Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
umeenda far.shule co jela shemWewe kama mtoto unatakiwa kutanguliza kitabu!
umeenda far.shule co jela shemWewe kama mtoto unatakiwa kutanguliza kitabu!
Inatokea kama wale wabushi wana nyama zaidi!Minafikiri ule msemo wa wenzetu "a bird in hand is better than two in the bush"ndio unafanya watu wakajikuta wanamahusiano ya maigizo tu baadaye wale two in the bush wakitokea a bird in hand anaachwa wakati kesha nyonyolewa mabawa hata kuruka hawezi tena.Cha msingi kuwa makini not kukurupuka tusijejikuta tuko ndani ya hollywood ya mapenzi.
Mbona kasema yuko singo na katoka kunywa chai hapa kwangu muda si mrefu ?Uporoto01 huyu Michelle ni wangu usiongee sana asee
Uporoto01 huyu Michelle ni wangu usiongee sana asee
Mbona kasema yuko singo na katoka kunywa chai hapa kwangu muda si mrefu ?
Dah hii thread ina mambo muhimu na ya msingi sana!!
Elimu nzuri LIZZY, ubarikiwe!!