Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Nimeshtuka na kushangaa namna wananchi wa north korea wanavyomlilia kiongoz wao kwa uchungu na karibia wote wanalia,hio inatokana na mazuri aliyofanya kim jong,je apa kwetu tz kuna mtu au kiongoz anaweza kuliliwa sana ikitokea akifarik kama kim jong?