Mwawado
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 993
- 252
Quote:
Bunge likishindwa kulinda katiba ambayo lenyewe limeitunga halina budi nalo litimuliwe. Na kama halitaki kuondoka wananchi wana haki ya kuwashinikiza wajiuzulu kwa kulizingira jengo la bunge.Wakiendelea kugoma hata baada ya kuzingirwa basi kinachofuata hapo mimi sitakuwepo nitakuwa nawahi Moscow kwenye mtaa wa machinga wa silaha kuuliza kama bunduki za AK 47 za mitumba wanazo na zinauzwa bei gani na zaweza wasili kwenye jengo la bunge lini na kwa usafiri upi wa haraka.Yatakayofuata sijui naachia walenga shabaha walenge chochote wanachoweza kulenga kile ambacho roho zao zinapenda kulenga.Shenzi type.
Kaka Netanyau Hiyo Lugha yako ngumu na imejaa Jazba....Mwenyezi Mungu apishilie mbali na tusifike hapo unapokusudia...Tutumie njia ya kidemokrasia kumuondoa huyu Mkwere,Uchochezi wa kidini utatugawa zaidi,kwani vita ya akina Mwawado na Rev.Kishoka kutokana na imani zao za kidini ni mbaya sana haifai kuiona!!!
Bunge likishindwa kulinda katiba ambayo lenyewe limeitunga halina budi nalo litimuliwe. Na kama halitaki kuondoka wananchi wana haki ya kuwashinikiza wajiuzulu kwa kulizingira jengo la bunge.Wakiendelea kugoma hata baada ya kuzingirwa basi kinachofuata hapo mimi sitakuwepo nitakuwa nawahi Moscow kwenye mtaa wa machinga wa silaha kuuliza kama bunduki za AK 47 za mitumba wanazo na zinauzwa bei gani na zaweza wasili kwenye jengo la bunge lini na kwa usafiri upi wa haraka.Yatakayofuata sijui naachia walenga shabaha walenge chochote wanachoweza kulenga kile ambacho roho zao zinapenda kulenga.Shenzi type.
Kaka Netanyau Hiyo Lugha yako ngumu na imejaa Jazba....Mwenyezi Mungu apishilie mbali na tusifike hapo unapokusudia...Tutumie njia ya kidemokrasia kumuondoa huyu Mkwere,Uchochezi wa kidini utatugawa zaidi,kwani vita ya akina Mwawado na Rev.Kishoka kutokana na imani zao za kidini ni mbaya sana haifai kuiona!!!