Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,293
- 10,711
Kafukuzwa kisomiAmekiri anampenda sana Muhongo na ni rafiki yake, ila ameamriwa aachie madaraka..Dude limeamshwa mubashara,,, hahahaha.
Kafukuzwa kisomiAmekiri anampenda sana Muhongo na ni rafiki yake, ila ameamriwa aachie madaraka..Dude limeamshwa mubashara,,, hahahaha.
Ninahasira nawewe acha utotoKuna faida gani za kuonesha live ujinga huu
Yamkini hakuna ambaye yuko salama nchi hii.Naona mshale huu umempata Muhongo!
Mishale mingi imemkosa kosa...dah!
Huyu ndiye magu bwqnaJamani muongo kweli rais Magu Mungu amlinde
Huyu jamaa kibokoMkuu its a polite language ndio kwa heri hiyoooo. lugha ilikupiga chenga?
Ni kweli unayosema lakini mbona Botswana wameweza tulitegemea mtu kama Prof Muhongo abadili yale mazoea ya wazungu kutunyonya lakini kama ilivyo kwa watanzania ukishapewa nafasi basi unamezwa na mfumo wa brown paper bag uweledi wako wote unaondoka.Ni ripoti nzuri. Lakini Multinational Corporations (MNC) zina nguvu nyingi na mitandao ya kitaasisi dunia nzima. Hiyo ripoti itabishiwa Sana. Watadai maabara zilizotumika hazina uwezo wa kufanya uchanganuzi huo na hata wataalamu hawakuwa makini. Watatumia ripoti za taasisi za kimataifa kuipinga ripoti. Na mwisho watatumia vipengere vya mikataba ya hovyo tuliyoingia kutushitaki katika mahakama za kimataifa.
sio ushauri, ni lugha ya kumtumbua . katibu mkuu je?Duuuuu Muhongo kwa mara ya pili anapigwa chini