Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 5,973
- 6,606
Pinga kwa facts.
Hii inahusu nini?
Hii inahusu nini?
Na leo ndiyo tarehe 31 Desemba 2020 siyo? Chadema buana
Na leo ndiyo tarehe 31 Desemba 2020 siyo? Chadema buana
Sina uhakika kama safari hii pushup zitapigwa maana kidume keshachoka kwelikweli..Sawa.Ila msije na mbwembwe za kutaka kubinuka pushapu za sungusungu.
Ikiwa miaka minne wameshindwa wataweza mmoja uliobaki.Na leo ndiyo tarehe 31 Desemba 2020 siyo? Chadema buana
To HellMagufuli must Go
Safari hi magufuri atapita mikoa michache tu huku akipungia watu mikono hakuna haja ya manenomaneno kazi kashamaliza, katekeleza ilani mpaka sasa 90%Sina uhakika kama safari hii pushup zitapigwa maana kidume keshachoka kwelikweli..
Nani kakwambia napinga? Najua umeambiwa tuPinga kwa facts.
Hii inahusu nini?
Nani kakwambia napinga? Najua umeambiwa tu
Kama usingekuwa Chadema ungesubiri wakati watu wanarusha fataki ndiyo upost hii kitu! Tatizo ni kuingia kwenye hiyo SACCOS, akili zote unaziacha mlangoniIkiwa miaka minne wameshindwa wataweza mmoja uliobaki.
Ona! Hata hujielewi yaaniNimeambiwa nini?
Nzi wa chooni wewe?
Ona! Hata hujielewi yaani
Sasa kampeni unafanyia kweye haka kajukwaa wasomaji hawazidi laki, na ni walewale wa kila siku ambao hiki ndio kijiwe chao,wakati watanzania wapo milioni 60 na wengi wao wapo vijijini na wanatumia simu za tochi na tbc television,unategemea kuingia ikulu kwa kuota ndoto za mchanaKwa mujibu wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (2015-2020).
1. Ilani ya CCM: Serikali inaahidi itatenga kiasi cha shilingi milioni 50 kwa kila Kijiji, badala ya kupewa milioni 50 wamachinga ndio wanaichangia serikali elfu 20,000 kwa kila kitambulisho.
2. Ilani ya CCM: Serikali inaahidi itahakikisha wananchi wanaopakana na miundombinu ya gesi na ambako bomba la gesi linapita wananufaika na gesi. Walichoambulia wananchi ni kuona alama za njano bomba linakopita na virungu vya polisi.
3. Ilani ya CCM: Serikali inaahidi kuhamia Dodoma kabla ya 2020 tukaambiwa kufikia Desemba 2018 Rais atakuwa Dodoma, hadi leo namuona bado yupo Dar.
4. Ilani ya CCM: Serikali inaahidi kuongeza kwa kiwango kikubwa uzalishaji wa nishati kutoka 1,300MW hadi 5,000MW ifikapo 2020. Sina uhakika hata megawati 2,000 zimefika.
5. Ilani ya CCM: Serikali inaahidi kipaumbele kitakuwa katika kukuza na kuanzisha viwanda vidogo, vya kati na vikubwa. Leo hata aliyeanzisha wimbo wa Tanzania ya viwanda anaona aibu kutamka mbele za watu.
6. Ilani ya CCM: Katika kipindi cha miaka mitano ijayo, serikali ya CCM itaendeleza mapambano dhidi ya adui rushwa na ufisadi. Leo CCM imerudi kuwakaribisha Mafisadi papa waliowakataa 2015 akiwepo fisadi mkuu Lowassa.
7. Ilani ya CCM: Serikali ya CCM itahakikisha thamani ya Shilingi yetu inatengamaa. Leo 1USD = 2400TZS.
8. Ilani ya CCM: Serikali itahakikisha inaongeza mauzo ya bidhaa zetu nje ya nchi. Leo mazao ya Korosho na Mbaazi yamekosa soko.
9. Ilani ya CCM: Serikali itahakikisha inasimamia Deni la Taifa liendelee kuwa himilivu. Leo Deni limekua toka 35T walivyolikuta hadi 50T.
10: Ilani ya CCM: Serikali itasimamia kwa ufanisi matumizi ya fedha za umma kwa kuzingatia sheria na miongozo ya ununuzi wa umma, ukaguzi na kusimamia mali za Serikali. Tumeshuhudia Issue ya CAG na 1.5t, ndege zimenunuliwa bila kufuata kanuni ya manunuzi, uwanja wa ndege wa chato umejengwa bila bunge kuidhinisha bajeti yake.
11. Ilani ya CCM: Serikali itahakikisha inajenga zahanati kila kijiji, kila kata kuwa na Kituo cha Afya na kujenga hospitali kila Wilaya. Hili sina uhakika ngoja nimtag Waziri Ummy Mwalimu anaweza kuwa na takwimu.
Kama huu sio ulaghai kwa wananchi ni nini.
Ngoja niishie hapa, Mambo ni Mengi, muda Mchache.
Hizi ni facts anayepinga aje na data.
mkuu mambo ni mengi, hata ulaghai wa elimu bure na issue ya madini kutunufaisha sijaweka