ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,267
- 8,368
Tupo pamoja
Hapa kazi tu
Nimechoka dharau za wafanyakazi wengi wa serikali kama vile unachotaka wafanye ni kosa huku ni wajibu wao.
Na bado watanyooka tu
Hivi kitufe cha like kimepelekwa wapi jamani?
Yaani huko kwenye halmashauri ndi maghufuli aanze napo, heshima ya kazi irudi, kitu kidogo njoo kesho, kesho ukirudi humkuti, unakalishwa kwenye benchi masaa, yaani watanyooka tu