Kuwa na wanawake wengi sio sifa bali ni being smart! smart kwa kuwa dunia ya sasa full kuchakachua na kama utaweka ur heart na emotions zako kwa mwanamke mmoja basi wee unachukuwa risk kubwa sana.
Sasa ukiwa na kama watatu hivi chances za wewe kuumizwa ni ndogo na pia chance kubwa ni kwamba utapunguza chance ya kupata ngoma provided u smart enuf kujua kuwa kama wewe una watatu basi na wewe hapo haupo peke yako
Ukiwa na wapenzi wengi unakua hauko huru kabisa, Utakuta mmoja anataka muonane ijumaa jioni, wakati huo na mwingine anataka muonane ijumaa hio hio jioni, Basi hapo lazima mmoja adanganywe .
Mwisho wa siku unajikuta unajiumiza mwenyewe kwa kupoteza muda , fedha na nguvu zako ili kuwa handle wote.
Unakua huna uhuru hata na simu yako, maana unahofia wataweza wakajuana. Simu ikiita unastuka ! kila siku unakua ni mtu wa kihoro, Ya nini yoooote hayo?
Kuwa na wanawake wengi sio sifa bali ni being smart! smart kwa kuwa dunia ya sasa full kuchakachua na kama utaweka ur heart na emotions zako kwa mwanamke mmoja basi wee unachukuwa risk kubwa sana.
Sasa ukiwa na kama watatu hivi chances za wewe kuumizwa ni ndogo na pia chance kubwa ni kwamba utapunguza chance ya kupata ngoma provided u smart enuf kujua kuwa kama wewe una watatu basi na wewe hapo haupo peke yako
rubii kaona hicho kiingereza!
Hahah nilikuwa namtania tu thikuwa serious @#rubii
Mi nitakua sichezi nawewee utani gani huo unaendana na kweli hadi mi naona wivu
Akuuuu!! mimi mama hajaniambiaga hivyo nitafata mafundisho ya mamaaa....
niliyenaye ni kama wa tatu ila ndo nimetulia naye...
Ahaaa ila viwembe havihusiki sawaaaa
Maji tu yakuoga na udi vyatosha.
Ewalaaa toto mashalaaa lazima niuze ng'ombe wote wa usukumani, chezea pwani