Elections 2015 If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!

eti lets pray for him!!! for what? MUNGU afanye nini? ili hali majority mmemuhitaji huyo dictator.MUNGU awasaidie kwa lipi. Watu wa israel walichoka uongozi wa manabii wakatata wafalme pamoja na MUNGU kuwaambia ukweli juu ya mambo watakayofanyiwa na mfalme ambaye MUNGU angewapa bado wao wakataka huyo huyo. MUNGU aliwaeleza Sauli atawatesa,atawabaka binti zenu na wake zenu,atawauwa,atawatumikisheni bado wakamtaka huyo. taifa la israel lina historia nzuri sana. wana wa israeli walipokuwa wanatolewa utumwani misri kwenda kaanani kijografia safari yao ingewachukua muda wa wiki moja hadi mbili. lakini kwa kuwa walikuwa vichwa nazi na ujinga wao ukawagharimu miaka 40 safarini. Na sisi ndo hivo hivo. wewe unasema mtu dictator wengi mmemchagua hivi MUNGU afanye nini? do you think huyu hadi anakuwa dictator MUNGU alikuwa likizo? au mlikuwa hamjaanza kumwombea kama mlianza kumwombea na bado akabaki kuwa dictator unafikiri kwa kuwa kapata urais basi sala zenu zitafanya kazi? kuna akili hazichunguziki kweli
 
Kati ya pumba ya mwaka hii nayo pia. unapata wapi ujasiri wa kusema magufuri rais 2015-2025 God forbid!!!!! nani katuroga sisi? nimeamini kuna watu mpo for your personal interest not country interest watu kama wewe mkoa wa mara Tarime kisu halali yake!!!! til when tutakapokubali upuuzi kufanyiwa maigizo kwenye maisha yetu. ukawa imepata ushindi Dar lakini bado CCM bado imeambulia kura nyingi jambo ambalo halikupaswa kabisa kuna uwezekano watu wa design hii wengi sana mijitu minafiki nafiki mara njano mara nyekundu hebu kuweni na msimamo bwana hata kama wengi wamemchagua sawa atatuongoza na sisi sawa lakini ukweli utabaki kuwa hatumpendi na hatu ukubali uongozi. we join them for eti coz we have to seriously? if we dont join them tutachinjwa, au watatunyima chakula au kazi? potelea mbali vyovyote watufanyie hata kama maalim na mbowe wa join nao better nibaki mwenyewe kuliko kuwa mtumwa wa fikra kabisa.


Usipanic!! ndio akili za wabongo wenzio hizo....
 
The prospect of CCM being in power for almost 60 years makes me sick to my stomach!

Not only that.

The fact that Magufuli is the least qualified of all past CCM presidential nominees and therefore the likely next president for the next 10 years is hard to bear and unforgivably cringeworthy!
Nyani: I admired you for constructive criticism but you have failed me this time by not putting down Dr Magufuli's least qualification compared with past presidents. No data keep you speculations with you stacked in your head
 
Last edited by a moderator:
Magufuli will be remotely controlled from Msoga..!!! Like Bulldozer...!!!

Naamini 100% kwa uhakika kabisa.....MAGUFULI HAWEZI kamata mali ya ma trillions za JK, Mkapa au Kinana...!!!

Naamini 100% kwa UHAKIKA..!! MAGUFULI HAWEZI fumua mikataba mibovu JK aliyo ingia hata kidogo...!!!

So, WATANZANIA watabakia MASKINI WA KUFA...ufukara hadi wakome...!!!

Watanzania ndio WAKOME... NATAKA WAPATE SHIDA KUU, NA DHIKI KUU... ILI wapate akili na kujua adui wa maisha yao ni CCM...!!!

Na DHIKI kuu kwa wananchi ndio INAANZA...!!!

WATANZANIA WATAJUTIA KUIRUDISHA CCM MADARAKANI...!!!

NEC ni ya CCM 100%... UKAWA, wangetakiwa wakomae kabisa kabisa... wapate TUME HURU YA UCHAGUZI...!!!

HAPA NI WIZI WA KURA TU...!!!

NEC ni ya CCM...!!! So, UPINZANI sasa wakatae NEC na wakiingia tu BUNGENI... WATAKE TUME HURU YA UCHAGUZI...!!!

BILA TUME HURU YA UCHAGUZI NI BUREEEEEEEEEE....!!!

Hii mimi nililiona tokea mwanzo. Niliwahi kutoa angalizo humu wakati akina Mbowe wakiangaika na daftari la kudumu. Nikasema cha kwanza kabisa kama wanataka ushindi, wangepigania kuwe na Tume huru ya Uchaguzi.

Bila kuwa na Tume huru ya Uchaguzi CCM itaendelea kutawala milele na milele.
 
Trust me! Ikiwa Magufuli atabahatika kushinda, basi ndiye atakayeifuta CCM kwenye ramani ya siasa za Tanzania! Kwa ufupi ni kilaza na wanaotarajia jipya kutoka kwake watavunjika moyo kupita kiasi!! Kazi ya urais siyo kukesha site kutafuta ujiko kwa makelele na kujipa ubora miongoni mwa wenzako!! Kumbuka kuwa urais ni kuongoza hivyo kila dosari unatupiwa wewe!! Sielewi na nasema tena sielewi imani ya watu kwa Magufuli ni yale makelele au kwenda kuchukua nyundo kugongagonga lami au kwenda kwenye mzani wa Kibaha au kutaja idadi na takwimu au kupiga makelele!

Ukijifanya mbabe kwenye urais wakati nchi yako ni masikini wakubwa watakubana tu! Ukiwa kilaza wa kushindwa kubuni mbinu za kuondoa umasikini imekula kwako!! Magufuli ana mbinu gani???
Raisi Pombe kama atatangazwa na NEC atatumia lugha gani atakapokwenda kutembeza bakuli?

Hapakazi tu na push up.....

Mimi nalia na nyumba za serikali.....huyu "raisi" si atapiga mnada kila kitu chetu?
 
They will frustrate him na akijifanya mbishi hao hao CCM wanaweza kumbwaga kwenye uchaguzi ujao.

CCM ya sasa si ile ya Nyerere au Mwinyi. Sasa hivi kuna makundi ndani yake yenye wa wafanyabiashara ambao ndio wafadhili wa CCM na Media.

Kikwete kamaliza miaka kumi kwa "Kuuma na Kupuliza"!
 
ktk vitu ambavyo atakosea ni kufuata nyayo za mtangulizi wake!!!




QUOTE=Pasco;14485374]Wanabodi,

John Pombe Magufuli ndiye Mahundi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025!, Kuna walioshindana naye, waliopingana nae, na waliopingana nae!. Kuna msemo usemao, "if you can't beat them, join them!".

Maria wito kwa wote walioshindana nae, kwanza kukubali matokeo, Pili kumpatia ushirikiano kwa ku join him.

Wakati wa mchaka to wa kumpata mgombea wa CCM nilipandisha uzi huu, kuhusu baadhi ya wagombea wa CCM wakipita wana hatari ya ku make the worst Dictators, John Pombe Magufuli was number 2 ya Rais who can make the worst dictator this country has ever had!.

Hoja kuwa Magufuli ni dictator haina mjadala, kitu cha muhimu ni kumuombea tuu kwa Mungu, angalau amfanye ni a benevolent one, vinginevyo tutajuta!.

Jakaya Kikwete ukiondoa mambo yake ya Kikwete ya uswahili Swahili, alikuja ni mtu mwenye huruma iliyooitiliza kiasi cha kutafsiriwa ni Rais dhaifu, hivyo CCM ya Kikwete ilikuwa ni CCM dhaifu!, CCM ya Magufuli itakuwa ni CCM sasa kazi tuu, ambayo ni hatari kwa waliozoea CCM lege lege, hivyo akijenga CCM imara sana, huu upinzani mwisho ni 2020!.

JK tumemchekea, tumemdhihaki, tumembeza, tumemkejeli, hadi kumchezea, yeye akicheka tuu na kuwaacha yapite. Kwa Magufuli, hakuna kucheka, wala hakuna mchezo, ni kazi tuu, hivyo hili ni angalizo muhimu sana na hata majaaliwa ya huu Uhuru tulionao humu jf mbele ya unpredictable dictator, ni mashaka matupu unless we join them!.

Thanks God, mimi ni mmoja wa wachache, wanaojua huyu Magufuli aliibukia wapi hadi yeye kuwa ndie mgombea wa CCM na sababu ni zipi!. Hivyo let's hope, only zile sababu, zilizopelekea kwa nini ni Magufuli, ndio the only ones zitakazo mcheck and balance him in between being a real dictator and a benevolent dictator, so to be on a safe side, if you can't beat them, just join them!.

Wana Chadema, Wana UKAWA na Watanzania wenzangu, najua wengi wetu tulimtaka Lowassa, tumemkosa!, tukapewa Magufuli, let's just take him!. If you can't get what you want, just take what you get!.

Sio tumjoin kwa sababu ndio tumemkubali, au kwa sababu ndio sasa tunampenda, no way, we have to join them because we have to!.

Pasco!.[/QUOTE]
 
Wanabodi,

John Pombe Magufuli ndiye Mahundi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wga 2015-2025!, Kuna walioshindana naye, waliopingana nae, na waliopingana nae!. Kuna msemo usemao, "if you can't beat them, join them!".

Maria wito kwa wote walioshindana nae,


kwanza kukubali matokeo, Pili kumpatia ushirikiano kwa ku join him.

Wakati wa mchaka to wa kumpata mgombea wa CCM nilipandisha uzi huu, kuhusu baadhi ya wagombea wa CCM wakipita wana hatari ya ku make the worst Dictators, John Pombe Magufuli was number 2 ya Rais who can make the worst dictator this country has ever had!.

Hoja kuwa Magufuli ni dictator haina mjadala, kitu cha muhimu ni kumuombea tuu kwa Mungu, angalau amfanye ni a benevolent one, vinginevyo tutajuta!.

Jakaya Kikwete ukiondoa mambo yake ya Kikwete ya uswahili Swahili, alikuja ni mtu mwenye huruma iliyooitiliza kiasi cha kutafsiriwa ni Rais dhaifu, hivyo CCM ya Kikwete ilikuwa ni CCM dhaifu!, CCM ya Magufuli itakuwa ni CCM sasa kazi tuu, ambayo ni hatari kwa waliozoea CCM lege lege, hivyo akijenga CCM imara sana, huu upinzani mwisho ni 2020!.

JK tumemchekea, tumemdhihaki, tumembeza, tumemkejeli, hadi kumchezea, yeye akicheka tuu na kuwaacha yapite. Kwa Magufuli, hakuna kucheka, wala hakuna mchezo, ni kazi tuu, hivyo hili ni angalizo muhimu sana na hata majaaliwa ya huu Uhuru tulionao humu jf mbele ya unpredictable dictator, ni mashaka matupu unless we join them!.

Thanks God, mimi ni mmoja wa wachache, wanaojua huyu Magufuli aliibukia wapi hadi yeye kuwa ndie mgombea wa CCM na sababu ni zipi!. Hivyo let's hope, only zile sababu, zilizopelekea kwa nini ni Magufuli, ndio the only ones zitakazo mcheck and balance him in between being a real dictator and a benevolent dictator, so to be on a safe side, if you can't beat them, just join them!.

Wana Chadema, Wana UKAWA na Watanzania wenzangu, najua wengi wetu tulimtaka Lowassa, tumemkosa!, tukapewa Magufuli, let's just take him!. If you can't get what you want, just take what you get!.

Sio tumjoin kwa sababu ndio tumemkubali, au kwa sababu ndio sasa tunampenda, no way, we have to join them because we have to!.

Pasco!.


Mkuu pasco umekuwa kama mwanamke malaya,,,kutwa kujikombakomba,,,ulikuwa ukawa,,,kelele za lowassa kila siku...ukaja na itv na mengi...sasa magufuli...tulia huko huko upinzani uendeleze mapambano..huo ndo uanaume,,,sio kujikombakomba. Huna tena hoja babu
 
kuna watu wamekuwa wakilia sana kwamba Tanzania tunahitaji dictator; Mungu amewasikia amewapa!!!! Msianze kulia lia hata kabla hajaingia ofisini!!!

sio ili mradi dictator .....anatakiwa awe na added values nyingine kama akili ,focus ,vision ....lakini huyu wa kwenu mhm sijui
 
Katika watu nilokuwa nawakubali humu jukwaani nawe ulikuwa mmoja wapo! Kwahiyo umekubali hayo matokeo??? SAD.
Hata ukikataa utaleta tofauti gani mbele ya mtutu wa bunduki,mabomu ya machozi na magari ya washa washa a.k.a vikojozi!Jeshi lao,polisi wao,mahakama zao,unataka akatae tu kwenye keyboard?


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Trust me! Ikiwa Magufuli atabahatika kushinda, basi ndiye atakayeifuta CCM kwenye ramani ya siasa za Tanzania! Kwa ufupi ni kilaza na wanaotarajia jipya kutoka kwake watavunjika moyo kupita kiasi!! Kazi ya urais siyo kukesha site kutafuta ujiko kwa makelele na kujipa ubora miongoni mwa wenzako!! Kumbuka kuwa urais ni kuongoza hivyo kila dosari unatupiwa wewe!! Sielewi na nasema tena sielewi imani ya watu kwa Magufuli ni yale makelele au kwenda kuchukua nyundo kugongagonga lami au kwenda kwenye mzani wa Kibaha au kutaja idadi na takwimu au kupiga makelele!

Ukijifanya mbabe kwenye urais wakati nchi yako ni masikini wakubwa watakubana tu! Ukiwa kilaza wa kushindwa kubuni mbinu za kuondoa umasikini imekula kwako!! Magufuli ana mbinu gani???

Dah..yaani umegonga palepale ..yaani nimebaki nawaonea huruma watanzania wenzangu ambao wanategemea watavuka toka hapa tulipo.....ni huruma kwelikweli...makosa kama haya yalifanyikaga 2005 ....
 
Hii mimi nililiona tokea mwanzo. Niliwahi kutoa angalizo humu wakati akina Mbowe wakiangaika na daftari la kudumu. Nikasema cha kwanza kabisa kama wanataka ushindi, wangepigania kuwe na Tume huru ya Uchaguzi.

Bila kuwa na Tume huru ya Uchaguzi CCM itaendelea kutawala milele na milele.
Wanasiasa wote ni majambazi na matapeli.
Unafikiri kuna mwanasiasa anayemjali mtu wa kawaida, mlalahoi?

Vyama vya upinzani vimekuwa haviambiliki, havishauriki.

Vyama vya upinzani kuingia katika uchaguzi kushindana na CCM, Chama dola ni sawa na mtoto mdogo kumtania Tyson au Mohammad Ali, atakuharibu uso na kukuacha na manundu.

Na hawasomi hili somo, kila baada ya miaka mitano wanaenda kutafuta majeraha mengine.

Katiba mpya na Tume huru.

Kuna wanamabadiliko wanauliza..."ulitaka vyama vya upinzani visusie kushiriki uchaguzi?"

Mimi nilifikiri vyama vya upinzani vinataka vishinde na kutangazwa washindi, kama hili si muhimu kwao wacha vishiriki tu. Lakini visitumie damu ya walalahoi kujipatia ruzuku.
 
Wakati mpo busy kufarilia viongozi waliopita na kufundisha watu kulinda kura mlikuwa wapi kuwafundisha kuzipiga kuwaomba kuwapigia magoti pia.

Wananchi wamechagua na heshimu hayo. Kura kuibwa basi nanyi mumeiba mliposhinda.

Kumbuka ni wananchi wameamua na hawakulazimishwa kwa kushikwa shingo.
Roho yako inajua unasema uwongo.... Mungu wetu anjua wewe ni Mwongo.....
 
Mwanaume asiekuwa na msimamo ni Janga kwenye jamii... kaa hivyo hivyo ka bendela fata upepo

Ni kwel kabisa mwanaume shababi unatakiwa uwe na msimamo kwa kile unachokiamini bila kuyumbishwa kwa namna yeyote ile, yuko kama boya linalopelekwa pelekwa huku na kule, hiyo ni dariri mbaya kwa mwanaume mwisho wa siku utaombwa visivyoombwa na ukatoa bila hiyana. Shame on you Pasco.
 
Sasa kwanini watusumbue kumbe walisha mpitisha mapema? So bad! Na huku nikuwachezea wananchi na kuchezea resource za nchi!
 
Back
Top Bottom