Enhee.......Ni nani huyo Bala?
Habari zenu Wana Jf
Hayo maneno (Ikimegwa haifanyi alama) nimepewa na mpenzi wangu ambaye nimemgaramikia kwa mambo mengi
na nilikuwa na mipango mingi sana juu yake.
Baada ya kumwambia asivae nguo za mitego wakati akienda kazini, na alipobaini kuwa namfatilia, ndipo akakasirika
na kuniambia kuwa hapendi kufatiliwa, na nisijisumbue kwa sababu hata akimegwa, ile mashine yake haiwezi
kuwa na alama yoyote, kwa hiyo hakuna haja ya kupata pressure bure, nimehuzunika na kusikitishwa sana na kauli
hii cause mpaka sasa hivi nimemgaramikia sana huyu mtu. Sina hamu na maisha, sasa hivi ninatafakari mambo mengi sana
Ww Nyani............Acha uchokozi
nisijisumbue kwa sababu hata akimegwa, ile mashine yake haiwezi
kuwa na alama yoyote
Yaani mngejua jinsi mnavotupa shida hapa duniani..?
ni kweli but it pains so much.........