Mtu Alie Nyikani
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 716
- 1,532
Kwahiyo ile Elimu ya Secondary ya Miaka miwili haipo ten?Kuanzia mwaka huu 2024, QT haitakuwepo badala yake wote private candidates na wanafunzi wa shuleni watafanya mtihani sawa wa upimaji yani FTNA.
Masomo ya kujisajili na kufanyia mtihani ni saba ila akipata D mbili kati ya hayo, ataruhusiwa kufanya mtihani wa kidato cha nne (CSEE) mwaka unaofuata.
Kwenye mtihani wa kidato cha nne atajisajili masomo 7.
Zingatia: Mwanafunzi anaweza kujisajili masomo 7 yanayohitajika ila akaamua kuwa serious kusoma masomo manne au matano tu yanayoendana na combination (tahasusi) anayoipenda.