machozi yana tafsiri nyingi sana.... wakorea ndio wanajua .. kwanini wanalia ... niwakumbushe S.africa kombe la Dunia wakati wimbo wa wa taifa unapigwa yule captain alikuwa akilia.. ndio maana kwenye ile thread ya mnyika alipotoa tamko israel iombe radhi .. niliwaambia wadau kuna kitu kinaitwa patriotism ...! hiki kinatakiwa kiwekwe mbele SIASA nyuma...
pamoja na umaskini watu wanaipenda nchi yao.. ni kitu amabcho wa tz hatuna tunafurahi kutukanwa na israel mnaikumbuka hii picha wimbo wa taifa wa korea ya kusini ulikuwa ukipigwa kombe la dunia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.