Mfilisiti
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 342
- 1,551
Leo baada ya kifurushi changu DStv kukata (mpira), nikashawishika kucheki hizi chanel za ndani, ile naweka star tv nakutana na kanisa linajiita "Chanzo halisi"
Cha kushangaza wanatumia bibilia ile ile
Wanaenda kuhiji kigoma, ndugu msomaji ni kigoma hii hii ya karibu na burundi😂😂
Na huyo kiongozi leo alikua anatoa tiketi 160 kwa ajili ya kwenda kuhiji huko kigoma.
Yule aliyekua mwanamuziki wa the mafiki nayeye sasa hivi yupo sauti ya chanzo halisi.
Katika mafundisho yao sijasikia neno Mungu wala Yesu,
Kauli mbiu ni " bila chanzo halisi hutoboi"
Waumini wa sauti ya chanzo halisi wapo wamejaa kweli na mavazi yao ni meupe
Dunia ina maajabu kweli kweli
Cha kushangaza wanatumia bibilia ile ile
Wanaenda kuhiji kigoma, ndugu msomaji ni kigoma hii hii ya karibu na burundi😂😂
Na huyo kiongozi leo alikua anatoa tiketi 160 kwa ajili ya kwenda kuhiji huko kigoma.
Yule aliyekua mwanamuziki wa the mafiki nayeye sasa hivi yupo sauti ya chanzo halisi.
Katika mafundisho yao sijasikia neno Mungu wala Yesu,
Kauli mbiu ni " bila chanzo halisi hutoboi"
Waumini wa sauti ya chanzo halisi wapo wamejaa kweli na mavazi yao ni meupe
Dunia ina maajabu kweli kweli