Sakoyo
Senior Member
- Aug 23, 2010
- 135
- 7
CLICK THE LINK,
Documentary
Duh! Kaka hii ni BONGOOO au DAFUR!!!????
CLICK THE LINK,
Documentary
Sijaona kitu au nimeshindwa kufungua
Hii inatisha na hatutaki tufike hapa... Video kama hizi ni propaganda chafu sana za watu wasioitakia mema demokrasia.
Video vya namna hii vinapenyezwa na mafisadi ili uchaguzi wa 2010 usimamiwe na JWTZ na ili kura zichakachuliwe kulingana na matakwa ya watawala... hii ni njama ya CCM na wametumia nembo ya CHADEMA kwa makusudi, ili kusudi chadema kionekane chama cha fujo na kisichohubiri amani. Hakuna Mtanzania hata mmoja anayetamani maisha ya Tarime, ni maisha ya hofu na huu ni mtaji mkubwa wa mafisadi kubaki madarakani, wanaanza kuwahubili watanzania kuwa Chadema ni cha fujo na hakistahili! WASHINDWE na WALEGEEE