CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,917
- Thread starter
- #21
Mkuu ni kweli kwa sasa vikundi vya hisa vinaweza kuendeshwa kupitia M pesa au Tigo pesa, na hii inasaidia kikundi kisiwe kinakutana kila wiki, so kinaweza kutana kwa mwezi mara moja.
2. Mkuu kuhusu faida na hasara kwa kweli hasara sijui ila hivi vikundi ni mkombozi hasa kwa wenye kipato cha chini. Kwa vikundi vinavyo kuwa siriasi hujikuta mwisho wa mwaka vimetengeneza faida ya kubwa ya hadi 200%za hivyo ni mkombozi hasa kwenye ishu ya mitaji.
Kuhusu kutumia simu kwa kweli hasara ni kukatwa unapo fanya miamala basi ila faida zake ni kubwa kwa sababu kikundi kinaweza hata toa mikopo kwa wanachama wake kupitia simu.
2. Mkuu kuhusu faida na hasara kwa kweli hasara sijui ila hivi vikundi ni mkombozi hasa kwa wenye kipato cha chini. Kwa vikundi vinavyo kuwa siriasi hujikuta mwisho wa mwaka vimetengeneza faida ya kubwa ya hadi 200%za hivyo ni mkombozi hasa kwenye ishu ya mitaji.
Kuhusu kutumia simu kwa kweli hasara ni kukatwa unapo fanya miamala basi ila faida zake ni kubwa kwa sababu kikundi kinaweza hata toa mikopo kwa wanachama wake kupitia simu.