Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,293
- 10,711
Unafikiri Muhongo hakuwa Jembe?Kaaaaaa hujatambua tu kama makonda ni jembe
Unafikiri Muhongo hakuwa Jembe?Kaaaaaa hujatambua tu kama makonda ni jembe
kweli tumjue, ila angekuwa majaliwa, angemtaja hapo hapo huyu mkuu huwa anasita kwanza tunakuja msikia mtandaoniHuyo Dr anayejiita Prof na aliyeongwa mapesa ili aharibu utafiti wa tume ni nani?
Yashatoka. Muhongonasubiri nisikiematokeo
Jamaa hana nyota ya uwaziri, huyu bora angeacha siasa ajikite kwenye kazi ya taaluma yake nje kabosa ya siasa maana anaaibishwa daily..Kafukuzwa kisomi
Unakosa akili,Mbowe anahusikaje hapaHongera Zitto Kabwe
Mpaka sasa uliemshindwa ni Freeman Mbowe peke yake
Sawa Janet Magufuli tumekuskia....Unamkuta Mtu kavaa manguo ya Khaki anambeza Rais wa Jamuhuri ya Muungano Kwa Juhudi Zake hizi
-Mapambano ya wezi/wanyang'anyi wa madini
-Reli ya Kisasa
-Flyovers
-Barabara
-Bombardier na Dreamliners zitapishana Anga za Ulaya, Amerika Australia na Asia
Lazima tujibane hivi vitu havitakua ahadi tena Miaka Ijayo na Miundombinu hii huweza Kudumu kwa Vizazi Vingi sana. Kisayansi Rais Magufuli hatakuepo Miaka 100 ijayo lakini Reli itafika.
A I predict a 5-years Magufuli Era will be Success.
Kwani Magufuli ameingia lini, Muhongo alitakiwa kuchukua hatua alipofika tu wizaraniMuhongo kaingia 2012. Sakata hili lina 17 years.
Nishati na Madini, Maliasili na utalii, Mambo ya Ndani......hizo wizara zinagusa sana maslahi ya watu.Wizara ya Nishati Na Madini kila waziri lazima imle kichwa sijui kwanini
Jamaa angeachana na siasa hata huo ubunge ajiuzulu afanye kazi yake ya taaluma yake, siasa haimpendi.Waziri wa Nishati na Madini Proff. Muhongo ajiuzulu haraka hii ni aibu kubwa.