Karibu jamvini mdau! Hebu nikuulize kitu,unauhakika JK akitoka madarakani atakaye m-replace atawalipa madaktari mshahara na marupurupu ya Shilingi mil 7.7 kwa mwezi?
Ataweka mazingira mazuri ya hospitali nchini kote ndani ya siku moja ili kesho yake madaktari wafanyekazi?
Tafakari!!!!!! Chukua hatua!!!!! Punguza kiherehere and think critically!!!!
mtendaji wa kijiji hizi takwimu zako umetoa wapi!..?
Ndugu wanajamvi kufuatia mgomo wa madaktari unaoendelea watu wengi wamepoteza maisha wakiwa hospitalini, njiani kupelekwa Private hospitals na kurudishwa majumbani kutokana na Mgomo. Kulingana na Tathmini niliyoifanya mimi katika hospitali ya rufaa mhimbili na baadhi ya mitaa katika jiji la Dar na Mbeya watu 698 wamepoteza maisha katika wiki hz za mgomo. JK na utawala wako mna kesi ya kujibu na Ifike hatua sasa mshughulikie matatizo kwa dhati na sio kushutumu CHADEMA wakati ninyi ndo vyanzo vya matatizo na vifo hivi kwa utendaji wenu dhaifu. Swalahili la mgoo tusilihusishe kabisa na siasa
Ndugu wanajamvi kufuatia mgomo wa madaktari unaoendelea watu wengi wamepoteza maisha wakiwa hospitalini, njiani kupelekwa Private hospitals na kurudishwa majumbani kutokana na Mgomo. Kulingana na Tathmini niliyoifanya mimi katika hospitali ya rufaa mhimbili na baadhi ya mitaa katika jiji la Dar na Mbeya watu 698 wamepoteza maisha katika wiki hz za mgomo. JK na utawala wako mna kesi ya kujibu na Ifike hatua sasa mshughulikie matatizo kwa dhati na sio kushutumu CHADEMA wakati ninyi ndo vyanzo vya matatizo na vifo hivi kwa utendaji wenu dhaifu. Swalahili la mgoo tusilihusishe kabisa na siasa
wafiwa polen sana. madactari tuhurumieni, mwishowe tutakufa wote
Muuaji ni ulimboka wacha na yeye afe, kwa Nini kuua wenzake.
wewe ni diwani wa ccm??? Hawa ndo hutumia hoja feki. Kweli watu wamekufa ila si kwa hiyo exagaration. Usiwe nkama diwani wa ccmndugu wanajamvi kufuatia mgomo wa madaktari unaoendelea watu wengi wamepoteza maisha wakiwa hospitalini, njiani kupelekwa private hospitals na kurudishwa majumbani kutokana na mgomo. Kulingana na tathmini niliyoifanya mimi katika hospitali ya rufaa mhimbili na baadhi ya mitaa katika jiji la dar na mbeya watu 698 wamepoteza maisha katika wiki hz za mgomo. Jk na utawala wako mna kesi ya kujibu na ifike hatua sasa mshughulikie matatizo kwa dhati na sio kushutumu chadema wakati ninyi ndo vyanzo vya matatizo na vifo hivi kwa utendaji wenu dhaifu. Swalahili la mgoo tusilihusishe kabisa na siasa
Wewe Njiwa ulitarajia nikakusanye taarifa kijiweni? Nimefanya maeneo tajwa! Kama huamini takwimu nenda kafanye utafiti wako uje na criticsm
Wagome madaktari ashitakiwe Kikwete? Unaakili sana wewe, hata baada ya mahakama kuamuru madaktari warudi makazini?
Kabla ya mgomo kwa kipindi kama hicho huwa kuna vifo vingapi?