Bongo Pix Blog
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 213
- 33
pengine watawala wetu wanadhan chanzo cha vita hasa vya wenyewe kwa wenyewe lazima kiwe kikuuubwa kama tsunami, waweze kukiona kwa macho tokea magogoni, yaliyofanyika Mwanza na yanayoendelea Zanzibar hayana mustakbari mwema kwa utaifa na umoja wetu, kwamba sasa hatuwezi vumiliana tofauti zetu! hii inasikitisha na kuogofya sana. Mungu ibariki Tanzania