"Ikimegwa haifanyi alama"

hiyo kitu haina makombo wala haki-miliki, so acha amegwe tu ili mradi na wewe ukihitaji unapewa kwa wakati wako
 
Asilimia 95 ya wanawake si waaminifu espcially wa bongo kwahiyo usijipe pressure cha msingi we mu caution asikulete maradhi na pili usipende kama kichaa muambie kabisa kwamba she should play it safe and secretlly na kwamba ukigundua hutosita kumpa red card i mean kumaacha kama unavojua sheria za mpira red card hata ikitolewa kimakosa hairudishwi and you must mean it
 
Asilimia 95 ya wanawake si waaminifu espcially wa bongo kwahiyo usijipe pressure cha msingi we mu caution asikulete maradhi na pili usipende kama kichaa muambie kabisa kwamba she should play it safe and secretlly na kwamba ukigundua hutosita kumpa red card i mean kumaacha kama unavojua sheria za mpira red card hata ikitolewa kimakosa hairudishwi and you must mean it

thanx......i appreciate ur advice
 
hujui mapenzi yanavyotesa tu mapenzi ya kweli ni kero kwa asiyekupenda that is the lesson that i have learned
 
Boflo!
Kila mtu ataubeba msalaba wake, biashara ya kumgaramia msichana n = na kutupa pesa toilet.
 
mapenzi yanatesa kaka yangu vumili tu abadilike ana gtambaue kwamba unachomwambia kina mantiki akishindwa kukuelewa achana nae kama unaweza
 
Habari zenu Wana Jf

Hayo maneno (Ikimegwa haifanyi alama) nimepewa na mpenzi wangu ambaye nimemgaramikia kwa mambo mengi

na nilikuwa na mipango mingi sana juu yake.

Baada ya kumwambia asivae nguo za mitego wakati akienda kazini, na alipobaini kuwa namfatilia, ndipo akakasirika

na kuniambia kuwa hapendi kufatiliwa, na nisijisumbue kwa sababu hata akimegwa, ile mashine yake haiwezi

kuwa na alama yoyote, kwa hiyo hakuna haja ya kupata pressure bure, nimehuzunika na kusikitishwa sana na kauli

hii cause mpaka sasa hivi nimemgaramikia sana huyu mtu. Sina hamu na maisha, sasa hivi ninatafakari mambo mengi sana

Usijitie presha ndugu,piga chini angalia ustaarabu mwingine!!
 
(Nimehuzunika sana na kusikitishwa sana na kauli hii Cause MPAKA SASA HIVI NIMEMGARIMIKIA SANAHUYU MTU.)

kUTOKANA NA KAULI YAKO KINACHOKUUMA NI JINSI ULIVYOWEKEZA KWAKE NA SIO MAPENZI YAKO JUU YAKE.

Pole sana , Give yourself time utapata majibu ya nini ufanye
 
Back
Top Bottom