Ilani ya Uchaguzi 2010-2015 inazungumzia mambo ya maana yanayowagusa Watz wote, sio ibada ya baadhi ya watu!
Kumbe ile ya 2005 - 2010 ilikuwa ni ulaghai na wizi kwa Waislamu? Kwa nini wakubali kutumika?
Naomba kujuzwa juu ya ilani ya CCM 2010. inasehemu inagusia juu ya Mahakama ya Kadhi? Kama sio, je 2005 ilikuwa ni danganya toto kwa ajili ya kupata kura? je, Waislamu wanaluchukuliaje hili?
Mbona Waislamu walishaambiwa kuanzisha Ibada yao (mahakama za kadhi) au wanasubiri Serikali iingie misikitini kuanzisha Ibada zao?
Kama wananchi waliahidiwa maisha bora na wakaachwa wamefulia, itakuwa ishu ya kikundi cha dini?
Acheni hizo bwana!!
Acheni kujadili dini.
Muulizeni Sheikh Makamba na Sheikh Kikwete. Siyo kutusumbua sisi.
Iko siku watawapa waislamu mahakama ya kadhi bila kuombwa kama sasa...
Siku hiyo inafika hata ikibidi kwa nguvu...iwe leo iwe kizazi cha watoto wetu nk...
Naamini iko siku hata kama watu kama wewe mtachukia hadi kufa...haitasaidia
Sasa tunamshughulikia yule hakimu aliyemfunga muislamu eti kavaa kofia! baada ya siku tatu na sio saba walimwachia..
iko siku tutawapa siku mbili wataanzisha kile kilicho haki yetu msingi..
na wewe na watoto wafuasi wako wakiona huku wamechukia kama huyu hakimu alivyomuona jamaa katolewa huku anachukia aibu! chuki ni ugonjwa wa wakristo.
Hilo swala kaka ni vere sensitivu usijaribu kudhihaki imani za wenzako I can read between the lines unachuki na huo usilamu tu maana hauna cha kuongea hapa kinazungumzwa ilani na jinsi ilivyotekelezwa sasa kama hujui nini maana ya ilani na inakuwaje hiyo ilani sema watu waanzishe mjadala upate kuelimika.
Yaliyowakuta waislam yanweza kuwakuta wafanyakazi na kwenye kundi hilo hakuna cha mwislamu wala mpagani. Sisi kama watanzania tuwe wamoja msiendekeze propaganda za watu walioishiwa hoja kama eti ohhh unajua bwana hii serikali yetu haina dini! whaaaaaaaaat? hivi leo waislamu wakisimama waseme kuwa wakristo ndio mnaudini na mnashikilia serikali mtakataa? ilhali nchi hii ukombozi wake ulianzishwa na kuasisiwa na waislam Mungu awalaze mahali pema peponi kina Sheikh Takadir, Abdulwahid sykes na bibi titi mohamed.
Wewe fikiria ikiingia tarehe kumi natano december ofisi zote za serikali zinapewa fungu la kununua mauwa ya christmass na vimulimuli ( na wengine wanapatia kuweka cha juu kwenye manunuzi)
Kama serikali haina dini kwanini kwenye wimbo wataifa wanamtaja Mungu?
Kwanini wansali wanapoanza mkutano wa bunge?
Huyu Mungu wa Serikali ni Mungu gani? na serikali haina dini?
Mkuu rudi kwenye mada usichokonoe mambo!
Buchanan,
Mkuu unaweza kunambia haswa maana ya sura hii yenye signature yako?..
Neither is there salvation in any other: for there is none other name under heaven (except the name of Jesus Christ of Nazareth) given among men, whereby we must be saved!" (Acts 4:12).
Ni muhimu kuzisoma hizi Ilani kwa makini kwa ndio check list ya kuwapima walio madarakani mwisho wa siku. Tuachane na ushabiki zaidi, nadhani utashi na ukomavu wa kisiasa ni muhimu zaidi.