In DEFENCE of LOWASSA (Warioba & Butiku on it)

Huwezi kukamilisha fact finding kama hujamuuliza mtu ambaye evidence ina m point out.Sasa kama vile vimemo vyote vina a plausible explanation from Lowassa je, si ripoti inakuwa hogwash bila kumuita Lowassa?

Guys lets face it, Bimkubwa ametoa analysis nzuri tu hapo juu ambayo hata mimi nimei endorse,political machinery yetu hairuhusu mtu mkubwa kama PM akamatwe na sheria kwani tumeona hata watu kutoa ushahidi ni tatizo, but at the end of the day the end justifies the means and sometimes when you are fighting gross corruption you have to improvise, kitu ambacho Mwakyembe alifanya.Hata katika uandishi wa habari, kwa wanaofuatilia principled journalism, huwezi kuandika article kumaccuse mtu bila ya kumpa nafasi ya kujieleza na ndiyo maana wanaojua kuandika watakuambia "tulipofanya jitihada za kuongea na so and so hatukufanukiwa" au tulipewa "no comment" il mradi wakuonyeshe kuwa article yao haiko one sided.

Sasa kwa msingi huo ripoti ya Mwakyembe technically iko one sided kwa sababu haikumpa accused nafasi ya kujitetea, which is what Lowassa is hanging on.Lakini ukiisoma ripoti au hata Kumsikiliza Mama Malecela bungeni utaona evidence ni kubwa sana, halafu hata zaidi ya hivyo Lowassa hakutoa a point by point rebuttal, kitu kinachoonyesha kuwa hana la kujibu on issues, atavielezaje vimemo? atazielezaje kauli za Msabaha?

Lets be fair, technically what was done is wrong but it was necessary as this was uncharted territory.Otherwise tungekuwa na ripoti nyingine ya Warioba.


Muungwana Pundit heshima mbele. Naomba nitofautiane na wewe kwa hii analysis yake. I once again say it, Lowassa was not the accused person! na hakuwa mlengwa wa hii tume ya Harrison! In otherwords alitokea as a secondary material! Unless kama ulitaka hii tume ifanye kazi nje ya terms of reference. WANGEMUITA KWA VIGEZO VIPI? Angewauliza hii tume inanihusu nini...kamuulize waziri wa Nishati ndo muhusika...Kifupi kama unakumbuka au umesoma report hata Mwakyembe amesema, kama Msabaha angekubali culpabality ya Lowassa wangemuita, ila alikataa..na kwa hiyo prudently..wakatoa evidence zao zilivyo.

Na tume haikushauri PM afukuzwe au aadhibiwe! kifupi kama PM angekuwa innocent ange-rebut there and then kwa kuelezea circumstances za involvement yake katika hii issue, na at the end of the day...bunge lingetekeleza recommendations. na kwenye recommendations hakuna waliposema Lowassa afukuzwe kazi!!!! Sema naturally NAFSI ILIMSUTA!!!! kwamba I was responsible and I have to carry my cross!

Analogy yako na Warioba Commission is not applicable here mkuu wangu. Why? Report haikutekelezwa kwa sababu walioiunda hawakutaka kuitekeleza albeit its imperfections. Hata hii ya Mwakyembe walioiunda wasingetaka kuitekeleza ingekuwa consigned kwenye dustbin! So outcome na implemention ya report hinges on political will to accept the consequences of the findings. while in Mwakyembe`s report JK was ready, in WARIOBA`S REPORT MKAPA WAS NOT ready to accept the consequences. THATS THE DIFFERENCE.

Tusitake kuitumia vibaya doctrine ya natural justice! Haikuwa violated kwa sababu haikuwa applicable. Simple.

Weekend njema mkuu!
 
Lets be honest and completely true to ur self!!! nani inamuingia akilini kuwa eti...kwa kumhoji Lowasa kwa masaa say 12 au zaidi..HILO lingemfanya asiwe na makosa...? Nani inamuingia kichwani kuwa Unaweza kufuta ufisadi wa kiwango kikubwa kama cha Lowasa eti kwa kumhoji tu mbele ya kamati...? Cmon guys lets be serious..ushahidi uliopatikana ulikuwa unatosha kufikia kilichofikiwa. Mahojianao yoyoye yasingibadili ufisadi wa lowasa kuwa yeye sio fisadi.

Nani anataka kuamni kuwa Lowasa leo hii bado angekuwa PM safi sana eti tu kwa sababu alihojiwa. Kwahiyo KUhojiwa kunatumika kama scapegot.. hakuana cha kumhoji wala cha nini!!! akubaliane na makosa !!!

Hata yeye anajua kuwa anacheza na sisi, anatuchezea na hicho kipengele cha MAHOJIANO..anajua kabisa..alivyokitumia kama kisingizio chepesi..kuondolea aibu ya mambo aliyofanya...hakukiri makosa..kwa kujifichia nyuma ya "Sijahojiwa"

Ametumia kipengele hicho kufichia aibu yake... ametumia kipengele hicho kama parachuti...He has served his face kwa kipengele cha mahojianao..akae kimya...akubali yaishe..
 
Kama kaonewa si aende mahakamani!!! au haziamini mahakama zetu?
 
Kila mtu aliyekuwa implicated ilitakiwa aitwe ili apate nafasi ya ku set the record straight. Huna ripoti kamili kama ripoti inatoa ushahidi unaonionyesha kuwa nimekosea halafu hujataka hata kusikia upande wangu wa story.

It is a technicality lakini kwa watu wanaofuatilia the rule of law Lowassa ana point.

Now if you ask me did justice prevail I will say yes, kwa sababu machinations za kwetu zingefanya sheria yenyewe i obstruct justice.

But a fair hearing, kitu ambacho hata kanuni za uandishi tu, sembuse kamati ya bunge, zinasisitiza, haikuwekwa mbele.
 
Masanja: Maelezo yako hapo juu yamenipa mwanga mzuri sana. That is why JF is a fantastic learning tool.

Still, I wish he had been an opportunity to rebuttal for whatever was implicating him.
 
Lets be honest and completely true to ur self!!! nani inamuingia akilini kuwa eti...kwa kumhoji Lowasa kwa masaa say 12 au zaidi..HILO lingemfanya asiwe na makosa...? Nani inamuingia kichwani kuwa Unaweza kufuta ufisadi wa kiwango kikubwa kama cha Lowasa eti kwa kumhoji tu mbele ya kamati...? Cmon guys lets be serious..ushahidi uliopatikana ulikuwa unatosha kufikia kilichofikiwa. Mahojianao yoyoye yasingibadili ufisadi wa lowasa kuwa yeye sio fisadi.

Nani anataka kuamni kuwa Lowasa leo hii bado angekuwa PM safi sana eti tu kwa sababu alihojiwa. Kwahiyo KUhojiwa kunatumika kama scapegot.. hakuana cha kumhoji wala cha nini!!! akubaliane na makosa !!!

Hata yeye anajua kuwa anacheza na sisi, anatuchezea na hicho kipengele cha MAHOJIANO..anajua kabisa..alivyokitumia kama kisingizio chepesi..kuondolea aibu ya mambo aliyofanya...hakukiri makosa..kwa kujifichia nyuma ya "Sijahojiwa"

Ametumia kipengele hicho kufichia aibu yake... ametumia kipengele hicho kama parachuti...He has served his face kwa kipengele cha mahojianao..akae kimya...akubali yaishe..

Azimio,

Tatizo siyo Lowassa tunajua Lowassa fisadi hata kabla ya ripoti.Na kama nilivyosema the end kinda justifies the means.

But lets not kid ourselves that Mwakyembe is flawless na amefuata due process na rule of law.Hakufuata.

Tatizo linakuja kwangu mimi kwamba tumeshaweka precedent, kesho watakutaka wewe watu na witchhunt, watakuundia tume, hata wasikuite, halafu wakuMwakyembe.

Hapo ndipo utaona umuhimu wa Lowassa kuitwa na kuhojiwa.Ingeitoa kamati katika lawama. On the otehr hand ingeweza kusababisha matatizo kwa kamati ndiyo maana wameamua wasimhoji.
 
Binafsi, Sio mwana Siasa na wala si Mwanasheria.

Simtetei Lowasa hata chembe, na wala siikatai Ripoti ya kamati ya Bunge ikiongozwa na Dr. Mwakyembe (sijui nimepatia spellings?). Hongera zao kubwa sasa sana kwa TRANSPARENT waliyoonyesha, hasa pale walipoweka wazi hata ule ushahidi uliotolewa nje ya kiapo!, Big up kwa hilo na ripoti yote, wahusika wote hongera zao kubwa.

Lazima tukubali ni kazi nzito wamefanya, na yenye vitisho/ya hatari kwani imehusisha BIG FISHES! Kama ni mabonde na milima, kweli wameyavuka, na nasema wana ni mashujaa kwani wameweza kuweka mambo yote hadharani bila kuogopa chochote.

LAKINI........, lazima tuwe wakweli kwamba Ripoti pamoja na kwamba ni nzuri, ilikuwa na mbwembwe nyingi sana na sometimes unaweza fikiria it was meant to attack somebody! Kwamba yeah, finally we got him!

Tafadhali, kieleweke sipo kumtetea Lowasa hata kidogo, lakini tuwe wazi Hakutendewa haki hata kidogo. Kwanza kama mtuhumiwa mkuu according to the report, hakuhojiwa hata siku moja, na kama alitumiwa the so called summons, mbona haikutajwa kwenye report kwamba aliitwa labda kutoa maelezo ama whatever na kamati akakaidi? This concluded that hawakumuita kumuhoji sababu that was their TARGET!

Kwa nini nasema was their target? May be sababu walishaujua ukweli kwamba Lowasa amehusika kwa 100% na kashafa hii, wkamati ilitaka tu kukamilisha ripoti pasipo kumuhoji mtuhumiwa kitu ambayo si hali hata kidogo.

Hakukuwa na haja ya Kamati kupendekeza hatua gani zichukuliwe dhidi wa watuhumiwa wa kashafa nzima, wala kumkumbusha Lowasa wajibu wake, nakataa kabisa. Wao kama kamati, wangewasilisha tu findings zao, of course wangeweza kutoa suggestion mwisho lakini sio kusisitiza nini kifanyike. Ingependeza zaidi kuliko ilivyokaa sasa kishabiki.

Otherwise, Job well done for the Kamati.
 
Muungwana Pundit heshima mbele. Naomba nitofautiane na wewe kwa hii analysis yake. I once again say it, Lowassa was not the accused person! na hakuwa mlengwa wa hii tume ya Harrison! In otherwords alitokea as a secondary material! Unless kama ulitaka hii tume ifanye kazi nje ya terms of reference. WANGEMUITA KWA VIGEZO VIPI? Angewauliza hii tume inanihusu nini...kamuulize waziri wa Nishati ndo muhusika...Kifupi kama unakumbuka au umesoma report hata Mwakyembe amesema, kama Msabaha angekubali culpabality ya Lowassa wangemuita, ila alikataa..na kwa hiyo prudently..wakatoa evidence zao zilivyo.

Na tume haikushauri PM afukuzwe au aadhibiwe! kifupi kama PM angekuwa innocent ange-rebut there and then kwa kuelezea circumstances za involvement yake katika hii issue, na at the end of the day...bunge lingetekeleza recommendations. na kwenye recommendations hakuna waliposema Lowassa afukuzwe kazi!!!! Sema naturally NAFSI ILIMSUTA!!!! kwamba I was responsible and I have to carry my cross!

Analogy yako na Warioba Commission is not applicable here mkuu wangu. Why? Report haikutekelezwa kwa sababu walioiunda hawakutaka kuitekeleza albeit its imperfections. Hata hii ya Mwakyembe walioiunda wasingetaka kuitekeleza ingekuwa consigned kwenye dustbin! So outcome na implemention ya report hinges on political will to accept the consequences of the findings. while in Mwakyembe`s report JK was ready, in WARIOBA`S REPORT MKAPA WAS NOT ready to accept the consequences. THATS THE DIFFERENCE.

Tusitake kuitumia vibaya doctrine ya natural justice! Haikuwa violated kwa sababu haikuwa applicable. Simple.

Weekend njema mkuu!

Daahh......JF inatia moyo kwa kweli...........Masanja well said!!

huko nyuma EL alishasema kuwa suala la Richmond serikali ilikuwa na NIA NJEMA kabisa.....unfortunately hiyo nia njema kamati teule haikuiona (kulingana na evidence walizofanikiwa kuzipata so far)......hiyo nia njema imekuwa kilio kwa mlalahoi kwa gharama za umeme kupanda,

in short EL hakupendezwa na issue nzima kuwekwa hadharani, kwani ushahidi uliotolewa asingeweza kuu-prove otherwise.........na angekuwa na ushahidi wa kutosha kupangua hoja za kamati...........ninavyomfahamu EL angepangua moja hadi nyingine ili kulinda heshima yake then angejiuzulu na hapo kilio cha natural justice atleast kingekuwa na maana.

alijitahidi kwa hoja za KIDHAIFU kupangua hoja nzito na kukimbilia kujiuzulu..................fortunate Mh Seleli akazisimamia hoja nzito za kamati

hakuna cha precedence wala nini hapa.............kama ni precedence aliianza yeye kwa kumtimua Mhandisi kwa kutompa natural justice!!!
 
Binafsi, Sio mwana Siasa na wala si Mwanasheria.

Simtetei Lowasa hata chembe
, na wala siikatai Ripoti ya kamati ya Bunge ikiongozwa na Dr. Mwakyembe (sijui nimepatia spellings?). Hongera zao kubwa sasa sana kwa TRANSPARENT waliyoonyesha, hasa pale walipoweka wazi hata ule ushahidi uliotolewa nje ya kiapo!, Big up kwa hilo na ripoti yote, wahusika wote hongera zao kubwa.

Lazima tukubali ni kazi nzito wamefanya, na yenye vitisho/ya hatari kwani imehusisha BIG FISHES! Kama ni mabonde na milima, kweli wameyavuka, na nasema wana ni mashujaa kwani wameweza kuweka mambo yote hadharani bila kuogopa chochote.

LAKINI........, lazima tuwe wakweli kwamba Ripoti pamoja na kwamba ni nzuri, ilikuwa na mbwembwe nyingi sana na sometimes unaweza fikiria it was meant to attack somebody! Kwamba yeah, finally we got him!

Tafadhali, kieleweke sipo kumtetea Lowasa hata kidogo, lakini tuwe wazi Hakutendewa haki hata kidogo. Kwanza kama mtuhumiwa mkuu according to the report, hakuhojiwa hata siku moja, na kama alitumiwa the so called summons, mbona haikutajwa kwenye report kwamba aliitwa labda kutoa maelezo ama whatever na kamati akakaidi? This concluded that hawakumuita kumuhoji sababu that was their TARGET!

Kwa nini nasema was their target? May be sababu walishaujua ukweli kwamba Lowasa amehusika kwa 100% na kashafa hii, wkamati ilitaka tu kukamilisha ripoti pasipo kumuhoji mtuhumiwa kitu ambayo si hali hata kidogo.

Hakukuwa na haja ya Kamati kupendekeza hatua gani zichukuliwe dhidi wa watuhumiwa wa kashafa nzima, wala kumkumbusha Lowasa wajibu wake, nakataa kabisa. Wao kama kamati, wangewasilisha tu findings zao, of course wangeweza kutoa suggestion mwisho lakini sio kusisitiza nini kifanyike. Ingependeza zaidi kuliko ilivyokaa sasa kishabiki.

Otherwise, Job well done for the Kamati.

Karibu jamvini!!!alafu tumekupata mkuu kwenye msisitizo wako hapo,

sasa kama alionewa kwa nini alikimbilia kujiuzulu si angekomaa akamwaga naye his side of the story!!!

Watu wangapi amewadhalilisha mbele ya umati wa watu, wangapi amewaambia hawajui kazi zao?
Aende salama tuu mie na walala hoi wengine HATUTOMMISS!!!
 
Naomba nirudi tena ukumbini maana tusije tukapotoshana kuhusiana na kitu hiki kinachoitwa 'tume' pamoja na kwa nini lowassa hakuhojiwa. naomba niwasilishe japo mambo haya kwa lugha ambayo naona ni rahisi sana kuweka hizi definitions maana ndiko yalipotoka na sisi tumebaki kuwa wapokeaji tu.

Kwanza tujiuliza hii tume iliyoundwa ni ya nini? Hii tume kwa lugha ya kiingereza inaitwa 'commission of inquiry'.Before the Government submits a proposal for a new law/for an investigation generally it needs to examine the various alternatives available/problem causing factors. This task is assigned to a specially appointed commission of inquiry.The commission can comprise one or several people and may include experts, public officials or politicians. As in our case we have members of parliament.



When it appoints a commission of inquiry the Government (hapa bila shaka tuseme kwa kuwa rasi ndiye aliyeitisha hii tume basi yeye ndiye mwenye mamalaka ya kutoa terms of reference) also provides the commission with a set of guidelines for its work. The guidelines are known as terms of reference, and they set out the questions to be examined by the commission, any problems that need to be solved and the date by which the Government wants the commission to complete its inquiry.

TUPO HAPO JAMANI?? sasa kwa wale wote mnaouliza kwa nini Lowassa hakuhojiwa mara karamagi naye hakuhojiwa?? Basi yaelekea kuhojiwa kwao haikuwepo kwenye terms of reference ya inquiry yenyewe.

haya na mara wakimaliza kazi yao wanafanya yafuatayo : After a commission of inquiry has submitted its proposals and recommendations in a report, the Government forwards the report to relevant public agencies, organisations, and/or municipalities in order to receive their comments. This is known as the referral of a report for consideration. Sasa katika kesi yetu referral ilikuwa BUNGE LETU TUKUFU na siyo mahala pengine.

Kumbuka alicho-present Mwakyembe ni sehemu ya hiyo report yaani executive summary, akifanya juhudi kubwa kutoa mwangaza wa yale yaliyotokana na uchunguzi wao. Na ikiwa walipewa terms of reference not to talk to wahusika halisi bali kukusanya information kutoka kwa waliotumika kufanikisha hili sakata na yote yakawa yanarudi kule kule mlingotini (Kwa lowassa) utasema kuwa hawakutenda haki kutokumhoji?? Mbona kazi yao haikuwa ya 'kumhukumu' lowassa?? Maana tume ile si mahakama. Lowassa amejihukumu mwenyewe tena mbaya zaidi ame-confirm hizo allegations kwa kutaka kujieleza mbele ya bunge. If he had a brain (no offense Lowassa family) he would have simply said "In regard to the incriminating allegations from the recommendations made by this commission, I hereby tender in my resignation letter, in effort to allow necessary investigations and problem-solving acts be done on my office through lawful procedures "

Hakutakiwa kuja kusema mambo ya mbwembwe kutaka kuonekana mwanaume wa shoka, afterall I was also appalled pale ambapo Pinda naye alikuwa anaongea kama a guilty man trying to thank a thief!! What for??

Samahani kwa maoni mengi ila nimeona ni vema nitoe japo mfano wa terms of reference za commission moja labda picha kamili mtaipata.

OUTLINE OF PROPOSED PROCEDURE
FOR CONDUCTING THE
PRESIDENTIAL COMMISSION OF INQUIRY
1. The Commissioners shall conduct the Inquiry strictly within and in accordance with the terms of reference.

2. The Inquiry is inquisitorial and not adversarial. Therefore, the rules which obtain in litigation with its adversarial type confrontations between disputants do not apply. The Inquiry shall be conducted in the manner which, in the opinion of the Commissioners, will best serve the task of reporting to His Excellency, the President, on the matters mentioned in the terms of reference.

3. The Commissioners may in any case it considers appropriate take the evidence or part of the evidence of any Witness in camera.

4. The Commissioners alone shall decide what witnesses will be called to give evidence in the Inquiry and/or to produce documents, books, plans, etc.

5. As a matter of generality, the Commissioners’ decision as to what witnesses to call will be based on the relevance of the contents of written statements or memoranda (and the need to avoid superfluity).

6. Persons wishing to testify before the Commissioners will be required to submit in advance written signed statements or memoranda containing the nature and substance of their proposed evidence. Persons wishing to tender documents, books, plans, etc will be required to submit copies of such documents, books, plans, etc., along with their written statements or memoranda. The address of such persons must be stated in the statements or memoranda.

7. A deadline date will be set for submission of statements or memoranda to the Secretariat and will be published in advertisements in the newspapers in which the public will be invited to submit their statements or memoranda before testifying before the Commission.

8. The Commissioners will consider all the statements or memoranda submitted on or before the deadline date. The Commissioners are not obliged or bound to consider but may consider statements or memoranda submitted after the deadline date.

9. Without prejudice to the statutory right of the Commissioners to summon any person to attend and testify or to produce documents, books, plans, etc., no person will be allowed to testify before the Commissioners and/or to produce documents, books. plans, etc., unless his or her written and signed statement or memorandum is made available to the Commissioners before he or she is allowed to testify.
 
Kuna masuala mengine hayahitaji upeo wa juu kuyajadili.Hivi hao wanaomtemtea Lowassa wanataka kutuambia wao wana uchungu sana na Uwaziri Mkuu kuliko yeye mwenyewe (Lowassa)?Point yangu hapa ni kwamba Lowassa amelazimika kujiuzulu SIO KWA VILE TUME IMEMCHAFUA JINA MBELE YA UMMA BALI KWA UFISADI WAKE KUWEKWA HADHARANI.Kuthibitisha kuwa huyo jamaa alikuwa mpenda madaraka ni muhimu kurejea enzi za Boyz II Men (na maswali ya Nyerere kuhusu "usafi" wa Lowassa) hadi namna alivyokwambisha mara kadhaa mijadala mbalimbali bungeni kuhusu suala la Richmond.Mtu wa namna hii sio wa kujiuzulu kwa vile tu amechafuliwa jina.Huyu ni jambazi ambaye 40 yake imefika pasipo yeye kuamini kuwa imefika.

Haya tuamini maneno ya vimbelembele kuwa ameonewa.Kwanini asiende mahakamani?
 
Mlalahoimimi binafsi sijabisha kuhusu issue ya Lowassa na wala simtetei, he had to go, he is gone,good riddance.

Tatizo ni rule of law na due process haijafuatwa na hajapewa nafasi ya kujitetea kabla ya tume kukamilisha ripoti, .Hii ni bad precedent na wamempa msemo sasa, kwa watu wanaojua sheria ukiisoma speech ya ku resign ya Lowassa bungeni ana point kwa sababu ana ji present kama mtu aliyeonewa bila kupewa nafasi ya kusafisha jina.Na kama anajiuzulu, kama alivyosema Karamagi, yeye ali imply kwamba ana jiuzulu kwa sababu ya kuondoa wingu la rushwa kwenye serikali hata kama process haikufuatwa kwani mke wa Kaisari siyo tu hatakiwi kufanya mabaya, hatakiwi hata kushukiwa kufanya mabaya.Simple as that.

Na kama
 
Naona sasa watu wanaanza kumwandama Mwakyembe kwa kumtetea EL. Hii ni ajabu. riport hii haikumfukuza kazi EL, wala hapana mtu yoyote amefanya hivyo, ni nafsi yake imemusuta kwa madhambi aliyokuwa akiyafanya kiasi ameshindwa kuendelea kukaa penye kiti cha UPM. Unadhani Watanzania masikini effect ya mikataba mibovu kama hii inawaumiza kiazi gani.
Tusizidi kupoteza muda, wanaotetea hawataki kukubali kushindwa wakati mhusika kesha kiri makosa. Licha ya kuwapongeza Wana kamati teule na mwenyekiti hatuna budi kuwaombea usalama wa maisha yao maana hapa shetani hajafurahi. Labda niwakumbushe watetezi wa El kuwa alipochaguliwa kuwa PM hakuambiwa ni wa milele. kwa sasa ndio ukomo, akijisafisha anaweza bahatisha penye awamu nyingine au kuwa Mzee wa Kanisa akiwahudumia watu kwa malipo ya baadaye.
 
I dont think you know what you are talking about. wewe ndo unatumia emotions to come to lowassa's rescue. Tume imefanya kazi nzuri na inastahili pongezi na wala haijamuonea Lowassa. Labda Lowassa angeeleza kwa kina ni kipi tume ilichokitaja ambacho ni cha uwongo. Tume ilichofanya ni to lay down the facts. Tujaribu kuwa rational when judging people. After looking at all the evidence do you believe listening to Lowassa would have made any difference? How many times has he used his position&influence to block discussions on the richmmond saga? even this time up to the last moment he was fighting to block the presentation of the report only for the speaker to come to the rescue of the country. If we were in court, the commission has proved beyond reasonable doubt that the former PM abused power and did not act in good faith. I think a point to ponder is why did he fight so much for richmond? wat was there for him to gain? kwa nini PCCB issued a clean report earlier? its a matter of fact the country never benefited from the richmond contract.
HAVING DISCOVERED THE RICHMOND CONTRACT WAS AWARDED IN DUBIOUS CIRCUMSTANCES, IS UNFAIR AND BLEEDING TANESCO AND THE GOVERNMENT, WHAT IT THE GOVERNMENT'S RESPONSE?
 
Kuna watu wanaoangalia mambo juu juu na kuwa swept na euphoria of the moment.Watu kama hawa ndiyo walipimgia kura Bush aende Iraq bila kusoma Patriot Act na leo wanajilaumu.

Kuna wengine walikuwa deeper than what meets the eye, tunawajua wali oppose vita tangu mwanzo.

Sijamtetea Lowassa, nimesema mwanzo Lowassa had to go, whether by rule of law or by being shown how the west was won as Mwakyembe did.

It happenned, this is good for the country.What would have been better for the rule of law is if Lowassa would have had a chance to present his case to the Mwakyembe committee before it was presented to parliament.This a simple matter of due process and rule of law, that every accused deserves a hearing.Lowassa did not get a chance to supposedly clarify himself.

I understand there are all sorts of technicalities which could have caused this, but the simple fact remains ukiwa implicated bila kupewa nafasi ya kujitetea simple precept za rule of law and due process hazijaheshimiwa.

So lets stop kidding ourselves kwamba Mwakyembe did things A-OK, because he did not!
 
Ndugu yangu Pundit, are you a law scholar? mbona unatumia terms out of place. No precedent was set coz lowassa hakuhukumiwa na wala tume ya mwakyembe si mahakama. Pia kilichomfanya Lowassa ajiuzulu ni yaliyokuwamo kwenye ripoti. if he believed he was clean, he had time for rebattle in the assembly. He was still the PM and the whole nation was watching live. Wasnt that the perfect time to settle the score with the commission?! He instead opted for a closed session chat with the commission!!
the legal maxim AUDI ALTERAM PARTEM (HEAR THE OTHER SIDE) applies to tribunals or courts of law. These legal bodies work on the principle "everyone is innocent until proven guilty." The work of probe commissions is to critically examine the whole issue at hand including following all the leads anywhere so as to come up with an impartial and credible report not necessarily hearing from everyone especially if that person proves to be a hinderance in the whole process. As for Lowassa the evidence is beyond reasonable doubt the he is corrupt. Also several letters were sent to him seeking explanations to which there were no replies. If Lowassa feels cheated& defamed, the doors of all courts of law in the country are open for him to clear his name.

I think we should put our efforts to make sure whatever he stole from the state is returned. Kama kuna mwenye info ya estimates alizoiba tumwagie tupate kujua.
 
Pundit,
Masanja ameandika hivi
Tume haikuundwa kumchunguza Lowassa. NO! Lowassa angekuwa hajatendewa haki kama tume ingetumwa kuchunguza role yake kwenye hii saga na ikatoa conclusion bila kumsikiliza. That would be wrong. But for now, Mwakyembe hana any iota of blame! Sema tuu Lowassa alitaka kuanguka kwa kujihami..last kicks 0f a dying horse.....

Mkuu nadhani hii inaondoa kabisa sababu zako kwani Ofisi ya Lowassa ndiyo imehusika na msukumo wa hiyo tender. Kama umeisoma vizuri report ile utakuta kwamba wahojiwa wengi walishindwa kumtaja jina (on record) mhusika toka ofisi ya waziri mkuu hivyo basi dhana iliyotumika haikuweza kutoa ushahidi tosha wa kumhusisha Lowassa ktk uchunguzi huo kwani Lowassa angewauliza swali moja tu wasingeweza kujibu..
Nani kasema mimi nahusika na deal hilo?..
Sasa basi baada ya report kufikishwa bungeni, yalitolewa mapendekezo ambayo nadhani ni pendekezo la 16 ambalo limemfunga kamba ya shingo waziri mkuu...

Pendekezo hilo linasema hivi:-
Uhuru mkubwa ambao viongozi wa Wizara ya Nishati na Madini waliutumia bila wasiwasi katika kuhakikisha kwamba kampuni waliyoitaka, Richmond Development Company LLC, inapewa zabuni ya umeme wa dharura; maelekezo ya mara kwa mara ya Waziri Mkuu kwa Wizara katika kila hatua ya mchakato huo; upendeleo wa dhahiri ambao Richmond Development Company LLC iliupata kutoka taasisi mbalimbali za Serikali k.m Kituo cha uwekezaji (TIC) ambacho kilifikia hatua ya kufumbia macho baadhi ya taratibu zake za msingi ili kuipa kampuni tanzu ya Richmond Development Company LLC cheti cha uwekezaji haraka iwezekanavyo; kutotimiza masharti ya Bodi za Makandarasi na Wahandisi na Wizara ya Nishati na Madini kuikingia kifua kampuni hiyo isichukuliwe hatua za kisheria; uteuzi wa mwisho wa Richmond Development Company LLC kuwa mkandarasi kufanywa na Waziri Mkuu mwenyewe tarehe 21 Juni 2006; uamuzi wa kuiteua Richmond Development Company LLC kuwa mkandarasi kusafishwa na TAKURU ( sasa TAKUKURU) kuwa ulikuwa wa wazi na wa haki; uamuzi wa Serikali kuizuia TANESCO isivunje mkataba na kampuni hiyo licha ya sababu zote kisheria kuwepo, ni baadhi tu ya viashiria vya nguvu kubwa iliyo juu ya Wizara ya Nishati na Madini kutumika katika suala hili na Kamati Teule kutokana na ushahidi wa kimaandishi, kimazingira na wa mdomo, inaiona nguvu hiyo kuwa ni Waziri Mkuu.

Kwa hiyo mkuu wangu kama waziri mkuu angetaka kukanusha report hiyo iliyokuwa wazikabisa angeweza kama alivyofanya Karamagi ktk kujibu hoja ama madai ya Zitto, He had the report mapema kabla haijawasilishwa bungeni. he knew what was coming na tunaelewa pia alikwenda kumwona rais kabla hajaenda Dodoma kuhusiana na report hii pia kama unakumbuka alitoa maonyo chungu nzima bungeni soma wakati angetumia wakati huo kujisafisha ama kuomba muda wa kujieleza...

Kifupi naona ajabu sana kuona bado yuko bungeni hali mbali na kulidanganya bunge ni mbunge aliyetumia vibaya nafasi hiyo kama waziri mkuu...Na ilitakiwa by now yeye, karamagi, Msabah, Hosea, Gire, mwanasheria mkuu na wengone wote mali zao kuwa freezed na malipo yote ya Tanesco millioni 152 kwa siku yaanze kuhesabiwa toka mifukoni mwao..
Hatuwezi kuendelea kulipia kodi zetu hali watu hawa wako huru tena basi wanashiriki ktk vikao vya kitaifa... damn!
 
Pundit mkuu wangu hicho kipengele cha Lowassa kutokuitwa na kamati teule wala kisikukondeshe, kama walivyosema wengi hiyo ni kamati teule wala siyo jury, hivyo hajahukumiwa na cha msingi hiyo kamati teule imefuata hadidu za rejea ilizopewa.
 
Ndugu yangu Pundit, are you a law scholar? mbona unatumia terms out of place. No precedent was set coz lowassa hakuhukumiwa na wala tume ya mwakyembe si mahakama. Pia kilichomfanya Lowassa ajiuzulu ni yaliyokuwamo kwenye ripoti. if he believed he was clean, he had time for rebattle in the assembly. He was still the PM and the whole nation was watching live. Wasnt that the perfect time to settle the score with the commission?! He instead opted for a closed session chat with the commission!!
the legal maxim AUDI ALTERAM PARTEM (HEAR THE OTHER SIDE) applies to tribunals or courts of law. These legal bodies work on the principle "everyone is innocent until proven guilty." The work of probe commissions is to critically examine the whole issue at hand including following all the leads anywhere so as to come up with an impartial and credible report not necessarily hearing from everyone especially if that person proves to be a hinderance in the whole process. As for Lowassa the evidence is beyond reasonable doubt the he is corrupt. Also several letters were sent to him seeking explanations to which there were no replies. If Lowassa feels cheated& defamed, the doors of all courts of law in the country are open for him to clear his name.

I think we should put our efforts to make sure whatever he stole from the state is returned. Kama kuna mwenye info ya estimates alizoiba tumwagie tupate kujua.

Angalia usomi usikufumbe macho, I am not a lawyer and I am not talking legalese in case you are confusing my simple english with technical terms

Look up the word precedent
2. any act, decision, or case that serves as a guide or justification for subsequent situations.

http://dictionary.reference.com/browse/precedent

Sio lazima kuwe na hukumu au tume iwe mahakama, hii tabia inaweza kuwa justified kwa sababu hii kamati ingawa si mahakama, ina nguvu za kimahakama ndiyo maana imeweza kuwahoji watu katika kiapo.Ni kamati ya bunge for gods sake, kamati ya watu wanaotunga sheria yenye nguvu za kimahakama!

Second, the word is rebuttal not rebattle Mr. Lawyer.Ninaongelea ripoti kutompa nafasi Lowassa kujibu implications zilizomo katika ripoti hiyo kwamba Lowassa amehusika.Lowassa probably did not choose the confrontational route because he knows he is guilty, and he needed to save face, thus the front that he was not given a chance to clear himself.Understand that I am not advocating on Lowassas side, I am merely pointing out the weakness of Mwakyembe's prosecution that the report itself, which is supposed to contain solid facts, did not take the time to question Lowassa and get his of the story and legally speaking it is very much unbalanced.Kuna law and legalese (unachoongea wewe complete with Latin Maxims, halafu kuna "the spirit of the law" haya ni mambo yanayo transcend law na legalese na kwenda kwenye concept nzima ya rule of law, due process na fairness.Hata Mwalimu mkuu (ambaye si mahakama wala tume ya bunge) hawezi kuhukumu kesi ya wanafunzi waili kwa haki ikiwa kama hajamsikiliza mmoja, no matter the evidence presented.Ama sivyo itakuwa kulazimisha mambo tu.

Ukiiangalia hii move katika spirit ya rule of law Lowassa ana point.Ukiangalia justice utaona kufuata sheria kungeweza kutishia justice, Mwakyembe amemuonyesha Lowassa how the west was won gangsta style.

Tatizo ni kwamba kuna technicalities pande zote, huku Lowassa anasema hakuhojiwa (technicality) na huku Mwakyembe anasema haikuwa lazima kumhoji Lowassa (technicality)

If you strip the isue of all technicalities you will see clearly kwamba kumsikiliza kila mtu ni kitu basic na hata huhitaji degree ya sheria kuona hilo.The law as Mark Twain said, is an ass anyway.
 
Mzigo wetu umefika sokoni salama u salimini, sasa tetesi kwamba punda alobeba mzigo wetu kuuleta sokoni kafa njiani zinatuhusu nini?

Kikombe ni kilekile alotunyweshea, pombe ni ileile alotunywesha sasa kelele za nini?
 
Back
Top Bottom