Elections 2015 If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!

Magufuli will be remotely controlled from Msoga..!!! Like Bulldozer...!!!

Naamini 100% kwa uhakika kabisa.....MAGUFULI HAWEZI kamata mali ya ma trillions za JK, Mkapa au Kinana...!!!

Naamini 100% kwa UHAKIKA..!! MAGUFULI HAWEZI fumua mikataba mibovu JK aliyo ingia hata kidogo...!!!

So, WATANZANIA watabakia MASKINI WA KUFA...ufukara hadi wakome...!!!

Watanzania ndio WAKOME... NATAKA WAPATE SHIDA KUU, NA DHIKI KUU... ILI wapate akili na kujua adui wa maisha yao ni CCM...!!!

Na DHIKI kuu kwa wananchi ndio INAANZA...!!!

WATANZANIA WATAJUTIA KUIRUDISHA CCM MADARAKANI...!!!

NEC ni ya CCM 100%... UKAWA, wangetakiwa wakomae kabisa kabisa... wapate TUME HURU YA UCHAGUZI...!!!

HAPA NI WIZI WA KURA TU...!!!

NEC ni ya CCM...!!! So, UPINZANI sasa wakatae NEC na wakiingia tu BUNGENI... WATAKE TUME HURU YA UCHAGUZI...!!!

BILA TUME HURU YA UCHAGUZI NI BUREEEEEEEEEE....!!!

Wakati mpo busy kufarilia viongozi waliopita na kufundisha watu kulinda kura mlikuwa wapi kuwafundisha kuzipiga kuwaomba kuwapigia magoti pia.

Wananchi wamechagua na heshimu hayo. Kura kuibwa basi nanyi mumeiba mliposhinda.

Kumbuka ni wananchi wameamua na hawakulazimishwa kwa kushikwa shingo.
 
The prospect of CCM being in power for almost 60 years makes me sick to my stomach!

Not only that.

The fact that Magufuli is the least qualified of all past CCM presidential nominees and therefore the likely next president for the next 10 years is hard to bear and unforgivably cringeworthy!

Hata Mimi daah nikiwaza hiyo miaka na mtu mwenyewe ndo huyu daah anyway we will survive there.

God help us.
 
JF si salama, hata sishangai kende za Pasco kurudi ndani kwa sababu ya baridi yabisi. Zangu zilinywea pia.

Kila nilipofungua nilikuta wall yangu iko signed in kwa jina tofauti.
 
Mwanaume asiekuwa na msimamo ni Janga kwenye jamii... kaa hivyo hivyo ka bendela fata upepo
Ni kutakuwa na msimamo au ni kukubali matokeo?. Magufuli akishatangazwa na kuapishwa, yeye ndie rais wetu!, ndie rais wako, ndie rais wangu, ndie rais wa Lowassa ndie rais wa wote!, uwe ukimchagua, hukumchagua, unamtambua, humtambua, its never gonna change a thing kwa sababu urais is a fact!.

Labda nikumbushe nilisema nini 2010 Dr Slaa alivyosusia matokeo na hatimaye Chadema kujidai hawamtambui JK.

Pasco
 
Trust me! Ikiwa Magufuli atabahatika kushinda, basi ndiye atakayeifuta CCM kwenye ramani ya siasa za Tanzania! Kwa ufupi ni kilaza na wanaotarajia jipya kutoka kwake watavunjika moyo kupita kiasi!! Kazi ya urais siyo kukesha site kutafuta ujiko kwa makelele na kujipa ubora miongoni mwa wenzako!! Kumbuka kuwa urais ni kuongoza hivyo kila dosari unatupiwa wewe!! Sielewi na nasema tena sielewi imani ya watu kwa Magufuli ni yale makelele au kwenda kuchukua nyundo kugongagonga lami au kwenda kwenye mzani wa Kibaha au kutaja idadi na takwimu au kupiga makelele!

Ukijifanya mbabe kwenye urais wakati nchi yako ni masikini wakubwa watakubana tu! Ukiwa kilaza wa kushindwa kubuni mbinu za kuondoa umasikini imekula kwako!! Magufuli ana mbinu gani???
 
Nakubaliana na wanaosema Magufuli atakuwa under control kwa 100% ikipungua itakuwa 99.9 na kuachiwa 0.1 kwa ajili ya kum control mkewe na family yake lakini madaraka yake yapo chini ya kimvuli cha mfumo anaokwenda kuutumikia....
Hakuna marefu yasiyo na ncha.....
 
Wanabodi,

John Pombe Magufuli ndiye Mahundi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025!, Kuna walioshindana naye, waliopingana nae, na waliopingana nae!. Kuna msemo usemao, "if you can't beat them, join them!".

Maria wito kwa wote walioshindana nae, kwanza kukubali matokeo, Pili kumpatia ushirikiano kwa ku join him.

Wakati wa mchaka to wa kumpata mgombea wa CCM nilipandisha uzi huu, kuhusu baadhi ya wagombea wa CCM wakipita wana hatari ya ku make the worst Dictators, John Pombe Magufuli was number 2 ya Rais who can make the worst dictator this country has ever had!.

Hoja kuwa Magufuli ni dictator haina mjadala, kitu cha muhimu ni kumuombea tuu kwa Mungu, angalau amfanye ni a benevolent one, vinginevyo tutajuta!.

Jakaya Kikwete ukiondoa mambo yake ya Kikwete ya uswahili Swahili, alikuja ni mtu mwenye huruma iliyooitiliza kiasi cha kutafsiriwa ni Rais dhaifu, hivyo CCM ya Kikwete ilikuwa ni CCM dhaifu!, CCM ya Magufuli itakuwa ni CCM sasa kazi tuu, ambayo ni hatari kwa waliozoea CCM lege lege, hivyo akijenga CCM imara sana, huu upinzani mwisho ni 2020!.

JK tumemchekea, tumemdhihaki, tumembeza, tumemkejeli, hadi kumchezea, yeye akicheka tuu na kuwaacha yapite. Kwa Magufuli, hakuna kucheka, wala hakuna mchezo, ni kazi tuu, hivyo hili ni angalizo muhimu sana na hata majaaliwa ya huu Uhuru tulionao humu jf mbele ya unpredictable dictator, ni mashaka matupu unless we join them!.

Thanks God, mimi ni mmoja wa wachache, wanaojua huyu Magufuli aliibukia wapi hadi yeye kuwa ndie mgombea wa CCM na sababu ni zipi!. Hivyo let's hope, only zile sababu, zilizopelekea kwa nini ni Magufuli, ndio the only ones zitakazo mcheck and balance him in between being a real dictator and a benevolent dictator, so to be on a safe side, if you can't beat them, just join them!.

Wana Chadema, Wana UKAWA na Watanzania wenzangu, najua wengi wetu tulimtaka Lowassa, tumemkosa!, tukapewa Magufuli, let's just take him!. If you can't get what you want, just take what you get!.

Sio tumjoin kwa sababu ndio tumemkubali, au kwa sababu ndio sasa tunampenda, no way, we have to join them because we have to!.

Pasco!.

So painful
 
Trust me! Ikiwa Magufuli atabahatika kushinda, basi ndiye atakayeifuta CCM kwenye ramani ya siasa za Tanzania! Kwa ufupi ni kilaza na wanaotarajia jipya kutoka kwake watavunjika moyo kupita kiasi!! Kazi ya urais siyo kukesha site kutafuta ujiko kwa makelele na kujipa ubora miongoni mwa wenzako!! Kumbuka kuwa urais ni kuongoza hivyo kila dosari unatupiwa wewe!! Sielewi na nasema tena sielewi imani ya watu kwa Magufuli ni yale makelele au kwenda kuchukua nyundo kugongagonga lami au kwenda kwenye mzani wa Kibaha au kutaja idadi na takwimu au kupiga makelele!

Ukijifanya mbabe kwenye urais wakati nchi yako ni masikini wakubwa watakubana tu! Ukiwa kilaza wa kushindwa kubuni mbinu za kuondoa umasikini imekula kwako!! Magufuli ana mbinu gani???

Aaagh unamuita kilaza aaagghh basi tumia usafiri wa anga maana barabara za kilaza zitakumeza.

Nyie ndio mnaoshinda mnakulwa rushwa kutumikia wananvhi sasa mnalo.
 
Pole kwa kutarajia mabadiliko..huyu mtu hanajipya

Ngoja aanze

Na kumbuka mabadiliko uletwa na wanaoyataka

Wewe na wenzako wengi mmeshapanga mtabadilika nini kuchangia mnayoyataka katika nchi yetu?

Wengi mnakalia kuandika tu humu na kukopi mawaidha ya wengine mitandaoni mkitoka tu humu akili zinakuwa hazina hata fikra ya nitatwngenezaje sh elfu kumi hii mkononi inizalie hata elfu mbili, mnaimwaga yote bwaaaaa

Mnakaa baadae mnalua mabadiliko je wewe na yule na yule mmebadilika?
 
Magufuli will be remotely controlled from Msoga..!!! Like Bulldozer...!!!

Naamini 100% kwa uhakika kabisa.....MAGUFULI HAWEZI kamata mali ya ma trillions za JK, Mkapa au Kinana...!!!

Naamini 100% kwa UHAKIKA..!! MAGUFULI HAWEZI fumua mikataba mibovu JK aliyo ingia hata kidogo...!!!

So, WATANZANIA watabakia MASKINI WA KUFA...ufukara hadi wakome...!!!

Watanzania ndio WAKOME... NATAKA WAPATE SHIDA KUU, NA DHIKI KUU... ILI wapate akili na kujua adui wa maisha yao ni CCM...!!!

Na DHIKI kuu kwa wananchi ndio INAANZA...!!!

WATANZANIA WATAJUTIA KUIRUDISHA CCM MADARAKANI...!!!

NEC ni ya CCM 100%... UKAWA, wangetakiwa wakomae kabisa kabisa... wapate TUME HURU YA UCHAGUZI...!!!

HAPA NI WIZI WA KURA TU...!!!

NEC ni ya CCM...!!! So, UPINZANI sasa wakatae NEC na wakiingia tu BUNGENI... WATAKE TUME HURU YA UCHAGUZI...!!!

BILA TUME HURU YA UCHAGUZI NI BUREEEEEEEEEE....!!!


Ni kweli 100%
 
Trust me! Ikiwa Magufuli atabahatika kushinda, basi ndiye atakayeifuta CCM kwenye ramani ya siasa za Tanzania! Kwa ufupi ni kilaza na wanaotarajia jipya kutoka kwake watavunjika moyo kupita kiasi!! Kazi ya urais siyo kukesha site kutafuta ujiko kwa makelele na kujipa ubora miongoni mwa wenzako!! Kumbuka kuwa urais ni kuongoza hivyo kila dosari unatupiwa wewe!! Sielewi na nasema tena sielewi imani ya watu kwa Magufuli ni yale makelele au kwenda kuchukua nyundo kugongagonga lami au kwenda kwenye mzani wa Kibaha au kutaja idadi na takwimu au kupiga makelele!

Ukijifanya mbabe kwenye urais wakati nchi yako ni masikini wakubwa watakubana tu! Ukiwa kilaza wa kushindwa kubuni mbinu za kuondoa umasikini imekula kwako!! Magufuli ana mbinu gani???


Mkuu hawa wengi ni vilaza mno...

Usimalize maneno... tuombe uhai...
 
Back
Top Bottom