We usiombee uwe Bikira Maria.Unaweza wewe kustahimili uchungu alioupata wakati mwanawe anasulubiwa?.Au pale alipopata mimba kwa uwezo wa Roho mtakatifu alitaka kuachwa na Yosefu na kwa sheria za kiyahudi angepigwa mawe mpaka kufa wewe ungeiweza hiyo pressure?Mh hii isitokee jamani, kama ikitokea basi niwe BIKIRA MARIA hahahaha
Acha masihara, mi navyokujua ungeshangilia kinoma afu ungeanza mbio za kunizengea mi na wapwa zangu. Lol! Kweli Mungu apitishe mbali.Mimi ningeomba hiyo siku iishe haraka nirudi kuwa mwanamke.
Hivi wadada mbona hawasemi?
Yes Carmel, the same to me and Iam proud to be woman and i real thank God for this.
Nitake radhi Lizy.
Wanatafakari
Kwa lipi?
hata hili nalo wanatafakari? ila mpwa nahisi ungekuwa bonge la kicheche, siku moja hiyo ungehakikisha unagongwa na kila papaa hapa town.
Ila mpwa nahisi ungekuwa bonge la kicheche, siku moja hiyo ungehakikisha unagongwa na kila papaa hapa town.
Hivi wadada mbona hawasemi?
wamekosa cha kusema
Hahaha! Mpwa usisahau na wewe ungekuwa mshori. Mapapaa wangekuwa kina Carmel, FL1, JS, MJ1, Ziondaughter nk. Kwa jinsi walivyo na hasira na sisi, wapwa wote tungekuwa na vimimba. Hahahaha! Lol! eee Mungu pitisha mbali hii zahma. Mods please futa hii thread, Mungu hachelewi kuipenda afu ikawa balaa.
Tena we ndio usiseme kabisa. Unatamani itokee hivyo ili utuzengee mimi na wapwa zangu. Lol! Eee Mungu, pitishia mbali hili zahma.
HA HA HA! Mkubwa nimecheka sana,
Mkuu usicheke. Balaa hilo. Hivi unadhani hata wewe ungepindua? Kina FL1 wasingekuacha hivihivi. Wana hasira mbaya. Mungu Nakuomba usitupe majaribu hayo. Mods please futa hii thread. Haichelewi kuwa kweli ukatokea msala.
Mods please futa hii thread, Mungu hachelewi kuipenda afu ikawa balaa.