Sudan: Idadi ya Watu waliofariki kutokana na Mapigano yafikia 822

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,024
1,616
Chama cha Madaktari nchini humo kimetangaza kuwa idadi ya vifo vya Raia kutokana na mapigano yanayoendelea kati ya Jeshi na vikosi vya Rapid Support Forces (RSF) imefikia 822, na wengine 3,215 wamejeruhiwa

Jiji la El-Geneina katika Jimbo la Darfur Magharibi linatajwa kuathirika zaidi tangu kuanza kwa mgogoro huo uliosababisha vifo vya watu 280 na zaidi ya majeruhi 160 ndani ya saa 48 pekee

Kulingana na madaktari hao, Miji mingine ambapo raia wamepoteza maisha ni pamoja na Mji Mkuu Khartoum na Miji ya Bahri, Omdurman na El Obeid

=======

The world through its media
Smoke billows above buildings in southern Khartoum amid ongoing fighting between the forces of two rival generals, on May 16, 2023.

The city of El Geneina in West Darfur State experienced the worst violence with 280 deaths, doctors sayImage caption: The city of El Geneina in West Darfur State experienced the worst violence with 280 deaths, doctors say

A Sudanese doctors' union has said that the civilian death toll from the ongoing fighting between the army and the paramilitary Rapid Support Forces (RSF) has risen to 822, with 3,215 others wounded.

Confrontations that broke out on 15 April have worsened despite truce talks in the Saudi port city of Jeddah and the signing of a "declaration of principles" on 11 May to protect civilians and facilitate humanitarian aid.

"The city of El-Geneina in West Darfur state experienced the worst violence since the start of the conflict...[with] 280 deaths, and more than 160 injuries in the last two days alone," the Sudanese Doctors' Syndicate said in a Facebook post on Tuesday.

According to the doctors, the other cities where civilians died in the clashes include the capital Khartoum and the adjoining cities of Bahri and Omdurman, as well as El Obeid (also Al-Obeid), capital of North Kordofan State.

The conflict, now in its second month, has also displaced nearly a million people from their homes, according to the UN.

Source: BBC, The Standard
 
hiyo ni kidogo itakuwa hata mamilioni, wanaficha..labda BBC iwe kwenye ground ndiyo tutapata ukweli
 
Back
Top Bottom