mpwa hapa umepiga ki-bluray,vipi unaweza ukanisaidia kuliweka klia kwa faida yangu na wazawa wengine?
thanks!hapo nimekuelewahA HA HA HA! Mkizoeana sana heshima uoga/heshima inapungua mtu anaanza kuonyesha uhalisia wake. Mrekebishe then atatoa kihoja kingine unamrekebisha kidogox2 mtafika tu....usisahau red wine na maua kama ulivyoshauriwa na music wa Julio Iglesias au Jazz laiiniiiii! Na mashairi matamu ya kumpa mama kama huna sema ni kutumie...
Achana nae before worse comes to worse.
Tafuta dada mwenye umri mkubwa kidogo.
Age matters a lot. You people like the young ones, lakini matatizo yake ni kama hayo.
Go for someone aneweza kuvumiliana kwa matatizo ambayo ni ya kawaida katika ndoa. Pole sana lakini better run away before it's too late.[/QUOTE
Samahani sana nonoo kwa niaba ya Chrispin,Nyamayao,Carmel,Nguli na wengineo, usitake kuziharibu juhudi zetu za kuiponya ndoa hii.huu ushauri naona wakati ushapita kwani Geoff kashaanza kugongewa simu na bibie na mambo yashaanza kuwa powa.Na amekubali kumtoa Bagamoyo wikiendi.Usituvunjie ndoa tafadhali.
Achana nae before worse comes to worse.
Tafuta dada mwenye umri mkubwa kidogo.
Age matters a lot. You people like the young ones, lakini matatizo yake ni kama hayo.
Go for someone aneweza kuvumiliana kwa matatizo ambayo ni ya kawaida katika ndoa. Pole sana lakini better run away before it's too late.
Samahani sana nonoo kwa niaba ya Chrispin,Nyamayao,Carmel,Nguli na wengineo, usitake kuziharibu juhudi zetu za kuiponya ndoa hii.huu ushauri naona wakati ushapita kwani Geoff kashaanza kugongewa simu na bibie na mambo yashaanza kuwa powa.Na amekubali kumtoa Bagamoyo wikiendi.Usituvunjie ndoa tafadhali.
Msameheni kadandia gari kwa mbele. Isitoshe ni mgeni jamani. SUkiangalia vizuri, ndio post yake ya kwanza huyo. Asikusumbue mchumba. Si tunasonga mbele daima.
Ila Mrs mtaba akiwa na bf ni makosa...haha ha aha ha ha JF unafiki unafiki unafiki mtupu. puh!!!!!!!i wish i would have been advised this way..........!Lol
Umenikuna nguli, nadhani unawajulia sana watoto wa kike, huwa hatuna makuu yani wine, maua na muziki laini tu unamaliza kesi kama unateleza vile. Usipotujua wanawake utateseka sana, same page pal!hA HA HA HA! Mkizoeana sana heshima uoga/heshima inapungua mtu anaanza kuonyesha uhalisia wake. Mrekebishe then atatoa kihoja kingine unamrekebisha kidogox2 mtafika tu....usisahau red wine na maua kama ulivyoshauriwa na music wa Julio Iglesias au Jazz laiiniiiii! Na mashairi matamu ya kumpa mama kama huna sema ni kutumie...
Msameheni kadandia gari kwa mbele. Isitoshe ni mgeni jamani. S
Sasa Chrispin si unajua ni jukumu lako kuandaa mahali tugonge cheerz tukiwatakia wawili hawa maisha ya mapatano mbeleni?
What a wise first post from the Newest JF member. ZIIII!
Ukiangalia vizuri, ndio post yake ya kwanza huyo. Asikusumbue mchumba. Si tunasonga mbele daima.
mwenzio kaja kuomba ushauri kabla hajaharibu na sisi tumeingia kazini tangu asubuhi kumshauri na wanamaombi wameyandeleza na sasa kesi tumeimaliza, siyo wewe uliyetaka sisi tubariki uzinzi, no no no, mimi hata nikibaki peke yangu sitabariki uzinzi, nasema no, maana nina ndoa na najua maana ya ndoa. Ila wewe kwa kuwa ushaamua endelea bwana, si tunaokoa ndoa ambazo hazijafika ulikofika wewe.Ila Mrs mtaba akiwa na bf ni makosa...haha ha aha ha ha JF unafiki unafiki unafiki mtupu. puh!!!!!!!
Msameheni kadandia gari kwa mbele. Isitoshe ni mgeni jamani. S
Sasa Chrispin si unajua ni jukumu lako kuandaa mahali tugonge cheerz tukiwatakia wawili hawa maisha ya mapatano mbeleni?
Ila Mrs mtaba akiwa na bf ni makosa...haha ha aha ha ha JF unafiki unafiki unafiki mtupu. puh!!!!!!!
mwenzio kaja kuomba ushauri kabla hajaharibu na sisi tumeingia kazini tangu asubuhi kumshauri na wanamaombi wameyandeleza na sasa kesi tumeimaliza, siyo wewe uliyetaka sisi tubariki uzinzi, no no no, mimi hata nikibaki peke yangu sitabariki uzinzi, nasema no, maana nina ndoa na najua maana ya ndoa. Ila wewe kwa kuwa usjhaamua endelea bwana, si tunaokoa ndoa ambazo hazijafika ulokofika wewe.
All the best Mrs Mtaba.
ZD hivi leo vitufe vya senks vinaenda wapi? au mod anatubaniaTHANKS!inabidi nikupe hapa,kitufe kwangu sikioni kinakuja na kupotea.
hahahaa.inawezekana my dia wanatubania,si unajua walishazifuta zote tukaanza upya?pegine ndio mikakati ya ku-introduce ziiiii.ZD hivi leo vitufe vya senks vinaenda wapi? au mod anatubania
na wasiwasi na necha ya kabila lako wewe mama!.