Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 123
Nategemea a hot debate next week juu ya Richmond pamoja na kwamba kuna watu wamesha wajibika .Wabunge si wajinga waache kujadili hili .Labda lizimwe but am sure serikali lazima itoe majibu .Now Mwanyika anangoja nini kujiondoa ama anangoja huruma ?Mbona yuko kimya ?
Hot debate in which direction? I am sure kuna wabunge watataka kuifufua lakini wabunge wa CCM wote watalimwa vimemo alivyovisema Mama Kilango na wabunge wa upinzani watazimwa kama wanavyozimwa kila siku.
Lowassa kajiuzulu and that is the best you can get out of this system.Ushamsikia Mizengo Pinda anasema "yaliyopita si ndwele tugange yajayo"
Lowassa was privy to many of Kikwete's deals na kum corner kunaweza kusababisha a mess on Kikwete's hands.He does not want that.
Next week kila mtu atakuw kwenye euphoria ya serikali mpya.