fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 355
- 51
Wanaume wenzangu..kweli kiasi kikubwa cha wachangiaji wanasema kuwa mke nyumbani huwa kisababishi kikubwa kwa wao kutoka nje ya ndoa.
Mke mwenye maneno mengi,mkali,ukifika hom toka dili mapokezi adimu..hakuulizi umeshindaje.usiombe boss akupe overtime.ujiandae kusema wapi umechelewa.
Sasa basi.huyu mama mwenye nyumba ana qualities zote.mapokezi utazani uko kwa small house.mnayajua mapokezi ya aina hio kwani wengi mmeyafagilia..mke kamfumania mumewe na mke wa jirani mara si moja.anachofanya ni kulia weee na kumwambia mumewe nimekusamehe ila usirudie mume wangu.
Mume akichelewa nje wala hatamkosa mkewe kwa nyumba.na wa wala hakuna dalili zozote kuwa mama huyu ana serengeti boy anaemfariji.
Sasa jamaa wasiwasi wake ni kuwa hajui hasira ya mkewe ikilipuka itakuwa vipi..ni sumu ataekewa kwa chakula? Atachomwa maji moto ama kuchomekwa kisu akiwa usingizini?...yani kwa kifupi,jamaa hajawahi kuona mkewe akimkaripia kwa makosa yote atendayo..nawasilisha.
Mke mwenye maneno mengi,mkali,ukifika hom toka dili mapokezi adimu..hakuulizi umeshindaje.usiombe boss akupe overtime.ujiandae kusema wapi umechelewa.
Sasa basi.huyu mama mwenye nyumba ana qualities zote.mapokezi utazani uko kwa small house.mnayajua mapokezi ya aina hio kwani wengi mmeyafagilia..mke kamfumania mumewe na mke wa jirani mara si moja.anachofanya ni kulia weee na kumwambia mumewe nimekusamehe ila usirudie mume wangu.
Mume akichelewa nje wala hatamkosa mkewe kwa nyumba.na wa wala hakuna dalili zozote kuwa mama huyu ana serengeti boy anaemfariji.
Sasa jamaa wasiwasi wake ni kuwa hajui hasira ya mkewe ikilipuka itakuwa vipi..ni sumu ataekewa kwa chakula? Atachomwa maji moto ama kuchomekwa kisu akiwa usingizini?...yani kwa kifupi,jamaa hajawahi kuona mkewe akimkaripia kwa makosa yote atendayo..nawasilisha.