Ibrahim Mussa Ndiye Mkurugenzi Mpya wa Utalii Tanzania

AU WAJUVI WA MAMBO YA JIKONI KUNA JAMBO HAMTAKI KULIWEKA WAZI HAPA, MPAKA TUUMIZANE VICHWA?????? MAANA NASKIA KUNA WAKNA FLANI WA MRENGO FLANI WAMEKAMATA VITALU HUKO KWENDA MBELE!??? WEKENI WAZI, ENZI ZA MWALIMU ZA KUOGOPA KUISEMA SERKALI ZMEPITA!!?? Msinikwoti vbaya lkn, najarib kuingia kny vichwa vya wanaotaka tutazame uteuz huu kwa misingi ya dini na rangi....
 
mm cmtaki hata kama ni mtumishi wa siku nyingi,...wanapeleka pesa kwao india hawa....

Ni mtanzania halisi kwao ni Kigoma kwa kumbukumbu zangu aliwahi kwenda India kutibiwa tu na wala sio kwao huyu ni mzalendo halisi . Mimi ni bosi wangu kabisaaaaaaa. Nimefanya nae kazi kwa muda wa miaka mitatu sasa na kabla hajateuliwa kuwa Mkurugenzi kamili alikuwa ni Mkurugenzi Msaidizi katika Kitengo cha Takwimu, Tafiti na Mafunzo ni mtu anasikiliza sana mawazo ya wafanyakazi wa chini na pia uwa anapenda creative people. Personally iam with happy na uteuzi wake wala hauna shaka
 
Ni mtanzania halisi kwao ni Kigoma kwa kumbukumbu zangu aliwahi kwenda India kutibiwa tu na wala sio kwao huyu ni mzalendo halisi . Mimi ni bosi wangu kabisaaaaaaa. Nimefanya nae kazi kwa muda wa miaka mitatu sasa na kabla hajateuliwa kuwa Mkurugenzi kamili alikuwa ni Mkurugenzi Msaidizi katika Kitengo cha Takwimu, Tafiti na Mafunzo ni mtu anasikiliza sana mawazo ya wafanyakazi wa chini na pia uwa anapenda creative people. Personally iam with happy na uteuzi wake wala hauna shaka
mamaaaa tushaumia.......i do not trust these asian kabisaaaaa....hata kama ni boss wako....hawa ponjoro sio wa kuamini arifu......

......kwani hakuna mzawa mweusi mwenye vigezo kuchukua nafasi hio??

..BTW au Mikesh Ambani ka iniatiate uteuzi wake alipokuja serengeti?
 
Huyo Dr Ladislaus Komba ameteuliwa na nani kushika hiyo nafasi ya ukatibu mkuu? na kwanini amemteua mtu ambae sio dini yake jamani? mie nimesikitika sana..................... I am trying to act kama mwana comedy.
Ni upuuzi mtupu ku-judge imani ya mtu kwa msingi wa majina. Tunaamini vipi kwa kuitwa Ibrahim Mussa basi ni muislam? after all haya majina hata kwenye bible yamo na wala Kuitwa Ladislaus haimaanishi ni mkristo. Nachotaka uelewe hapa ni kwamba aliteuliwa na Rais kwa sifa ambazo Rais aliridhika nazo. Vivyo hivyo, kwa mamlaka yake Katibu Mkuu Maliasili amemteua Ibrahim kwa sifa ambazo ameridhika nazo. Kigezo cha udini kinalazimishwa bila sababu za msingi. Vinginevyo kama zipo zisemwe.
 
Bado yupo anauza sura na kuchakachua matokeo

Kama atakuwepo nadhani atakuwa anauendeleza wa muasisi wa haya mambo, jueni haya mambo hayajengi nchi usilam na ukristo hautajenga nchi nchi itajengwa na watanzania wazalendo bila kujali makabila wala dini zao!
 
mamaaaa tushaumia.......i do not trust these asian kabisaaaaa....hata kama ni boss wako....hawa ponjoro sio wa kuamini arifu......

......kwani hakuna mzawa mweusi mwenye vigezo kuchukua nafasi hio??

..BTW au Mikesh Ambani ka iniatiate uteuzi wake alipokuja serengeti?

Okey fine sina la zaidi nimejaribu kukufahamisha ninavyomjua mengine hayo kaa nayo mwenyewe maana sina uwezo wa kukubadilisha kwa hilo unalodhani . All in all mimi namfahamu sana sina shaka na uteuzi wake . Naona rangi inakusumbua sana ndugu lakini kitu unachofanya ni UBAGUZI WA RANGI.
 
Kwako Ndugu Ibrahim Mussa.
Kwanza kabisa nakupongeza kuteuliwa kushika wazifa wa Mkurugenzi wa utalii nchini. Ni nafasi kubwa na nina imani kwa uzoefu wako unaweza kusimamia vema rasilimali hii ya Taifa letu. Nikiwa kama mdau katika sekta hii ningependa nikuongezee machache kwenye majukumu yako.
1. Ufanisi wa kazi TANAPA/NCAA na TTB – Washauri watendaji wa idara hizi wapunguze safari za nje na waelekeze taaluma zao kwenye field. Hawa waheshimiwa safari za nje ni nyingi kuliko safari za kwenda field na ndo maana ziwa manyara linakufa, Serengeti bara bara mbovu na ngorongoro wanyama wanazidi kupotea. It is evident kwamba wanyama sasa hivi ni wa kutafuta Ngorongoro/Serengeti saa nyingine hata ni aibu kwa wageni uliowabeba.
2. TTB wawe na information za kutosha kuhusiana na utalii wan chi hii. Mwaka jana nilitembelea ofisi za TTB na foreigner ambaye alikuwa ana dreams za kuwekeza hapa kwetu. Wakati anatoka kwao US kuja TZ ubalozi wetu wa US ulimshauri afike TTB apate information. Ukweli ni kwamba ofisa tulionana nae hakuwa na information za kutosha kuweza kumu impress investor.
3. TANAPA, NCAA, TTB – Wakubwa wajaribu ku delegate kazi ili wanapokuwa nje ya ofisi shughuli ziendelee kama kawaida. Ilinichukua miaka mitatu kupata lease ya plot ndani ya park sababu tu wakubwa wanakuwa hawapo ofisini. Utaambiwa Dar, Swiss, USA, Europe, Neatherlands.
4. Simamia miundo mbinu ya southern corridor – I know the policy is to promote this circuit but how? Kama hakuna miundo mbinu investor gani atakwenda? Waliopo sasa wanalia sababu wame invest ila hakuna returns. (Serenan, Nomad safaris)
5. Uwazi na ukweli kwenye tender – Kuna kampuni mbili tu zimekuwa zikitengeneza barabara ya ngorongoro miaka yote while their performance is poor. Hii barabara ya kuanzia Loduare gate mpaka golini imekuwa ikitengenezwa throughout the year na ni pesa nyingi sana inapotea kwa ajili yaku i maintain. Barabara imekuwa kero kwa tour operators sababu inauwa magari so it affects the margin.
6. Boresha mfumo wa payments cards. The system is very good if it will work successful sababu itapunguza loopholes. Lakini kuna kero kubwa sana kwenye magate kwasababu system mara nyingi huwa inakuwa down na gate clerks wanakuwa siyo flexible moving to plan B which is cash payments.
7. Review fidia za wafugaji/wakulima – Jaribu kuangalia upya fidia za hawa wananchi wanao ishi maeneo ya jirani na parks. Mfano Tarangire kuna bwana shamba lake la watermelon heka mbili lililiwa na tembo lakini baada ya miezi sita akapata fidia tshs 100,000.
8. KARIBU TRADE FAIR – Hebu tujaribu kuipa uzito hii trade fair kwani sasa hivi imekuwa na potentials nyingi sana karibia na Indaba ya south Africa. The whole of east Africa (five regions) wanatupongeza kwa hii fair. Ila tunaomba serikali iipe uzito especially during the fair in may. Imekuwa iki pick from year to year. Ila serikali haioni kama ni kitu cha msingi. Mwaka jana tuliambiwa ingefunguliwa na Mh Rais/PM/VP and all participants were curious to see the guest of honor but finally no one turned out. Trade fair za wenzetu kama ITB, WTM waziri wa wizara husika anafatilia mpaka day to day logistics
9. Okoa ziwa Manyara – fanya environment audit so as to address the problems which are facing this lake as it’s dying a natural death
10. Boards – Mshauri waziri husika hizi boards zetu wawekwe na stake holders ambao wanaweza wakatoa mawazo chanya kama haya.
Hayo ni mawazo yangu na nina imani idara hizi zina wataalamu wa kutosha hivi tukiwa wazalendo tutasonga mbele.
Asante na kazi njema kaka yangu.
 
huyo dr ladislaus komba ameteuliwa na nani kushika hiyo nafasi ya ukatibu mkuu? Na kwanini amemteua mtu ambae sio dini yake jamani? Mie nimesikitika sana..................... I am trying to act kama mwana comedy.
kweli wewe comedian mbona kila kitu udini humu kuna pepo gani kaingia!!?
 
Wakuu

Jf na vichwa vyote mmefika huku ..kujadili upupu na kuleta mambo ya kiyoyo bila mpango..

Ni Mtanzania...Ndiyo..Je ana sifa?hilo liwe swali ila mara kusema ni muislam ooh kawekwa na nani haisaidii..

Tumefikia sehemu tunahisi kila mtu anyeteuliwa ni mwizi au fisadi..Hell NO...
 
Rangi zetu hizi zinatuponza mkuu wanaona bora mtu mweusi hata asiwe mtanzania kuliko mtanzania mwenye asili ya kiasia kushika nyadhifa serikalini. Kuna mada moja niliiona sehem sehemu ilikuwa ikiuliza mbona siku hizi hakuna watu wa aina kama Ibrahim Musa? Watu walitoa michango yao mingi lakini mimi nasema tunaogopa!

Nina amini kuwa wapo waasia kama Prof Shivji ni watu waadilifu na ndio maana watu hawa waadilifu aghalabu kuwa na post kama za AG watawala huwa wanataka "good boys" mtu kama Shivji sidhani kama anaweza kulishwa maneno au vitu ambavyo "ethics" za kisheria hazimruhusu na akakubali kwa ajili ya kutetea unga wake siamini na nitakufa kutoamini hivyo ingekuwa Shivji ni AG wa wakati wa Mkapa nina imani asingefanya ambayo leo yanaigharimu nchi. Na nina amini wapo Watanzania wasiokuwa wazalendo lakini hakuna anaesema kwakuwa ni tu ni mweusi mwenzao. Hii dhana ya huyu ni mwenzetu "mweusi mwenzetu" haitalipeleka taifa popote huyo mweusi mwenzetu akijinufaisha wewe unanufaika na nini? Eleweni kuwa ikiwa kutatokea shida yoyote basi watanzania waasia na watanzania wamatumbi wote wataionja iwe shubiri au mwarubaini! Kwani mgao wa umeme unakatika kwa waasia peke yao? TAFAKARI.


Real talk
 
Siku akilogwa kugombea ubunge kupitia ccm tu' basi ataambiwa si raia wa Tanzania. keep waiting wakuu!

Hilo mimi lilikuwa swali langu la msingi! Uraia wake kama hauna makando kando na sifa anazo basi hongera zake. Binafsi huwa siwaani sana hawa jamaa, kuna kipindi nilikuwa kwenye short course na Mtanzania mwenye asili ya Oman. Alipokuwa na mimi always alikuwa ni Mtanzania ila akiwa na watu wa mataifa mengine alikuwa akiukana Utanzania na kusema yeye anatokea Oman ama Canada. Jamaa alikuwa na passport 3 ie Tanzania, Oman na Canada.
 
Wakuu

Jf na vichwa vyote mmefika huku ..kujadili upupu na kuleta mambo ya kiyoyo bila mpango..

Ni Mtanzania...Ndiyo..Je ana sifa?hilo liwe swali ila mara kusema ni muislam ooh kawekwa na nani haisaidii..

Tumefikia sehemu tunahisi kila mtu anyeteuliwa ni mwizi au fisadi..Hell NO...
Hell nooo..
sio mtanzania...nakataa....siamini kabisaaa hawa wahindi...ni hatari wametuliza sana hawa jamaa...sio wa kuwaamini nakuambieni..

...jiulizeni....Mukesh Ambani kaja tz...kakutana na waziri wa utalii Maige..wamepiga story siku 3.....jamaa kasema anataka kuwekeza.....leo hii huyu muhindi mwenzie kawa boss utalii.....aaah HELL NOOOOO...\
...Tushaumwa sana na hawa ponjoro....

...msitake kujifanya mnaangalia utanzania sana....tutalizwa tena....kwa kila mkataba au kilio fake tulicholizwa wabongo kuna muhindi....
 
Hilo mimi lilikuwa swali langu la msingi! Uraia wake kama hauna makando kando na sifa anazo basi hongera zake. Binafsi huwa siwaani sana hawa jamaa, kuna kipindi nilikuwa kwenye short course na Mtanzania mwenye asili ya Oman. Alipokuwa na mimi always alikuwa ni Mtanzania ila akiwa na watu wa mataifa mengine alikuwa akiukana Utanzania na kusema yeye anatokea Oman ama Canada. Jamaa alikuwa na passport 3 ie Tanzania, Oman na Canada.
Ur damn right.....

......wengi wezi wanaiba wanakimbilia canada.....wahindi wengi wana passport zaidi ya 2....ganda lenye laana la kitanzania,ya kwako india na eiza canada au uk......tumelizwa.....
 
Okey fine sina la zaidi nimejaribu kukufahamisha ninavyomjua mengine hayo kaa nayo mwenyewe maana sina uwezo wa kukubadilisha kwa hilo unalodhani . All in all mimi namfahamu sana sina shaka na uteuzi wake . Naona rangi inakusumbua sana ndugu lakini kitu unachofanya ni UBAGUZI WA RANGI.
fine.....but thats reality kama hujui......dont trust wahindi....na nakuambia lazima mlizwe nyie vilaza watanzania na huyu ponjoro....wewe unafikiri Ambani alikuja kuuuza nyago siku 3 serengeti?
 
Mkuu post/reply zako nyingi naona huwa zinakaa ki-udini udini na ubaguzi wa rangi ila huwa unaziandika kwa ujanja wa hali ya juu ili usionekane kama wewe ni mdini au mbaguzi wa rangi. Nimeona comment zako jinsi zinavyokuwa negative (hata zile ambazo ni positive huwa unaziandika kama positive lakini zikitoa taswira ya negative) kwa wakristo, na kinyume chake.

Kwa nini umemtaja mkapa hali mambo mengi ambayo wananchi wanalalamikia sasa yametokea kipindi cha awamu ya nne wakati mkapa amemaliza muhula wake mfano hili la Dowans. (Hapa simaanishi kipindi cha mkapa hapakuwa na maovu).

Unapozungumzia masuala ya rangi, wewe kuwa mwarabu kunakusaidi nini na mwingine kuwa mweusi kunakukera nini?

Kuhusu suala la mgawo wa umeme ni kwamba taifa limeingizwa katika matatizo hayo na hao waasia ambao unasema hawawezi kufanya madudu (may be rushwa siyo madudu). Kuhusu kuathirika wao hawayapati hayo madhara kwa sababu wana standby units zinazowazalishia umeme majumbani mwao huku wamatumbi wakitaabika mitaani.

Pamoja tushirikiane kujenga nchi na si kubaguana.
Mkuu huyu jamaa binafsi namkubali sana na ninamuheshimu kinoma! Ila ukikuta post yake au coment yake
yaani huwa nashindwa kumwelewa kabisa! anazungukaaaaa lakini mwisho wa coment huwa simuelewi kabisa.
Hicho ulichomwambia hata mie nilipanga oneday to tell him the same. Ahsante sana!. By the way namkubali sana
Shossi as a good great thinker
 
Back
Top Bottom