Kuna wazazi wanawaandaa watoto wao kuwa watumwa katika hii nchi. Mtoto anamaliza darasa la 7 hata wiki haiishi anapelekwa kusoma pre form one.

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,705
36,157
Kwa sasa serikali ina wastani wa watumishi 700k, sekta binafsi wenye mikataba ya maana ni kama millioni 1 tu.
Tuseme hivi waajiriwa wenye maslahi angalau hapa nchini ni kama millioni 2 tu.
Wengi ni vibarua, nikimaanisha wengi wana mikataba mifupi .
Idadi ya wasomi inaongezeka kila leo.
Zamani ukiwa na diploma unaonekana msomi, sasa hivi hata wenye bachelor wanakaribia kuondolewa au kujiondoa kwenye kundi la wasomi.
Mtoto anamaliza darasa la 7, form 4, 6 au chuo mzazi alipaswa kumfundisha maisha ya kujitegemea.
Kuna kilimo, biashara au ufundi stadi.
Huyu mtoto baadaye akifika level ya juu ya elimu kama hataajiriwa kwa mkataba wenye maslahi hatakubali kuwa mtumwa kwa kuajiriwa mikataba ya hovyo. Badala yake atatumia kile alichofundishwa na mzazi wake. Ataanza hata kufuga kuku 20 wa mayai kuliko kwenda kufanya vibarua vya kitumwa.
Sasa mtoto humjengi katika msingi wowote unategemea nini ?
Hawa ndio wale wanapita kuzunguka na bahasha Kila siku. Mtu ana shahada ya uhandisi mitambo anakuambia nisaidie hata kazi ya usafi nipate hali ngumu.
Miaka 4 yako ya chuo ni void?
Ungetaka kazi ya usafi si ungeenda VETA upige miezi 3 fresh .
Mimi nimeanza kumfundisha mwanangu kuuza duka weekend na siku za kazi jioni amwagilie bustani ya mbogamboga na kulishia kuku.
Kuna wahitimu wengi wa degree wanafanya kazi za kulipwa 5000/=kwa siku. Huruma
 
Huyu anachuki na wasomi hasa wa degree Mimi namjua kaajiriwa Kama security officer huko serikalini Ila yupo negative akisia degree holder anakula buku tano ndo anajisikia raha sana
"""Mimi nimeanza kumfundisha mwanangu kuuza duka weekend na siku za kazi jioni amwagilie bustani ya mbogamboga na kulishia kuku.
Kuna wahitimu wengi wa degree wanafanya kazi za kulipwa 5000/=kwa siku. Huruma"""

Mwanao yupo kidato cha ngapi .?
 
"""Mimi nimeanza kumfundisha mwanangu kuuza duka weekend na siku za kazi jioni amwagilie bustani ya mbogamboga na kulishia kuku.
Kuna wahitimu wengi wa degree wanafanya kazi za kulipwa 5000/=kwa siku. Huruma"""

Mwanao yupo kidato cha ngapi .?
Std 1
 
Kwa sasa serikali ina wastani wa watumishi 700k, sekta binafsi wenye mikataba ya maana ni kama millioni 1 tu.
Tuseme hivi waajiriwa wenye maslahi angalau hapa nchini ni kama millioni 2 tu.
Wengi ni vibarua, nikimaanisha wengi wana mikataba mifupi .
Idadi ya wasomi inaingezeka kila leo.
Zamani ukiwa na diploma unaonekana msomi, sasa hivi hata wenye bachelor wanakaribia kuondolewa au kujiondoa kwenye kundi la wasomi.
Mtoto anamaliza darasa la 7, form 4, 6 au chuo mzazi alipaswa kumfundisha maisha ya kujitegemea.
Kuna kilimo, biashara au ufundi stadi.
Huyu mtoto baadaye akifika level ya juu ya elimu kama hataajiriwa kwa mkataba wenye maslahi hatakubali kuwa mtumwa kwa kuajiriwa mikataba ya hovyo. Badala yake atatumia kile alichofundishwa na mzazi wake. Ataanza hata kufuga kuku 20 wa mayai kuliko kwenda kufanya vibarua vya kitumwa.
Sasa mtoto humjengi katika msingi wowote unategemea nini ?
Hawa ndio wale wanapita kuzunguka na bahasha Kila siku. Mtu ana shahada ya uhandisi mitambo anakuambia nisaidie hata kazi ya usafi nipate hali ngumu.
Miaka 4 yako ya chuo ni void?
Ungetaka kazi ya usafi si ungeenda VETA upige miezi 3 fresh .
Mimi nimeanza kumfundisha mwanangu kuuza duka weekend na siku za kazi jioni amwagilie bustani ya mbogamboga na kulishia kuku.
Kuna wahitimu wengi wa degree wanafanya kazi za kulipwa 5000/=kwa siku. Huruma
Ni ujinga na ulimbukeni na mashindano ya kipumbavu. Ajabu wanaofanya hivyo, walisomeshwa kwa bei ya ugoro na walilalia ngozi za mbuzi sasa wanaibia serikali na ufisadi wanajimwambafy
 
Huyu anachuki na wasomi hasa wa degree Mimi namjua kaajiriwa Kama security officer huko serikalini Ila yupo negative akisia degree holder anakula buku tano ndo anajisikia raha sana
Mimi pia nina degree ya chuo cha Diplomasia. Ila ni kweli wasomi wengi uwezo wao kichwani mdogo sana.
Kipindi nipo fresh form six na gamba la JKT nimewakuta kazini wasomi wengine uwezo mdogo sana.
Mbaba mmoja alikuwa na Masters sasa hivi ana PhD anatia huruma.
 
Mleta uzi mbona mtoto anaweza soma pre-form one na pia ukampa kazi za nyumbani afanye? Jomba kabla ya kumfundisha sijui kufuga kuku na ishu zingine hakikisha upande wa elimu ya darasani uko imara sana. Hayo mambo ya kufuga kuku yasiwe mbadala wa elimu. Elimu hainaga mbadala. Siku hizi naona watu wengi sana wanajazana ujinga wa kuanza kudharau elimu. Viongozi wakubwa, wafanyabiashara na watu wengine makini wako bize sana kuhakikisha watoto wao wanapata elimu bora ili wawarithishe utawala na biashara zao. Sisi wananchi wa kawaida tuko bize tukiambiana VETA ni bora kuliko UDSM. Wengine wanadai form six haina maana. Maskini atazidi kuwa maskini.
 
Kuna kilimo, biashara au ufundi stadi.
Huyu mtoto baadaye akifika level ya juu ya elimu kama hataajiriwa kwa mkataba wenye maslahi hatakubali kuwa mtumwa kwa kuajiriwa mikataba ya hovyo. Badala yake atatumia kile alichofundishwa na mzazi wake. Ataanza hata kufuga kuku 20 wa mayai kuliko kwenda kufanya vibarua vya kitumwa.
Katika ulimwengu huu, waliofanikiwa katika nyanja kama hizo ni wale tu walioweza kuajiri wengine kufanya kazi zote katika miradi kama hiyo, wenyewe walibaki kuwa wasimamizi tu. Ni ngumu kufanikiwa ikiwa muwekezaji ndo mfanyakazi.
Mimi pia nina degree ya chuo cha Diplomasia. Ila ni kweli wasomi wengi uwezo wao kichwani mdogo sana.
Kipindi nipo fresh form six na gamba la JKT nimewakuta kazini wasomi wengine uwezo mdogo sana.
Mbaba mmoja alikuwa na Masters sasa hivi ana PhD anatia huruma.
Uwezo mdogo katika nyanja zipi, hizo walizosomea ama katika kada nyingine zenye fursa kiuchumi lakini ziko nje ya kile walichosomea?
 
"""Kuna wahitimu wengi wa degree wanafanya kazi za kulipwa 5000/=kwa siku. Huruma"""

miakili mingi
๐Š๐ฐ๐ž๐ฅ๐ข ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฐ๐š๐ฉ๐จ ๐ฐ๐ž๐ง๐ ๐ข
 
Ndo hivyo inasikitisha Sana watu wanakuwa negative
๐Œ๐ญ๐ฎ ๐š๐ค๐ข๐ฐ๐š๐ณ๐š ๐ง๐ž๐ ๐š๐ญ๐ข๐ฏ๐ž ๐ฌ๐š๐ง๐š ๐š๐ง๐š๐ญ๐š๐ฆ๐š๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ก๐ข๐œ๐ก๐จ ๐ค๐ข๐ญ๐ฎ ๐ฅ๐š๐ง๐š ๐ฎ๐ฐ๐ž๐ณ๐จ.๐ง๐š๐œ๐ก๐จ
 
Kwa sasa serikali ina wastani wa watumishi 700k, sekta binafsi wenye mikataba ya maana ni kama millioni 1 tu.
Tuseme hivi waajiriwa wenye maslahi angalau hapa nchini ni kama millioni 2 tu.
Wengi ni vibarua, nikimaanisha wengi wana mikataba mifupi .
Idadi ya wasomi inaongezeka kila leo.
Zamani ukiwa na diploma unaonekana msomi, sasa hivi hata wenye bachelor wanakaribia kuondolewa au kujiondoa kwenye kundi la wasomi.
Mtoto anamaliza darasa la 7, form 4, 6 au chuo mzazi alipaswa kumfundisha maisha ya kujitegemea.
Kuna kilimo, biashara au ufundi stadi.
Huyu mtoto baadaye akifika level ya juu ya elimu kama hataajiriwa kwa mkataba wenye maslahi hatakubali kuwa mtumwa kwa kuajiriwa mikataba ya hovyo. Badala yake atatumia kile alichofundishwa na mzazi wake. Ataanza hata kufuga kuku 20 wa mayai kuliko kwenda kufanya vibarua vya kitumwa.
Sasa mtoto humjengi katika msingi wowote unategemea nini ?
Hawa ndio wale wanapita kuzunguka na bahasha Kila siku. Mtu ana shahada ya uhandisi mitambo anakuambia nisaidie hata kazi ya usafi nipate hali ngumu.
Miaka 4 yako ya chuo ni void?
Ungetaka kazi ya usafi si ungeenda VETA upige miezi 3 fresh .
Mimi nimeanza kumfundisha mwanangu kuuza duka weekend na siku za kazi jioni amwagilie bustani ya mbogamboga na kulishia kuku.
Kuna wahitimu wengi wa degree wanafanya kazi za kulipwa 5000/=kwa siku. Huruma
Wanafunzi waliohitimu vyyoni, hawajengi viwanda, inatakiwa wakute viwanda, watumie elimu Yao, na, ujuzi.
Je viwanda vinajengwa na na ni?
Kampuni kama Tweeter, Microsoft, Google, Tesla, Azam, Dangote, Toyota, General Motors, Huawei., haya makampuni hayakujengwa na vijana kutoka chuoni fleshers, wadau wengi walihusika, Sera za, serikali,nk,
Ukiona kijana mwenye Degree yake mtaani,anasaga rami, kosa sio lake lote!
Kuna nchi zinatoa elimu Bora kama India, Nigeria, Kenya, na kote huko vijana wanataabika na kukosa ajira, sembuse elimu ya bongo,give the young guys a break jamani!
Fulsa ni finyu! Wahitaji ni wengi!
Kama kuanzisha biashara ni rahisi,basi kila waziri, mkuu wa mkoa, wilaya, makatibu tawala,makatibu wa wizara,wote wangekuwa wana makampuni na wametoa ajira! Maana kwao pesa sio, shida!
Prof J alikuwa mbunge, akalipwa 200+ milioni, mshahara wake ulikuwa 10M kwa mwezi, Ila alipougua, bila msaada wa serikali, angekuwa ameishakufa zamani!
Acheni utani, kuanzisha kampuni(sio uchuuzi wa kununua nguo china na kuuza kariakoo), sio sawa na kwends mjini kununua simu ya tekno
 
Huyu anachuki na wasomi hasa wa degree Mimi namjua kaajiriwa Kama security officer huko serikalini Ila yupo negative akisia degree holder anakula buku tano ndo anajisikia raha sana
Kama alivyo Msukuma -mbunge nae hapendi wasomi
 
Back
Top Bottom