Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
Leo ni siku rasmi ya uzinduzi wa STEMMUCO na mgeni rasmi ni Mh Lukuvi akimwakilisha waziri mkuu, stemmuco ni chuo kikuu kishiriki cha Mt Agustino Tanzania. Chuo kilianza sept 2009 kikiwa na course moja ya (B.AEduc) na kwa mwaka uliofuata course za B.A sociology na Bachelor of philosophy with education zilianzishwa. Kwa mwaka mpya wa masomo 2012-2013 kuna course mpya tatu zitaongezwa nazo ni Bachelor of business administration(BBA), bachelor of laws( LLB) na nyingne mbalimbali kwa level ya certificate.
College principal:
ni Rev.Dr.Kamuhabwa Longinus Rutagwelera
www.stemmuco.ac.tz
College principal:
ni Rev.Dr.Kamuhabwa Longinus Rutagwelera
www.stemmuco.ac.tz