Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,028
- 54,319
kuwagharamia hawa viumbe unajisumbua,haswa anayetakataka vitu hafai!nenda kijijini kachukue mke wa kukaa home tuu
Naunga mkono hoja.
kuwagharamia hawa viumbe unajisumbua,haswa anayetakataka vitu hafai!nenda kijijini kachukue mke wa kukaa home tuu
Asilimia 95 ya wanawake si waaminifu espcially wa bongo kwahiyo usijipe pressure cha msingi we mu caution asikulete maradhi na pili usipende kama kichaa muambie kabisa kwamba she should play it safe and secretlly na kwamba ukigundua hutosita kumpa red card i mean kumaacha kama unavojua sheria za mpira red card hata ikitolewa kimakosa hairudishwi and you must mean it
thanx......i appreciate ur advice
Habari zenu Wana Jf
Hayo maneno (Ikimegwa haifanyi alama) nimepewa na mpenzi wangu ambaye nimemgaramikia kwa mambo mengi
na nilikuwa na mipango mingi sana juu yake.
Baada ya kumwambia asivae nguo za mitego wakati akienda kazini, na alipobaini kuwa namfatilia, ndipo akakasirika
na kuniambia kuwa hapendi kufatiliwa, na nisijisumbue kwa sababu hata akimegwa, ile mashine yake haiwezi
kuwa na alama yoyote, kwa hiyo hakuna haja ya kupata pressure bure, nimehuzunika na kusikitishwa sana na kauli
hii cause mpaka sasa hivi nimemgaramikia sana huyu mtu. Sina hamu na maisha, sasa hivi ninatafakari mambo mengi sana
Nipo Zimbabwe hapa nasubiri lile zali la kubakwa na wanawake. Si uliskia zimbabwe madem wanabaka?Kloro unapatikana pande zipi?
Usingizi nitapata wapi? Madem wa kibongo wanatupa pressure
Boflo hauna issue bana! unataka kuleta uzushi wa salon tuWewe mtata sana, ninakufahamu kinaga ubaga
Nirushie namba yako ya simu nataka tuongee issue
Sina ndugu Tanzania mimi bana, acha kuchafua CV.Kloro bana, acha kunibania, mm ndugu yako, zaidi ya miaka 3 ninakujua sasa...