wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
TZS vipi, wanakubali pia?hapo park kuna totoz kibao za Ud
dolari yako tu
TZS vipi, wanakubali pia?hapo park kuna totoz kibao za Ud
dolari yako tu
Wanafanyaje hapa mkuu, naomba nielewesheNdo mahitaji ya waganga haya ili sehemu ibambe?
Mmiliki anaendesha V8? Kwa mshahara gan wa fastjet?Hyo Cha mtoto nenda Kitambaa Waiti Ya Tabata(Zamani maeda bar) utafurahi na Roho Yako.
.
Mmiliki anaitwa Jane Kikumbi, Mkinga Mmoja pisi Kali mnoo Ila bahati Mbaya amefunga Ndoa Mwaka Jana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unataka kusemaje?Ngoja nikupe siri ndugu.
Usifungue biashara sehemu eti kwakuwa umeona jirani amelemewa na wingi wa wateja. You will suffer consequences.
Unaweka kuuza bidhaa sh.elfu 2000 kama mbinu ya kuvutia wateja na wasikuone wakaendelea kwenda kununua kwa jirani yako anayeiuza sh.elfu 5.
Unaweza kuwa na lugha laini na nzuri na wateja wasije kwako wakaenda kwa jirani yako ambaye huwakaripia wateja daily.
Hapo new africa mi washanipiga marufuku kuingia toka 2014. Sijui nikija saiv watanikumbuka?muwe mnakujakuja maeneo ya New Africa Casino siku mojamoja au kwenye wine party Hayyt pale.....sasa unakwenda kulewa umeshikilia mtako wa mtu inakuja picha huku JF hakuna privacy kabisa.....
Mbona siri yenyewe hujatupa???Ngoja nikupe siri ndugu.
Usifungue biashara sehemu eti kwakuwa umeona jirani amelemewa na wingi wa wateja. You will suffer consequences.
Unaweka kuuza bidhaa sh.elfu 2000 kama mbinu ya kuvutia wateja na wasikuone wakaendelea kwenda kununua kwa jirani yako anayeiuza sh.elfu 5.
Unaweza kuwa na lugha laini na nzuri na wateja wasije kwako wakaenda kwa jirani yako ambaye huwakaripia wateja daily.
Mmeacha kujazana jazana kama kumbikumbi hapo NASOMASisi huku mbeya tunatamba na mbeya pazuri
SipajuiYaani hii sehemu si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?
Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?
Nitaileta au basiMbona siri yenyewe hujatupa???
Nataka kusema biashara haihitaji kusomea.Kwa hiyo unataka kusemaje?
Haaaaah kukaa kwangu Mbeya sijawahi ingia sijui kunafananaje? Tunashida siku hizi Pson, Mwailubi na Mbeya pazuriMmeacha kujazana jazana kama kumbikumbi hapo NASOMA
Hahaha njiapanda hapoKuna chimbo moja liko Himo njia panda sikumbuki jina ila misiba yote ya Kaskazini lazima ikutane hapo night then asubuhi kila mtu anasepa kivyake.Watu wanakula bia Mpaka maiti zinashangaa yaani mwenye ile chimbo kawini.
Hivo viwanja vyote navijua ila hapo NASOMA papo vizuri kma upo mbeya jaribu kutembelea ila kuna nyomi hatariHaaaaah kukaa kwangu Mbeya sijawahi ingia sijui kunafananaje? Tunashida siku hizi Pson, Mwailubi na Mbeya pazuri
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Ngoja weekend hii nipajaribu kutembeleaHivo viwanja vyote navijua ila hapo NASOMA papo vizuri kma upo mbeya jaribu kutembelea ila kuna nyomi hatari