungwe bana pumnzi yote mmemalisa sasa kipindi cha pili mtakiona cha mtema kuni kilichomtoa kanga manyoya. Si unamsikia Desaily anasema ulimi wa Chelsick nje nje khe khe kheeeeeeeeeeeee.
Kabla Chelsick hawajakaa sawa Diego Milito anaweka chuma wavuni