MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,850
- 32,053
Sharing is caring, mwambie asiwe na hofu.Hahahahhaa acha fujo utakuwa mtama na mwenyewe vacation partner, hehehhe shauri yako.
Sharing is caring, mwambie asiwe na hofu.Hahahahhaa acha fujo utakuwa mtama na mwenyewe vacation partner, hehehhe shauri yako.
Kwa sasa sina mahusiano sirias ya kusema tunaambatana kila kona kama wapenzi ila nina huyu vacation partner tunakutana kipindi cha likizo na tunapeana raha sana. Hivo huyu partner hata kama ni wa kiume pekee siwezi muongeza kwenye list kwasababu mahusiano yetu ni ya msimu. In between night stands zina husika ila kabla ya vacation lazima tupime afya ndo tuna mingle. Labda tukishastaafu ndo tunaweza fanya mahusiano sirias na hapo ndo naweza muongeza kwenye list.
No sisi tupo team ya makomando
anhaa yes yes nakumbukaa...sikupata muda wa kuongea nae ila nimepanga nikienda home lazima nilifanyie kazi alafu nitakupa feedback Kasie.
...... halaf wenye mipini ya ukweli. Shimo lake litakuwa pana kama la kupanda mgomba. Si wa kumwoa huyu. Naomba mungu nisikutane nae. Maana nami ni mwanaume pekeekwahiyo tangu uanze kukwichikwichi umekua na wanaume 7 ?
sawa zimefika KasieOoh at least wewe ni tofauti kidogo..... it's point of attraction. ... hehehehehee
Poa poa waiting for that..... salamu kwa wa nyumbani ukienda.
Ni poa naangalia hao jamaa hapo nashindwa kuelewa kwanini hutokea hivyoNiajee
Ni poa naangalia hao jamaa hapo nashindwa kuelewa kwanini hutokea hivyoNiajee
sawa zimefika Kasie
naomba kuuliza, hivi kwann unadhani hao wanaume ambao kwao wapo wao kama wanaume ndio tatizo la tabia walizokuwa nazo?
nakuhakikishia tena kuwa hutojutaHahahahhaaa nashukuru kujitolea ila kwa sasa hapana sitafuti mahusiano naendeleza maisha niliyoyazoea.... 10 months napiga kazi, 2 months in a year vacations. ... Kiukweli namshukuru Mungu.
pole sana Kasie.Labda kutokana na malezi wanayopata. ...ile kudekezwa hivo hata mpenzi unakuwa unadekewa hata issue za kuwa sirias yeye analeta kudeka kaa yuko kwao. Nilijikuta nashindwa kuvumilia.....
Japo yaweza kuwa si hivyo labda ndo walivozaliwa wako hivo maana wote tabia zilifanana.