Ibrahim Mussa Ndiye Mkurugenzi Mpya wa Utalii Tanzania

PPort_Ibra.jpg


Source:MICHUZI: NEWS ALERT: IBRAHIM MUSSA NDIYE MKURUGENZI MPYA WA IDARA YA UTALII

Du mwenzetu huyu? Mbona kama jamii ya Iran!!!!! Can we connect the dot?!!! Atasaidia sana kufanikisha nyara za serikali .......... zinakotakiwa. Mungu wangu, tumekwishey!!! Who is behind the stake? My observation tu wakuu do not throw a stone to me!! Najua hapa kuna wataalam wa nyaraka, hebu tupate kale kahistoria yake!!! Kuanzia mabibi na wazazi wapi??? Mhhhhhhhh!

 
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Amemteua Ibrahim Mussa Kuwa mkurugenzi wa Idara ya Utalii kwanzia 01 February 2011.Uteuzi Huo Ameufanya kwa Mujibu wa kifungu cha 6 (1) B Cha Sheria ya Utumishi wa Umma Na 8 ya Mwaka 2002
Ibrahimu Mussa (53)ni mtumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii kwanzia Mwaka 1983 hadi sasa ambapo alifanya kazi kwenye ngazi mbalimbali ,katika idara ya misitu na idara ya utalii.kabla ya kuteuliwa kuwa mkurugenzi wa idara ya utalii,Ibrahim Musa alikua mkurugenzi msaidizi anaesimamia utafiti,takwimu namafunzo katika idara ya utalii
Bw ibrahim Mussa Ana Shahada ya Uzamili(international Tourism Management)aliyoipata mwaka 2005 kutoka chuo cha Sheffield nchini uingereza,Bw ibrahim Mussa anachukua nafasi ya Ukurugenzi wa idara ya Utalii kutoka kwa Maria Mmari ambaye amepangiwa kazi nyingine.Habari hii na Tulizo Kilaga -Wizara ya Maliasili na Utalii
Source: Haki Ngowi​

Hpakuwa na mtu mwingine mwenye vigezo zaidi ya huyu? Au ndo vile tena mambo ya ud...i.
 
khaaaaaa.kateuliwa na nani??? hivi jamani??? mi sielewi ...nikisema ntaonekana mdini..Ibrahimu Mussa huyu ni dini ile ya rais au?
udini udini udini udini,hatutafika kabisaaaaaaa,aliyekuwepo awali alikuwa ni maria mmari hatutegemei watu kuhoji juu ya hili,ila wa sasa ni ibrahim mussa najuwa tutahoji kwanini,tunajimaliza wenyewe,natamani wewe bwana ufe na kizazi chako ili hii sumu ya udini ipoteeeeeeeee kabisaaaaaa ktk familia yakooooo

msemaaaaa ukweliiiii hapendwiiii daimaaaaaa:clap2:
 
tatizo ukiumwa na nyoka hata jani utalikimbia

hahahahahahahahahahahahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, hakyanan tutaonana wabayaaaaa.. Huko twendako sjui. Akinogewa akaingia kwa siasa tu, na akakanyaga pabaya, basi swala la uTanzania sio rangi au haki ya kuzaliwa mipakani na bado kubaki mTanzania tutasahau kabisa....
 
Naomba nianze kwa kupingana tena kwa sauti kubwa na wale wote wanaohoji juu ya Uraia wa Musa. Binafsi namfahamu kwa kiwango cha kumtetea. Musa ni MZALENDO WA KWELI, mwenye UTANZANIA WA ROHONI na si wa kwenye NGOZI. Ni mtu asiyejikweza (extremely social). Nikiwa kama mdau katika wizara husika, kwa miaka kama mitatu mfululizo nahudhuria the Meeting of Executives wa MNRT. Ripoti za utendaji wa Musa zimekuwa hazina mawaha wala uswahili. Hata shauri zake kwenye mikutano hiyo mara zote zinakuwa na mtazamo wa Kizalendo na Kimaendeleo. Binafsi ningefarijika tupate watu wengi wa jinsi ya Musa wanakubali kuingia serikalini na kulitumikia Taifa kwa Uadilifu Mkubwa. Mungu amwongoze vema katika nafasi yake mpya.
Namkubali kwa ajili yako maana najua huwezi kutudanganya hapa! Ole wako aje ki Rost tamu Aziz
 
Rangi zetu hizi zinatuponza mkuu wanaona bora mtu mweusi hata asiwe mtanzania kuliko mtanzania mwenye asili ya kiasia kushika nyadhifa serikalini. Kuna mada moja niliiona sehem sehemu ilikuwa ikiuliza mbona siku hizi hakuna watu wa aina kama Ibrahim Musa? Watu walitoa michango yao mingi lakini mimi nasema tunaogopa!

Nina amini kuwa wapo waasia kama Prof Shivji ni watu waadilifu na ndio maana watu hawa waadilifu aghalabu kuwa na post kama za AG watawala huwa wanataka "good boys" mtu kama Shivji sidhani kama anaweza kulishwa maneno au vitu ambavyo "ethics" za kisheria hazimruhusu na akakubali kwa ajili ya kutetea unga wake siamini na nitakufa kutoamini hivyo ingekuwa Shivji ni AG wa wakati wa Mkapa nina imani asingefanya ambayo leo yanaigharimu nchi. Na nina amini wapo Watanzania wasiokuwa wazalendo lakini hakuna anaesema kwakuwa ni tu ni mweusi mwenzao. Hii dhana ya huyu ni mwenzetu "mweusi mwenzetu" haitalipeleka taifa popote huyo mweusi mwenzetu akijinufaisha wewe unanufaika na nini? Eleweni kuwa ikiwa kutatokea shida yoyote basi watanzania waasia na watanzania wamatumbi wote wataionja iwe shubiri au mwarubaini! Kwani mgao wa umeme unakatika kwa waasia peke yao? TAFAKARI.

Mkuu post/reply zako nyingi naona huwa zinakaa ki-udini udini na ubaguzi wa rangi ila huwa unaziandika kwa ujanja wa hali ya juu ili usionekane kama wewe ni mdini au mbaguzi wa rangi. Nimeona comment zako jinsi zinavyokuwa negative (hata zile ambazo ni positive huwa unaziandika kama positive lakini zikitoa taswira ya negative) kwa wakristo, na kinyume chake.

Kwa nini umemtaja mkapa hali mambo mengi ambayo wananchi wanalalamikia sasa yametokea kipindi cha awamu ya nne wakati mkapa amemaliza muhula wake mfano hili la Dowans. (Hapa simaanishi kipindi cha mkapa hapakuwa na maovu).

Unapozungumzia masuala ya rangi, wewe kuwa mwarabu kunakusaidi nini na mwingine kuwa mweusi kunakukera nini?

Kuhusu suala la mgawo wa umeme ni kwamba taifa limeingizwa katika matatizo hayo na hao waasia ambao unasema hawawezi kufanya madudu (may be rushwa siyo madudu). Kuhusu kuathirika wao hawayapati hayo madhara kwa sababu wana standby units zinazowazalishia umeme majumbani mwao huku wamatumbi wakitaabika mitaani.

Pamoja tushirikiane kujenga nchi na si kubaguana.
 
Hpakuwa na mtu mwingine mwenye vigezo zaidi ya huyu? Au ndo vile tena mambo ya ud...i.

Yaani nyie sijui tusemeje? Kwani ulidhani alinyanyuliwa tu kutoka mbinguni akawekwa utalii? Ushaambiwa alianza kazi since 1982 na nadhani walikuwa wawili au watatu waliokuwa katika kufikiriwa ndio yeye akafanikiwa but kama kawaida baadhi yenu umelenga katika udini. Nikuulize wewe kule TBC hapakuwa na wengine wa kuteuliwa zile nafasi? au na waislamu nao walenge katika ud....i
 
mm cmtaki hata kama ni mtumishi wa siku nyingi,...wanapeleka pesa kwao india hawa....
 
Waarabu wote watakuja kukatiwa vitalu loliondo zingine zitazalishwa hadi tukomee
 
Yaani nyie sijui tusemeje? Kwani ulidhani alinyanyuliwa tu kutoka mbinguni akawekwa utalii? Ushaambiwa alianza kazi since 1982 na nadhani walikuwa wawili au watatu waliokuwa katika kufikiriwa ndio yeye akafanikiwa but kama kawaida baadhi yenu umelenga katika udini. Nikuulize wewe kule TBC hapakuwa na wengine wa kuteuliwa zile nafasi? au na waislamu nao walenge katika ud....i

Huyu hana elimu na vigezo kuwashinda hao walioachwa. Nawafahamu wako wengi sana hapo tena wenye shahada za uzamivu siyo ya huyu ya uzamili ya kuipata uzeeni.

Kama unahitaji fairness duniani, na wewe nenda India omba uraia uzae watoto huko halafu uone wakikua kama wanaweza kupewa post yoyote serikalini au hata makampuni binafsi licha ya kuwa na vigezo. Sisi tu ndio tumerogwa.
 
udini udini udini udini,hatutafika kabisaaaaaaa,aliyekuwepo awali alikuwa ni maria mmari hatutegemei watu kuhoji juu ya hili,ila wa sasa ni ibrahim mussa najuwa tutahoji kwanini,tunajimaliza wenyewe,natamani wewe bwana ufe na kizazi chako ili hii sumu ya udini ipoteeeeeeeee kabisaaaaaa ktk familia yakooooo

msemaaaaa ukweliiiii hapendwiiii daimaaaaaa:clap2:

Aanze kufa aliyeanzisha huu udini. Mnamfahamu huyo.
 
Conspiracy mshaanza yaani watanzania sie matatizo sasa kama yupo kulinda maslahi hebu tuchambulie maelezo haya:-

Ibrahim A. Mussa (53) ni mtumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii tangu mwaka 1982 hadi sasa na alifanya kazi ngazi mbali mbali katika idara ya misitu na utalii

Source: Michuzi.

Swali langu kama amewekwa je huo mpango ulianza lini? Maana huyu jamaa alianza kazi tangu enzi za nyerere sasa je Nyerere ameshiriki? Na inaelekea alianza tangu ngazi za chini mpaka sasa kaukwaa ukurugenzi je ni vibaya mtu akiwa promoted?

Inawezekana na mchapa kazi. Mimi naamini hivyo. Tatizo ni moja tu kwamba mtu anaweza kuwa na historia iliyotukuka, mwadirifu na mchapa kazi lakini akishaingia kwenye mfumo uliooza naye anaingia kuoza. Kama alizoea kufanya kazi kwa uhuru bila vikwazo wakato akiwa kwenye ngazi za chini asitarajie kuwa mambo yataendelea hivyo hivyo. Lazima sasa akae mkao wa kukabiliana na fedha za mafisadi.
 
Huyu hana elimu na vigezo kuwashinda hao walioachwa. Nawafahamu wako wengi sana hapo tena wenye shahada za uzamivu siyo ya huyu ya uzamili ya kuipata uzeeni.

Kama unahitaji fairness duniani, na wewe nenda India omba uraia uzae watoto huko halafu uone wakikua kama wanaweza kupewa post yoyote serikalini au hata makampuni binafsi licha ya kuwa na vigezo. Sisi tu ndio tumerogwa.

Kuwa na PhD sio kigezo cha kutaka wewe uteuliwe ukurugenzi kama huna experience ya kutosha. Kama lijitu lina PhD ya misitu na kakaa ofisini mwaka mmoja unadhani ni bora zaidi ya yule mwenye Masters na amefanya kazi katika ofisini miaka 25?? Wake up ndugu.
 
Kuwa na PhD sio kigezo cha kutaka wewe uteuliwe ukurugenzi kama huna experience ya kutosha. Kama lijitu lina PhD ya misitu na kakaa ofisini mwaka mmoja unadhani ni bora zaidi ya yule mwenye Masters na amefanya kazi katika ofisini miaka 25?? Wake up ndugu.

Mkuu kama mtu ana PhD 5 za hisani yaani zile za kupewa kiheshima heshima hata kama hastahili anafaa kuwa raisi?
 
Inawezekana na mchapa kazi. Mimi naamini hivyo. Tatizo ni moja tu kwamba mtu anaweza kuwa na historia iliyotukuka, mwadirifu na mchapa kazi lakini akishaingia kwenye mfumo uliooza naye anaingia kuoza. Kama alizoea kufanya kazi kwa uhuru bila vikwazo wakato akiwa kwenye ngazi za chini asitarajie kuwa mambo yataendelea hivyo hivyo. Lazima sasa akae mkao wa kukabiliana na fedha za mafisadi.

Gosbert,

Suala la uadilifu ni subjective kwani linatokana na vipengele vya kwako unavyovijudge mtu ni muadilifu. Nadhani apewe nafasi afanye kazi ndipo tumtuhumu kuwa muadilifu au la. Vilevile kuna watu wamefanya nae kazi wanasema mchapakazi na mtu muadilifu je wewe unazo tuhuma za kusema huyu bwana fisadi? Mwenye data atupe basi venginevyo itakuwa ni chuki binafsi tu na mie sikubaliani na upuuzi huo.
 
Mkuu kama mtu ana PhD 5 za hisani yaani zile za kupewa kiheshima heshima hata kama hastahili anafaa kuwa raisi?

Mkuu tumempa uongozi wa uwaziri mkuu Dr Salim Ahmed Salim na ana PhD za heshima na aliyempa ni nyerere sasa sembuse sasa tunampa JK urais???? Nadhani unauliza swali gumu mie kulijibu but ukweli unabaki pale pale kuwa na PhD kama jamaa alivyodai kuna wengine wanasifa zaidi yake hakumaanishi kuwa wao ni bora zaidi ya bwana Ibrahim A. Mussa cha muhimu ni elimu na experience ya kutosha.
 
Back
Top Bottom