Idadi ya vifo vilivyotokana na mgomo wa madaktari

Unachokisema ni kweli mm nililazwa pale na mwanangu kila baada ya lisaa hadi masaa 2 lazima uione kitambaa cha kijani maana yake mtoto alishaondok. Kila wakati mpaka unaona mtoto wako ndiye atakayefuata. KusemA ukweli madaktari sio muhimbili tuu wanafanya kazi katika mazingira hatarishi na watu wengi wanawafia mikononi kwa sababu ya upungufu wa vitendea kazi.
waulize madaktari ni watu wangapi wanakufa kwa kukosa matibabu ya kawaida sababu ya upungufu wa vitendea kazi. Nasikia katika wodi ya watoto muhibili hufa watoto 10 kila siku , piga idadi hiyo kwa mwezi uone balaa lake
naona ni vizuri madaktari mtuwekee data za vifo hata kabla ya mgomo ambavyo vingeweza kuzuilika kama mazingira yenu yangeboreshwa
 
Umefanya vipi huo utafiti wako??....... Kabla ya mgomo takwimu zilikuaje?..... waliofariki kwa sababu ipi?.... maswali ni mengi sana mkuu...hata hivyo hiyo nadhani idadi ni kubwa sana
 
waulize madaktari ni watu wangapi wanakufa kwa kukosa matibabu ya kawaida sababu ya upungufu wa vitendea kazi. Nasikia katika wodi ya watoto muhibili hufa watoto 10 kila siku , piga idadi hiyo kwa mwezi uone balaa lake
naona ni vizuri madaktari mtuwekee data za vifo hata kabla ya mgomo ambavyo vingeweza kuzuilika kama mazingira yenu yangeboreshwa
hilo nalo neno mkuu
 
698 hapa ndipo tulipofika. LIWALO NA LIWE. Kumbuka nilianza utaft from 26th to date.
Join Date : 3rd July 2012
Posts : 16
Rep Power : 304
Likes Received 0
Likes Given 0
yaani umeingia tu humu hata hatujakutambua kwa kukukaribisha unakuja na takwimu...haya bwana...hat hivo tunashukuru kwa takwimu zako...
 
mmhh, mbona wengi hivyo!?? umefanya research kweli!!

Polen wafiwa, mungu awape faraja
maisha ni maisha afe mmoja wafe wengi haikubaliki! inatakiwa vifo vyote viwe doccumented ili baada wanaharakati tuwe na data za kufungua kesi dhidi ya serikali kwa kushindwa kutoa huduma za afya kwa raia wake huku wakikusanya kodi zao na kusababisha vifo!!
 
ndugu wanajamvi kufuatia mgomo wa madaktari unaoendelea watu wengi wamepoteza maisha wakiwa hospitalini, njiani kupelekwa private hospitals na kurudishwa majumbani kutokana na mgomo. Kulingana na tathmini niliyoifanya mimi katika hospitali ya rufaa mhimbili na baadhi ya mitaa katika jiji la dar na mbeya watu 698 wamepoteza maisha katika wiki hz za mgomo. Jk na utawala wako mna kesi ya kujibu
nina shaka na na utafiti wako!!!!!!!!!! Scan the document then post hapa usituletee utafiti wa loliondo hapa.unapotosha umma
 
CDM haijali ni wangapi watakufa na mgomo huo bali ni kwa kiasi gani mgomo huo utakinufaisha kushika nchi 2015. lakini naona hii strategy imekosewa, wajipange upya.
 
Lets be serious and look on the Reality/fact, kujiunga kwangu jana haina maana nilianza kufanya utaft jana. Bali baada ya kuona matokeo hayo yanatisha ilinibidi nije tushee humu. Kuendelea kuivumilia serikali kwa udhalimu wake ni kuendelea kuwaua zaid wananch. Hebu to take action dhid ya Jk na Liwalo na Liwe
Join Date : 3rd July 2012
Posts : 16
Rep Power : 304
Likes Received 0
Likes Given 0
yaani umeingia tu humu hata hatujakutambua kwa kukukaribisha unakuja na takwimu...haya bwana...hat hivo tunashukuru kwa takwimu zako...
 
Acha fikra potofu CDM hawawezi kuwa chanzo cha mgomo na ndomana CCM wameishindwa nchi kwa kusingizia CHADEMA.
CDM haijali ni wangapi watakufa na mgomo huo bali ni kwa kiasi gani mgomo huo utakinufaisha kushika nchi 2015. lakini naona hii strategy imekosewa, wajipange upya.
 
Ndugu wanajamvi kufuatia mgomo wa madaktari unaoendelea watu wengi wamepoteza maisha wakiwa hospitalini, njiani kupelekwa Private hospitals na kurudishwa majumbani kutokana na Mgomo. Kulingana na Tathmini niliyoifanya mimi katika hospitali ya rufaa mhimbili na baadhi ya mitaa katika jiji la Dar na Mbeya watu 698 wamepoteza maisha katika wiki hz za mgomo. JK na utawala wako mna kesi ya kujibu

Umejumlisha na ajali za barabarani nini mkuu? hii taarifa yako haiko sawa!
 
CDM haijali ni wangapi watakufa na mgomo huo bali ni kwa kiasi gani mgomo huo utakinufaisha kushika nchi 2015. lakini naona hii strategy imekosewa, wajipange upya.

Napata wasiwasi na uweezo wako wa kufikiri mbali.
Hata hivo, kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake ili mradi asivuruge amani wala kuvunja sheria.
Hayo ni maoni yako
 
Hosptali zote pamoja na Zahatati Tanzania nzima nasikia waligoma, pole kwa msiba.
 
Tumepoteza ndugu zetu wengi sana ambao hawana hatia but serikal imenyamaza kimya
 
Mtoa mada anaendelea kutoa ushahi ni namna gani CDM wanaendesha migo hapa nchi kwa maslahi ya pepo mtaka vyeo. Eti watoto wanakufa kwa sababu ya mazingira ya kazi. Acha ushamba wewe ongea kwa vielelezo vya kisayansi siyo hulka ok. Jadili namna ya kuboresha huduma mbalimbali hapa nchini acha kuto mtazamo toa suluhisho la kudumu
 
CDM haijali ni wangapi watakufa na mgomo huo bali ni kwa kiasi gani mgomo huo utakinufaisha kushika nchi 2015. lakini naona hii strategy imekosewa, wajipange upya.

Mkuu CDM wanaingiaje hapa,propaganda hizo hazina tija kwa sasa, sidhani kama madaktari ni wajinga kiasi cha kuweza kutumika kisiasa hivyo!
 
waulize madaktari ni watu wangapi wanakufa kwa kukosa matibabu ya kawaida sababu ya upungufu wa vitendea kazi. Nasikia katika wodi ya watoto muhibili hufa watoto 10 kila siku , piga idadi hiyo kwa mwezi uone balaa lake
naona ni vizuri madaktari mtuwekee data za vifo hata kabla ya mgomo ambavyo vingeweza kuzuilika kama mazingira yenu yangeboreshwa

Good point, sasa unaambiwa huko wilayani na mikoani hakuna x-rays, so kuna watu ambao wamepoteza maisha yao kwa sababu walikua na tatizo ambalo lingefahamika na kutibiwa kutumia x-ray so your right if you think about it hii serikali iko responsible kwa vifo vingi sana ambavyo kungekua kuna CT SCAN or X-RAY au vifaa vingine mbalimbali wangeokoa maisha ya watu
 
Lets be serious and look on the Reality/fact, kujiunga kwangu jana haina maana nilianza kufanya utaft jana. Bali baada ya kuona matokeo hayo yanatisha ilinibidi nije tushee humu. Kuendelea kuivumilia serikali kwa udhalimu wake ni kuendelea kuwaua zaid wananch. Hebu to take action dhid ya Jk na Liwalo na Liwe

Karibu jamvini mdau! Hebu nikuulize kitu,unauhakika JK akitoka madarakani atakaye m-replace atawalipa madaktari mshahara na marupurupu ya Shilingi mil 7.7 kwa mwezi?
Ataweka mazingira mazuri ya hospitali nchini kote ndani ya siku moja ili kesho yake madaktari wafanyekazi?

Tafakari!!!!!! Chukua hatua!!!!! Punguza kiherehere and think critically!!!!
 
Back
Top Bottom