Elections 2015 If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!

Tupo pamoja

Hapa kazi tu

Nimechoka dharau za wafanyakazi wengi wa serikali kama vile unachotaka wafanye ni kosa huku ni wajibu wao.

Na bado watanyooka tu

Hivi kitufe cha like kimepelekwa wapi jamani?

Yaani huko kwenye halmashauri ndi maghufuli aanze napo, heshima ya kazi irudi, kitu kidogo njoo kesho, kesho ukirudi humkuti, unakalishwa kwenye benchi masaa, yaani watanyooka tu
 
Wanabodi,

John Pombe Magufuli ndiye Mahundi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025!, Kuna walioshindana naye, waliopingana nae, na waliopingana nae!. Kuna msemo usemao, "if you can't beat them, join them!".

Maria wito kwa wote walioshindana nae, kwanza kukubali matokeo, Pili kumpatia ushirikiano kwa ku join him.

Wakati wa mchaka to wa kumpata mgombea wa CCM nilipandisha uzi huu, kuhusu baadhi ya wagombea wa CCM wakipita wana hatari ya ku make the worst Dictators, John Pombe Magufuli was number 2 ya Rais who can make the worst dictator this country has ever had!.

Hoja kuwa Magufuli ni dictator haina mjadala, kitu cha muhimu ni kumuombea tuu kwa Mungu, angalau amfanye ni a benevolent one, vinginevyo tutajuta!.

Jakaya Kikwete ukiondoa mambo yake ya Kikwete ya uswahili Swahili, alikuja ni mtu mwenye huruma iliyooitiliza kiasi cha kutafsiriwa ni Rais dhaifu, hivyo CCM ya Kikwete ilikuwa ni CCM dhaifu!, CCM ya Magufuli itakuwa ni CCM sasa kazi tuu, ambayo ni hatari kwa waliozoea CCM lege lege, hivyo akijenga CCM imara sana, huu upinzani mwisho ni 2020!.

JK tumemchekea, tumemdhihaki, tumembeza, tumemkejeli, hadi kumchezea, yeye akicheka tuu na kuwaacha yapite. Kwa Magufuli, hakuna kucheka, wala hakuna mchezo, ni kazi tuu, hivyo hili ni angalizo muhimu sana na hata majaaliwa ya huu Uhuru tulionao humu jf mbele ya unpredictable dictator, ni mashaka matupu unless we join them!.

Thanks God, mimi ni mmoja wa wachache, wanaojua huyu Magufuli aliibukia wapi hadi yeye kuwa ndie mgombea wa CCM na sababu ni zipi!. Hivyo let's hope, only zile sababu, zilizopelekea kwa nini ni Magufuli, ndio the only ones zitakazo mcheck and balance him in between being a real dictator and a benevolent dictator, so to be on a safe side, if you can't beat them, just join them!.

Wana Chadema, Wana UKAWA na Watanzania wenzangu, najua wengi wetu tulimtaka Lowassa, tumemkosa!, tukapewa Magufuli, let's just take him!. If you can't get what you want, just take what you get!.

Sio tumjoin kwa sababu ndio tumemkubali, au kwa sababu ndio sasa tunampenda, no way, we have to join them because we have to!.

Pasco!.

Tanzania kwa sasa inahitaji 'a democratically elected dictator'. Kikwete kawachekea Watanzania mwishowe wanakaanza kumshika sharubu!
 
That said, what's your take on the majority - those multitudes - who are heedlessly celebrating their heads off for "winning" by carrying the man and his party into office? As for me, I'm at times awestruck watching processions after processions of exhilarated CCM fans dancing their bottoms off for each win and going berserk at the real prospect of the party reigning forever! Obviously, devoid of any due regard to its meaning to their own destiny! Can't help the feeling that I'm out of context with the real Tanzania, a country of zealots! Over 20 years of multiparty system and nothing changes! Sad! Our political processes are certainly doomed to irrationality for ages to come.
Dude! No matter how dissappointed you are, the truth remains Ukawa diverting for Lowassa was a wrong turn, that turns off the majority of the pro revolution, institutional change, regime change you name it, it's pure fact, whether you like or not but atleast deep down you know it!
 
Drifter

Vyama vya upinzani vimekuwepo tangia 1992

Vimeingia kwenye uchaguzi 1995 bila kushirikiana. Je ni kweli walishirikiana katika hoja na kuunganisha nguvu kudai katiba mpya na tume huru tangia 1995?
Kama umezaliwa juzi siwezi kukulaumu.
UKAWA imezaliwa lini?

Je itachukua muda gani kwa upinzani (kama ushirika au umoja) kuwa serious na kuipa kipaumbele na kupigania katiba mpya na tume huru chini ya mwevuli mmoja? Ikiwa kwa jina la UKAWA au lingine. Hawajawahi kuonesha ulazima juu ya suala hii,usiwatetee.

Uchaguzi ukiisha wanasubiri ikiwa imebakia miezi 3 ndio wanakumbuka "ohhh vipi tutakabiliana na Tyson!!??"

Tyson kwa jeuri na kejeli anawaita, "nyie wapumbavu na malofa"

Miaka 20 na usheee hupati katiba mpya au tume huru. Unajiuliza ni kwa nini? na kama CCM itapewa "ushindi" miaka itaongezeka.

Uhuru wa Tanganyika ulipiganiwa na kupatikana katika muda gani watanganyika walipokuwa tayari na serious wanataka uhuru kutoka kwa mwingereza?

Ndugu yangu unaweza kuwa sahihi kulitazama suala hili kama la vyama na viongozi wao. Na hao wanaweza kuwa na mapungufu yao mengi tu. Lakini mwisho wa yote cha maana ni nini hasa kinatakiwa na wananchi? Wanasiasa na vyama hupata nguvu toka kwa wananchi hasa wanapotaka kufanya mabadiliko makubwa. Nimeona juhudi kubwa zilizofanywa na CHADEMA na, baadaye UKAWA, kutaka katiba mpya zikizimwa na CCM kwa mabavu na wananchi hawakuonekana kujali sana - limeachwa kuwa tatizo la akina Mbowe na wapinzani wenzie. Hata suala la mapambano dhidi ya ufisadi lilichukuliwa hivyohivyo tu - ajenda ya kina Dk. Slaa huku wakidaiwa kutokua na ajenda nyingine ya maana ya kuendeleza nchi zaidi ya kelele dhidi ya ufisadi.

Hawa wapinzani wanafanya kazi katika mazingira magumu sana. Kilichobakia ni kuingia mitaani tu kuhamasisha wananchi wailazimishe serikali ya CCM ikubali marekebisho makubwa ya Katiba ili tuwe na demokrasia ya kweli na utawala bora unaotanguliza sheria bila kuangalia sura. Na wakihubutu kufanya hivyo, utaona jinsi hoja ya kutishia amani na usalama wa taifa itakavyotumika kuwagonga. Kwa bahati mbaya (au nzuri) huko nje Tanzania ina sifa nzuri sana ya amani, utulivu na viongozi "wanaofuata katiba"; hawajiongezei miaka ya kutawala na chaguzi zake zinafanyika kwa maelewano mazuri na kukamilika na muafaka.

Hivyo, kwa watu wachache kujaribu kuishinikiza serikali itende haki si rahisi ilhali wananchi wenyewe bado hawajawa tayari kusimama kidete na wanaoongoza kudai haki hiyo kama ilivyotokea huko Burkina Faso na kwingineko. Ndio maana naona ni bora akina Mbowe wasibinafsishe (personalise) sana hizi harakati za kisiasa. Si kwa manufaa yao binafsi. Kama wananchi wengi bado hawaoni tabu na tena wanapenda kuendelea na mfumo wa CCM, ndiyo demokrasia yenyewe hiyo. Siku wakichoka watasema wenyewe tena kwa HERUFI KUBWA. Sio sasa tunajikanyagakanyaga kujua ukweli uko wapi. Pande zote zinashabikiwa kwa namna isiyodhihirisha ni nini na akina nani hasa wanatakiwa kuleta mabadiliko.

Si sahihi kutumia mfano wa uhuru wa Tanganyika. Hapo ilikuwa tunapambana na dola ya kigeni katika anga za kimataifa. Liliungwa mkono na wananchi wengi sana hasa kwa vile adui alikuwa wazi kabisa - mkoloni (mgeni) tena ana rangi tofauti: nyeupe!
 
I PERSONALLY DONT GIVE A FVCK WHAT THE MINORITY OF THE 'SELF PROCLAIMED INTELLECTS OF TZ' are saying, Tanzanians choosing Magufuli over Lowassa was a very right and wise decision, Magufuli is ahead of Lowassa in terms of all the attributes needed for the top job by a street. He's the best and was the best of all presidential candidates, put aside fanaticism!
 
Dude! No matter how dissappointed you are, the truth remains Ukawa diverting for Lowassa was a wrong turn, that turns off the majority of the pro revolution, institutional change, regime change you name it, it's pure fact, whether you like or not but atleast deep down you know it!

That's a hell of a joke. Corruption has never been a serious factor in Tanzanians' decision-making psyche. Pro-revolutionary Tanzanians voting for CCM? What institutional and which regime change are they aspiring for in the grand old party of patronage run by masters of fraud and deceit?
 
Majanga yote haya tunayapata kwa sababu ya nyerere kutuachia dictator mkapa, najua wengi hamtanielewa ila baada ya mda ukweli ukidhihirika mtanielewa. Pale Dodoma huyu dictator anahusika, mwanza pale kwa sasa wimbo ni huyu dictator na kule Zanzibar muulize seif atakueleza.
 
Magufuli will be remotely controlled from Msoga..!!! Like Bulldozer...!!!

Naamini 100% kwa uhakika kabisa.....MAGUFULI HAWEZI kamata mali ya ma trillions za JK, Mkapa au Kinana...!!!

Naamini 100% kwa UHAKIKA..!! MAGUFULI HAWEZI fumua mikataba mibovu JK aliyo ingia hata kidogo...!!!

So, WATANZANIA watabakia MASKINI WA KUFA...ufukara hadi wakome...!!!

Watanzania ndio WAKOME... NATAKA WAPATE SHIDA KUU, NA DHIKI KUU... ILI wapate akili na kujua adui wa maisha yao ni CCM...!!!

Na DHIKI kuu kwa wananchi ndio INAANZA...!!!

WATANZANIA WATAJUTIA KUIRUDISHA CCM MADARAKANI...!!!

NEC ni ya CCM 100%... UKAWA, wangetakiwa wakomae kabisa kabisa... wapate TUME HURU YA UCHAGUZI...!!!

HAPA NI WIZI WA KURA TU...!!!

NEC ni ya CCM...!!! So, UPINZANI sasa wakatae NEC na wakiingia tu BUNGENI... WATAKE TUME HURU YA UCHAGUZI...!!!

BILA TUME HURU YA UCHAGUZI NI BUREEEEEEEEEE....!!!

Tulikubali vipi kwenda kwenye uchaguzi bila kudai tume huru kwanza???
 
Wanabodi,

John Pombe Magufuli ndiye Mahundi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025!, Kuna walioshindana naye, waliopingana nae, na waliopingana nae!. Kuna msemo usemao, "if you can't beat them, join them!".
.

Mkuu hapo kwenye Blue ulikua unamaanisha Mshindi ama? maana Surname zinatuhusu wengine! Lol
 
The prospect of CCM being in power for almost 60 years makes me sick to my stomach!

Not only that.

The fact that Magufuli is the least qualified of all past CCM presidential nominees and therefore the likely next president for the next 10 years is hard to bear and unforgivably cringeworthy!

We kweli Nyani,kama vipi nenda kaishi uhamishoni Rwanda
 
Wakati mpo busy kufarilia viongozi waliopita na kufundisha watu kulinda kura mlikuwa wapi kuwafundisha kuzipiga kuwaomba kuwapigia magoti pia.

Wananchi wamechagua na heshimu hayo. Kura kuibwa basi nanyi mumeiba mliposhinda.

Kumbuka ni wananchi wameamua na hawakulazimishwa kwa kushikwa shingo.
Jimbo la kilindi: Jumla ya Wapiga kura = 46830
Kura halali = 46830
Kura zilizokataliwa = Hakuna

Matokeo
ACT = 324
ADC = 221
CCM = 33942
CHADEMA = 22123
CHAUMA = 40
NLRA = 31
TLP = 27
UPDP = 22

SASA JUMLISHA MWENYEWE UJIONEE MSHANGAO WAKE.
 
Tulikubali vipi kwenda kwenye uchaguzi bila kudai tume huru kwanza???
Kama unakumbuka katiba mpya ndiyo ilikusudiwa kutumika katika uchaguzi huu lakini baada ya kushindikana ndio wakaamua (JK na Viongozi wengine - John Cheyo Mwenyekiti) kuwa vibadilishwe baadhi ya vifungu kama matokeo kupingwa, tume huru. Mbadilishaji alikuwa ni hili bunge la Makinda, lakini Cheyo akawageuka wenzake. Nadhani hata Mkulu kuna jinsi alivyo 'lielekeza' bunge na ndio maana Mh. Mnyika alivyoleta hii hoja kwa kuomba mwongozo wa dharura spika akaipiga chini!

Na jinsi 'demokrasia' ya Tanzania ilivyojaa usaliti mambo ndio yakawa yamekwama. Hata kama UKAWA wangelijitoa kwenye uchaguzi, akina Dr. Slaa na Prof. Lipumba (ambao tulijua rangi zao baadae) wangefifisha hizo move kwa kuchukua forms. Lakini pia ungelishangaa ACT kwa kushirikiana na akina Dovutwa ikisema 'sis tunaenda kwenye uchaguzi'. Kwa maana hiyo kilichofanyika ni busara.

Kuokoa nchi hii ni wananchi wenyewe kwa wingi wetu kudai tunachostahili bila kutegemea viongozi wa vyama bali kushirikiana nao! Joining them kama unavyotaka kutuaminisha utakuwa ukichaa mwingine!

 
Wanabodi,

John Pombe Magufuli ndiye Mahundi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025!, Kuna walioshindana naye, waliopingana nae, na waliopingana nae!. Kuna msemo usemao, "if you can't beat them, join them!".

Maria wito kwa wote walioshindana nae, kwanza kukubali matokeo, Pili kumpatia ushirikiano kwa ku join him.

Wakati wa mchaka to wa kumpata mgombea wa CCM nilipandisha uzi huu, kuhusu baadhi ya wagombea wa CCM wakipita wana hatari ya ku make the worst Dictators, John Pombe Magufuli was number 2 ya Rais who can make the worst dictator this country has ever had!.

Hoja kuwa Magufuli ni dictator haina mjadala, kitu cha muhimu ni kumuombea tuu kwa Mungu, angalau amfanye ni a benevolent one, vinginevyo tutajuta!.

Jakaya Kikwete ukiondoa mambo yake ya Kikwete ya uswahili Swahili, alikuja ni mtu mwenye huruma iliyooitiliza kiasi cha kutafsiriwa ni Rais dhaifu, hivyo CCM ya Kikwete ilikuwa ni CCM dhaifu!, CCM ya Magufuli itakuwa ni CCM sasa kazi tuu, ambayo ni hatari kwa waliozoea CCM lege lege, hivyo akijenga CCM imara sana, huu upinzani mwisho ni 2020!.

JK tumemchekea, tumemdhihaki, tumembeza, tumemkejeli, hadi kumchezea, yeye akicheka tuu na kuwaacha yapite. Kwa Magufuli, hakuna kucheka, wala hakuna mchezo, ni kazi tuu, hivyo hili ni angalizo muhimu sana na hata majaaliwa ya huu Uhuru tulionao humu jf mbele ya unpredictable dictator, ni mashaka matupu unless we join them!.

Thanks God, mimi ni mmoja wa wachache, wanaojua huyu Magufuli aliibukia wapi hadi yeye kuwa ndie mgombea wa CCM na sababu ni zipi!. Hivyo let's hope, only zile sababu, zilizopelekea kwa nini ni Magufuli, ndio the only ones zitakazo mcheck and balance him in between being a real dictator and a benevolent dictator, so to be on a safe side, if you can't beat them, just join them!.

Wana Chadema, Wana UKAWA na Watanzania wenzangu, najua wengi wetu tulimtaka Lowassa, tumemkosa!, tukapewa Magufuli, let's just take him!. If you can't get what you want, just take what you get!.

Sio tumjoin kwa sababu ndio tumemkubali, au kwa sababu ndio sasa tunampenda, no way, we have to join them because we have to!.

Pasco!.
Hapa Kazi tu ndio jambo jema kwa Tanzania. Ule wizi wa maofisini na kufumbiwa macho, utayeyuka punde atakapo ingia IKULU. Wengi walizoe kuiba na kufanya yao, lakini kama kufuata sheria na kuwaweka Lupango kwako ni Udiketa, basi na iwe hivyo. Hiyo ndio lugha pekee Mtanzania ataelewa na kunyooka.

Mimi napenda Dikteta tena awabane mafisadi wote kama alivyo sema, without kujali fisadi ni nani? Si, unamkumbuka Hayati Sokoine? Unakumbuka Muziki wake wa WAHUJUMU Uchumi/ Naama MUZIKI huo sasa utaupata kwa Dkt Magufuli na atawanyoosha wengi sana.

Hakuna jinsi nyingine zaidi ya kuwaweka Lupango wezi wote wa UFISADI, ili iwe FUNDISHO kwa wengi kuwa HAPA KAZI TU, anasimamia sheria na haki. Haki huwa mbaya kwa mvunjaji wa sheria ndio maana unamuita Dikteta.

SUBIRINI MUZIKI wa Magufuli, Kama huto weza kuucheza, ni bora uhame nchi.

Hapa Kazi Tu

Mungu Mbariki Dkt Magufuli.
 
The prospect of CCM being in power for almost 60 years makes me sick to my stomach!

Not only that.

The fact that Magufuli is the least qualified of all past CCM presidential nominees and therefore the likely next president for the next 10 years is hard to bear and unforgivably cringeworthy!
Go to the moon. Kule hakuna CCM utaishi upendavyo na utafanya upendayo.
 
Jimbo la kilindi: Jumla ya Wapiga kura = 46830
Kura halali = 46830
Kura zilizokataliwa = Hakuna

Matokeo
ACT = 324
ADC = 221
CCM = 33942
CHADEMA = 22123
CHAUMA = 40
NLRA = 31
TLP = 27
UPDP = 22

SASA JUMLISHA MWENYEWE UJIONEE MSHANGAO WAKE.

Hacha kupotosha umma. Matokeo sio hayo yaliyotangazwa na tume. Angalia hapa matokeo halisi.

https://m.youtube.com/watch?v=NQFWV2JWQd8
 
Back
Top Bottom