Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 123
Mzee ES,
Respect Mkuu. Hivi unataka kuniambia kuwa kwa kujiuzulu kwake basi asihojiwe tena na Bunge? Tunataka wakirudi, akalishwe kikao na ajieleze. Kama tutasema hamna sababu ya yeye kujieleza tena maana si Waziri Mkuu, basi ina maana Rais kakubali kuzimika kwa hoja na uchunguzi mzima ikiwa mtuhumiwa mkuu atapewa kinga ya kutotoa au kujibu tuhuma kwa kuwa kajiuzulu!
Hivyo basi, narudia kuwa Kikwete kwa kukubali kwa Lowassa kujiuzulu bila kujibu hoja au kumrudisha kujibu tuhuma kuna maanisha kazi ya Mwakyembe ilikuwa ina walakini tangu mwanzo na dhumuni halikuwa kuchunguza Uhujumu bali ni kuleta hoja za kumsakama Lowassa aishie kujiuzulu na kuachia ngazi.
No wonder alisema it is about Uwaziri Mkuu! He walks a free man, despite being disgraced politically!
Rev,
I bet you my bottom dollar that the issue is over and you will hear no more of it.
Kumshitaki Lowassa au kumbana bungeni maana yake itakuwa kumnyang'anya kila kitu, a man with nothing to lose is a dangerous man.Lowassa akiwekwa katika position hiyo anaweza kuwa a loose canon, judging from the jazba aliyoonyesha kwenye resignation speech Kikwete would not want Lowassa to go ogg on him and his IPTL deal and others issues kama campaign finances.
Kwa hiyo Lowassa is sadly, home free.