Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Thubutu! si mnasema wanaume mmeumbwa mateso na kuhangaika!mie hayo siyawezi.Na kwani wewe unafikiri kuzengea mabinti sio kazi?,halafu wewe washakutolea nje mara ngapi? Na ukikutana na EXTREMIST kama mimi ndo utakoma kuringa!
Potelea mbali. Acha nikutane na EXTREMIST mia moja kuliko kuwa demu japo kwa nusu saa. Lol!