IKULU: Rais Magufuli apokea ripoti ya uchunguzi wa mchanga wa madini. Amtaka Waziri Muhongo ajiuzulu

Nampenda sana Prof Mhongo na ni rafiki yangu, kwa hili ajitathmini na nilitaka aachie madaraka
Ninamshangaa proffesor Muhongo kang'ang'ania mpaka kafukuzwa live. Hii itakuwa ni laana kwani kwa kiwango cha elimu yake machale yalitakiwa kumcheza. Kujiuzulu nafasi moja mara mbili ni zaidi ya laana. Dharau peleka kule.
 
Ndugu yangu nadhani utahitajika upate elimu kidogo. Hicho chuma na sulphur vinavyotajwa siyo halisia yaani siyo pure bali vipo kama compounds ndani ya huo mchanga. Hata mchanga na mawe tunayojengea yana chuma, sulphur, silica, Manganese, Magnesium, n.k. Hivi unapobeba mawe ya kujengea au mchanga, huwa unatoa kwanza chuma na sulphur na magnesium kwanza? Huo mchanga wenyewe ni minerals, ukizitoa zote hakuna mchanga au mawe. Ni sawa mtu akuulize kwa nini unaponunua mahindi yetu unabeba na wanga, protini na mafuta?

Hii ripoti ni ya kuwafariji watu wasio na elimu kabisa ya madini au kemia. Kwa ujumla hawajagundua chochote cha maana.
dah!..
 
Muhogo,mohogo,mihongo,wakati ule eskro MZEE akakutetea huyu akakubeba hubebeki? Nisikuone kijijini Utalipa hela yangu aisii.
 
"Kwenye wizara ya Nishati na Madini nilidhani nimechagua wasomi, na wenyewe walikuwa wanajigamba wamebobea"JPM.

"Prof. Muhongo nakupenda sana na ni rafiki yangu lakini kwa hili utanisamehe jiulize ndani ya muda mfupi kama unaweza kuendelea na nafasi yako" JPM.
 
uho.jpg
 
Kwa mara ya Kwanza naukuunga mkono Muheshimiwa Rais ila Fanyafanya mpango uondoe kinga ya kutoshtakiwa ili kipara Mac Regan apande kwa Pilato
 
Mkuu Nina kemia ya kidato cha pili, tume imefanyA ELEMENTAL analysis. Ndiyo maana wamefanya sampling na kwenda kudukua sample hizo ili wajue ni aina gani ya elements zimo na kiwango cake.
Ndugu yangu nadhani utahitajika upate elimu kidogo. Hicho chuma na sulphur vinavyotajwa siyo halisia yaani siyo pure bali vipo kama compounds ndani ya huo mchanga. Hata mchanga na mawe tunayojengea yana chuma, sulphur, silica, Manganese, Magnesium, n.k. Hivi unapobeba mawe ya kujengea au mchanga, huwa unatoa kwanza chuma na sulphur na magnesium kwanza? Huo mchanga wenyewe ni minerals, ukizitoa zote hakuna mchanga au mawe. Ni sawa mtu akuulize kwa nini unaponunua mahindi yetu unabeba na wanga, protini na mafuta?

Hii ripoti ni ya kuwafariji watu wasio na elimu kabisa ya madini au kemia. Kwa ujumla hawajagundua chochote cha maana.
 
Ni aibu mno kwa Waziri wa nishati na Madini kuzembea katika kusimamia taasisi zilizo katika Wizara ya Nishati na madini kudhibiti ujanja huo ikiwemo kudanganywa kuhusu aina na idadi ya madini yaliokuwa yanasafirishwa katika makontena ya mchanga wa dhahabu, uzembe huo hususani ulifanywa na watendaji wa wakala wa madini, na mamlaka ya bandari kwa maana ya kununua scanner isioweza kuona baadhi ya madini au mzigo katika makontena bila Waziri kuchukua hatua , Hatua hiyo imemfanya Mh Rais aivunje bodi ya wakala wa usimamizi wa madini na mtendaji mkuu wa wakala huo vilevile Mh Rais ameviagiza vyombo vya dola na sheria kuwachunguza wafanyakazi wa wakala wa madini waliohusika katika uzembe wote wa kuliingizia Taifa hasara ya mabilioni na matrilioni ya shilingi, aidha,amekemea watendaji wakuu wa wizara ya nishati na madini akiwemo Waziri wa nishati na madini prof Sospeter Mujarubi Mhongo ajitathimini ikiwemo kuachia nafasi hiyo.
 
Back
Top Bottom