Ijue Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2010 - 2015

(j) Kupunguza Msongamano wa Magari katika Jiji la Dar es Salaam kwa
kufanya yafuatayo:
(i) Kujenga barabara za juu (fly overs) kwenye makutano ya barabara
maeneo ya Ubungo na TAZARA,


Mradi wa DART bado utachukua muda mrefu sana na labda hayo magari yapae Hata kabla ya kujenga flyovers Je mmeshindwa kufikiria kuwa watu wote wanaotoka Tegeta na mbezi beach kwanini wasitumie boat hadi Bandarini Posta na wanaotoka mbezi luisi hadi ubungo kwanini wasitumie treni kutoka ubungo hadi stesheni. watokao mbagala gongolamboto vile vile wanaweza kutumia treni kwa reli zilizopo bila hata kujenga reli kama temporary solution sijui watu hawafikirii au ni kuangalia mianya ya kuchota fedha?

ferry imeshakuja
 
Back
Top Bottom