Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
Jitihada za panya kula paka hizi!
Shigela wa ccm amemtwanga mangumi na mitama ya rashasha mtatiro wa cuf.
Sosi: tbc
Shigela wa ccm amemtwanga mangumi na mitama ya rashasha mtatiro wa cuf.
Sosi: tbc
kwani TBC HAIDANGANYI? mimi siliamini habarileo na hata TBC. kwani tangu yule mtoto alietaka kupiga bomu la maji pale ubalozi wa marekani. halafu HABARAILEO likaingiza propaganda yake. kwa hivyo hata TBC inaweza kudanganya