Huyu mwekezaji apigwe marufuku

Hizo nimeshuhudia pia. Ni sehemu YA ajira na haipingwi kiporojo kama mnavyotaka kufanya. Hakuna wanaolazimishwa. Tena wanagombania kumbeba sababu kuna tips.
 
Jaman eeeh, msipasue vichwa bure. Hii haijawahi kutokea tangu awam ya kwanza, ya pili wala ya tatu. Ni awamu hii hii ilosema, Maisha Bora kwa kila Mtz. Hapo kumetokea fursa ya ajira na wakakutana na kibopa mwanye nazo. Kawaambia, nibebeni mpaka kuleee tulipoliacha gari niwalipe hizoooo. Huoni wanavyo kimbilia wenyewe?
Mnapouliza kampuni iko wapi, mwataka nanyi kwenda kujiunga hapo?? Huyo mgeni kishaondoka, mngojeni mwakani tena. Hili ni janga la kitaifa, uchizi ndo fasheni hapa. Wawezaje weye kujitia utumwani mchana peupe? Ka ni hiyo mihela yake, ale mwenyewe ila si kunilipa kihivyo

Bwana Mangatara pengine nami nikuunge mkono katika hili ila kama hawalazimishwi na mwajiri wao kufanya hivyo na kwamba hawapewi malipo ya ziada na mwajiri kwa kufanya ubebaji huo wa machela. Nijuavyo mimi kwenye camps zote hizo machela zinakuwepo kuwarudisha watalii wanaoshindwa njiani, kuugua njiani wakati wa kupanda mlima au kurudi na kwa kuwa gari haziwezi kuwafuata basi waongozaji na wabeba mizigo wao hufuata machela kambini na kuwasaidia. Kwa suala hili kwa kuwa bado wapo kambini yawezekana ni makubaliano binafsi ya watalii na hao porters ambao kwao ni fursa ya kujiongezea kipato. Leo hii hata wewe ukitaka wa kukubeba kwenye machela kukupeleka kokote ni kutangaza pochi tu na kazi inafanyika na hapo hutakuwa umevunja sheria yoyote. Utakuwa umevunja sheria kama hutawalipa wabebaji kufuatana na makubaliano. Hizo ndizo fursa kwani hizo ajira na hata vibarua vya kufanywa na vijana ziko wapi?
 
Hapana mkuu kampuni ya tour guide inafanya shughuli zake hapa nchini na makao yao makuu ni mkoa mmoja wapo kati ya kilimanjaro au arusha

Acha kuaminisha watu uongo.Hamna kampun yenye jina hilo Arusha na Moshi.
Umeokota picha umeitungia story! !! Shem on you.
 
Katika hali isio kuwa ha kawaida na iliowashangaza wengi kampuni ya tour guides imeanza kuwa beba wageni wake wanao tembelea mbuga kupitia kampuni hiyo ,ubebaji huwo ambao machela hutumika kama picha inavyoonyeshaView attachment 230287 umelaaniwa vikali na jumuiya mbali mbali za haki za binadamu, hali Hii pia imeikasirisha serikali kupitia wizara ya mali asili na utalii na kupitia msemaji wake wana azimia kupiga marufuku utoaji huo wa huduma ya biashara, kwani ni udhalilishaji pia unashiria vitendo vya utumiwa, na baadhi ya wanachi wamedai hayo Ni baadhi tu ya mambo mabaya wafanyayo baadhi ya wawekezaji kwa wazawa hapa nchi

Tuliambiwa hii ni Uganda na eneo husika ni kupanda mlima kwa ajili ya Gorila trekking ! Ukiangalia walio bebwa ni wazee ! sasa mleta mada mbona unaleta yasiyo kuwepo !?
 
Sasa huku ni kupiga ramli.........Kwani ukiitaja hiyo kampuni nani anakujua humu.........?......tour companies Arusha na Moshi zipo nyingi sana.........huoni kama ukiiweka wazi utawasaidia waTanzania wenzako ambao wananyanyasika na ukoloni mamboleo.........?......kama hutaki kuitaja umeandika ya nini hii thread.........?

ndugu zangu, huyu tamimusalim ni mmojawapo wa wanyarwanda(watutsi)-watanzania waliofungua ID nyingi nyingi na kujaza upu.uzi wao hapa JF kuikandia Tanzania. Msidanganyike na thread zao zinazojifanya kuelezea matatizo ya Tanzania kama kumbe ni stori tu za kutunga ili nchi yetu tuione mbovu, mara atadai kavamiwa na vibaka mchana, mara atadai sijui polisi kafanyaje, yote hiyo ni kutaka wabongo waone nchi yao mbaya kupita kiasi (ingawa kweli tuna mapungufu). walianza kuibuka wakati ule Tanzania ilipowachapa ndugu zao M23 kule DRC. hasira zao zikahamia mtandaoni. Kuweni makini na ID nyingi hasa za kuanzia 2013 na chache za nyuma ya hapo zenye thread za ajabu ajabu kama hizi zisizo na ushahidi wala mashiko kuhusu nchi yetu. Mkiziona zipotezeeni tu. Nazifahamu fika hizi ID kwa sababu huwa tunabishana nazo sana kule international forum.
Ukweli wa habari hii ni huo hapo chini, wewe tamimusalim lete jina la hiyo kampuni hapa bongo hata branch yake tu, kama kweli wewe mkweli, vinginevyo shame on you MENDE mkubwa wewe!

SLAVE TRADE ALERT? PORTERS IN BWINDI FOREST CARRY TOURISTS ACROSS THEIR SHOULDERS

Uganda Wildlife parks marketed this as a service to be enjoyed from their premium package.The tourists are allowed to view the gorillas in the comfort of chairs perched on African porters.Sad,so sad!

source: Welcome to the Grace Nafuna Blog.

cc:
Ally Kombo nyumba kubwa Ngongo JustDoItNow Geza Ulole JokaKuu achiwaya mimi mkaliCopenhagen DN Eeka Mangi Kikalove KASHOROBANA

oneni hawa eti wameshuhudia kabisaaa, watu wabaya kweli kweli hawa, ndio maana hawaishi kuchinjana hovyo makwao. wameshuhudia vipi na ishu ni uganda?

Hizo nimeshuhudia pia. Ni sehemu YA ajira na haipingwi kiporojo kama mnavyotaka kufanya. Hakuna wanaolazimishwa. Tena wanagombania kumbeba sababu kuna tips.

Jaman eeeh, msipasue vichwa bure. Hii haijawahi kutokea tangu awam ya kwanza, ya pili wala ya tatu. Ni awamu hii hii ilosema, Maisha Bora kwa kila Mtz. Hapo kumetokea fursa ya ajira na wakakutana na kibopa mwanye nazo. Kawaambia, nibebeni mpaka kuleee tulipoliacha gari niwalipe hizoooo. Huoni wanavyo kimbilia wenyewe?
Mnapouliza kampuni iko wapi, mwataka nanyi kwenda kujiunga hapo?? Huyo mgeni kishaondoka, mngojeni mwakani tena. Hili ni janga la kitaifa, uchizi ndo fasheni hapa. Wawezaje weye kujitia utumwani mchana peupe? Ka ni hiyo mihela yake, ale mwenyewe ila si kunilipa kihivyo
 
Nadhani ukiangalia aina ya misitu sio ya mbuga zetu za arusha au kilimanjaro. Hii sio hapa kwetu
 
Katika hali isio kuwa ha kawaida na iliowashangaza wengi kampuni ya tour guides imeanza kuwa beba wageni wake wanao tembelea mbuga kupitia kampuni hiyo ,ubebaji huwo ambao machela hutumika kama picha inavyoonyeshaView attachment 230287 umelaaniwa vikali na jumuiya mbali mbali za haki za binadamu, hali Hii pia imeikasirisha serikali kupitia wizara ya mali asili na utalii na kupitia msemaji wake wana azimia kupiga marufuku utoaji huo wa huduma ya biashara, kwani ni udhalilishaji pia unashiria vitendo vya utumiwa, na baadhi ya wanachi wamedai hayo Ni baadhi tu ya mambo mabaya wafanyayo baadhi ya wawekezaji kwa wazawa hapa nchi
una tatizo gani we mbwigambwiga? Kagame hajakunnyongelea mbali?
 
Hii nimeshuhudia kwenye camp moja Moshi kwa wapanda mlima. Wanafanya kama part ya fun kwa WAGENI wao. Hasa baada YA kushuka mlima. So tusishangae.
 
Hii nimeshuhudia kwenye camp moja Moshi kwa wapanda mlima. Wanafanya kama part ya fun kwa WAGENI wao. Hasa baada YA kushuka mlima. So tusishangae.

Taja jina la camp usituletee umbea hapa.Mimi napanda mlima kilimanjaro toka mwaka 2004, sijawai kuona kitu kama inavyoonekana kwenye iyo picha
 
Back
Top Bottom