Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,805
- 59,285
Mara nyingi hua inatokea kwamba watu wanaona/chukulia vitu zaidi ya vilivyo (READING TOO MUCH INTO SOMETHING).
Kwenye mapenzi mara nyingi tunalalamika ''nilidhani ananipenda sasa inakuaje ananiacha mimi kwaajili ya mwingine??...Inakuaje ananiacha tu bila hata sababu??Mbona sijamkosea chochote???''
Ukweli ni kwamba wakati mwingine mtu anakua na wewe sio kwamba anakupenda sana bali anakua na hitaji la kua na mtu karibu.....na hata kama katika hali ya kawaida wewe usingekua chaguo lake la kwanza anaamua kua na wewe kwasababu uko pale karibu na tayari.
Kama ambavyo wadada wengine hua wanaassume mkaka anamtaka kwasababu tu he is being nice and kind......au kwa wakaka (baadhi) mdada anajilengesha kisa tu kakukumbatia au kakualika mlo kwake au sijui kakupa zawadi ndivyo ambavyo wakati mwingine hua tunaasume tunapendwa hata kama hatujaambiwa!!!
Unaweza kujikuta kwenye mahusiano mazuri ajabu...hamna kugandana wala kusumbuana kwa wivu....yet kila mmoja anaoneysha kujali kiasi kwamba mtu unaona hapa nimefika!!!Siku mwenzako akiona upweke wake umeisha anakuangusha kama mkaa wenye moto wewe unabaki uking'aa macho!!!
Newayz nnachojaribu kusema ni kwamba wakati mwingine hua tunajiumiza wenyewe kwa kufanya kitu kidogo kua kikubwa bila uhakika....inabidi tuanze kuchukulia mambo kirahisi kwa kiasi flani pale tunapoanza mahusiano mpaka uone kama kweli mwenzako anaelekea unapofikiria kabla ya kutoa moyo wako wote!!!!
Nawakilisha!!!
Kwenye mapenzi mara nyingi tunalalamika ''nilidhani ananipenda sasa inakuaje ananiacha mimi kwaajili ya mwingine??...Inakuaje ananiacha tu bila hata sababu??Mbona sijamkosea chochote???''
Ukweli ni kwamba wakati mwingine mtu anakua na wewe sio kwamba anakupenda sana bali anakua na hitaji la kua na mtu karibu.....na hata kama katika hali ya kawaida wewe usingekua chaguo lake la kwanza anaamua kua na wewe kwasababu uko pale karibu na tayari.
Kama ambavyo wadada wengine hua wanaassume mkaka anamtaka kwasababu tu he is being nice and kind......au kwa wakaka (baadhi) mdada anajilengesha kisa tu kakukumbatia au kakualika mlo kwake au sijui kakupa zawadi ndivyo ambavyo wakati mwingine hua tunaasume tunapendwa hata kama hatujaambiwa!!!
Unaweza kujikuta kwenye mahusiano mazuri ajabu...hamna kugandana wala kusumbuana kwa wivu....yet kila mmoja anaoneysha kujali kiasi kwamba mtu unaona hapa nimefika!!!Siku mwenzako akiona upweke wake umeisha anakuangusha kama mkaa wenye moto wewe unabaki uking'aa macho!!!
Newayz nnachojaribu kusema ni kwamba wakati mwingine hua tunajiumiza wenyewe kwa kufanya kitu kidogo kua kikubwa bila uhakika....inabidi tuanze kuchukulia mambo kirahisi kwa kiasi flani pale tunapoanza mahusiano mpaka uone kama kweli mwenzako anaelekea unapofikiria kabla ya kutoa moyo wako wote!!!!
Nawakilisha!!!