CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,253
- 12,870
Ni habari za kuthibitika kuwa iliyokuwa NYUMBANI HOTEL Jijin hapa itafunguliwa muda sio mrefu baada ya kufungwa kwa muda wa miezi kadhaa. . . mwekezaji toka jijini dsm anayemiliki hotel kadhaa jijini dsm ndiyo anatarajia kuifufua nyumbani hotel. hivi sasa mafundi wanaendelea na marekebisho!