"Ikimegwa haifanyi alama"

kuwagharamia hawa viumbe unajisumbua,haswa anayetakataka vitu hafai!nenda kijijini kachukue mke wa kukaa home tuu
 
Habari zenu Wana Jf

Hayo maneno (Ikimegwa haifanyi alama) nimepewa na mpenzi wangu ambaye nimemgaramikia kwa mambo mengi

na nilikuwa na mipango mingi sana juu yake.

Baada ya kumwambia asivae nguo za mitego wakati akienda kazini, na alipobaini kuwa namfatilia, ndipo akakasirika

na kuniambia kuwa hapendi kufatiliwa, na nisijisumbue kwa sababu hata akimegwa, ile mashine yake haiwezi

kuwa na alama yoyote, kwa hiyo hakuna haja ya kupata pressure bure, nimehuzunika na kusikitishwa sana na kauli

hii cause mpaka sasa hivi nimemgaramikia sana huyu mtu. Sina hamu na maisha, sasa hivi ninatafakari mambo mengi sana

Alama ipo kulingana na saizi ya kimegeo. Ngoja akutane na oversize uone ukikutana naye utakavyopwaya.
 
ningekuwa mm kabla hajamaliza heruf ya mwisho nshamtandika na kumshindilia ngumi,adabu gan hiyo ya mtoto wa kike,aaalaaaa.....we nae umezid kuwa weak mpk anakujibu hovyo hvo
 
Back
Top Bottom