MARCKO
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 2,258
- 274
Hata MILYA angechelewa kujisafisha dak3 tu za mbele asingelisafishika tena! Huyu mzee hata akija cdm maana inawezekana {kumbuka hamna mtu anaweza kunyimwa uanachama wa kawaida} hana tena effect, kazeeeeka. Ah, anahemea ela tu kwa sasa lakini hana nguvu.