Shule ulienda kusomea ujinga - FaizafoxyTundu Lissu amesema gari yake ni V8 ya kisasa yenye " Kafridge" katikati ya kiti cha abiriana Dereva. Inawezekana vipi mtu mwema wa hivi akaishauri serikali kubana matumizi ikiwemo kuacha kununua na kutumia magari ghari na ya anasa
Yaani CCM inajivunia watu kama nyie kupangua hoja za upinzani kweli?Tundu Lissu amesema gari yake ni V8 ya kisasa yenye " Kafridge" katikati ya kiti cha abiriana Dereva. Inawezekana vipi mtu mwema wa hivi akaishauri serikali kubana matumizi ikiwemo kuacha kununua na kutumia magari ghari na ya anasa
Kainunua kwa pesa yake au kwa pesa ya serikali?Tundu Lissu amesema gari yake ni V8 ya kisasa yenye " Kafridge" katikati ya kiti cha abiriana Dereva. Inawezekana vipi mtu mwema wa hivi akaishauri serikali kubana matumizi ikiwemo kuacha kununua na kutumia magari ghari na ya anasa
Tundu Lissu amesema gari yake ni V8 ya kisasa yenye " Kafridge" katikati ya kiti cha abiriana Dereva. Inawezekana vipi mtu mwema wa hivi akaishauri serikali kubana matumizi ikiwemo kuacha kununua na kutumia magari ghari na ya anasa
Ndiyo mmefundishwa kuwa siasa ni fitna na kusambaza uongo dhidi ya mpinzani wako? Mnasikitisha sana.Tundu Lissu amesema gari yake ni V8 ya kisasa yenye " Kafridge" katikati ya kiti cha abiriana Dereva. Inawezekana vipi mtu mwema wa hivi akaishauri serikali kubana matumizi ikiwemo kuacha kununua na kutumia magari ghari na ya anasa
Mchele umefika Afutatu ?Anapata wapi ujasiri wa kusema haya kwa majority ambao hata Afu tatu tu ya kununua mchele ni taabu.
Lissu amesema hayo, fuatilia mahojiano clouds.
Mahojiano hayo nimesikiliza na hakuna mahali ametamka SENTENSI hiyo kwenye title. Najua ninachokisema. Unachukua maneno unaungaunga upate maana unayotaka wewe halafu unamlisha mtu, decency iko wapi?Lissu amesema hayo, fuatilia mahojiano clouds.
Tusiwe na mahaba kupitiliza Kwa vyama vya upinzani, wananchi tunatakiwa tuvidhibiti.
Wananchi tumekuwa tukipinga viongozi kutumia magari ya ml 500 wakati wajawazito hawana pa kujifungulia vijijini.
KATIBA mpya tunayoiandika tuhakikishe inaielekeza Serikali kutumia magari ya Bei himilivu,
Hii ni Nchi maskini.
Aamen.
Sikujua Lissu ni m-plantation.Tundu Lissu amesema gari yake ni V8 ya kisasa yenye " Kafridge" katikati ya kiti cha abiriana Dereva. Inawezekana vipi mtu mwema wa hivi akaishauri serikali kubana matumizi ikiwemo kuacha kununua na kutumia magari ghari na ya anasa
Lissu sasa anatumika tu kama rubber stamps hana jipya, yeye na mbowe wanajua wafanyayo mazungumzo yao na sa100 ni giza nene mpaka leo wameshindwa kutolea ufafanuzi, mbowe mpaka naandika hapa hajasema waliongea nini Ikulu na Rais alipotoka jela breki ya kwanzaTundu Lissu amesema gari yake ni V8 ya kisasa yenye " Kafridge" katikati ya kiti cha abiria na Dereva. Inawezekana vipi mtu mwema wa hivi akaishauri Serikali kubana matumizi ikiwemo kuacha kununua na kutumia magari ghari na ya anasa