Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Kweli dunia ina changamoto, Jana familia moja imepata pigo baada ya binti wao aliyekuwa anatarajiwa kuagwa (send off) kufiwa na dada yake asubuhi (yaani dada mtu kafa asubuhi wakati jioni ni sendoff ya mdogo wake!)
Vikatengwa vyumba viwili, kimoja cha kupokea wale waliokuja kutoa pole, na chumba cha pili kilichotengwa kikawa ni cha wamama kumfunda mtarajiwa.
Hivi ingekupata wewe kama we ndo ;decision maker ungefanyaje?
HIZI NI CHANGAMOTO ZA KIMAISHA!