Toa takwimu za waliojiandikisha na asilimia za matokeoCCM imeiba uchaguzi Zanzibar. Kwa nini Seif anakubali matokeo wakati kihesabu CUF ndiyo walioshinda? Angalia kura za watu waliojindikisha kupiga kura na waliopiga kura utaona kuna wizi uliotokea.
Again, kwa nini Seif anakubali matokeo wakati CUF ndiyo walioshinda. Seif ni kibaraka wa CCM.