Anakuja Yesu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 564
- 485
Huyo ni mke wa mtu,muache na acha kumsaidia,maana unavo endelea kumsaidia anazidi kumdhalilisha mwanaume wake.
~Kumbuka yale unayotaka utendewe uwatendee wengine,maana maisha ni kupanda na kushuka,wewe muoe halafu uchumu wako ukija yumba atapata mtu nje na atakutangaza na kukudharau km mara 70 ya huyo mwenzio
~Huyo dada muogope km ukoma
~Kumbuka yale unayotaka utendewe uwatendee wengine,maana maisha ni kupanda na kushuka,wewe muoe halafu uchumu wako ukija yumba atapata mtu nje na atakutangaza na kukudharau km mara 70 ya huyo mwenzio
~Huyo dada muogope km ukoma