Mfalme Akili
Member
- May 28, 2017
- 88
- 55
- Thread starter
- #21
Sawa mkuuEpuka sana huyo chuma ulete..! Maandiko yanasema afanyae zinaa hana akili kabisa..
Sawa mkuuEpuka sana huyo chuma ulete..! Maandiko yanasema afanyae zinaa hana akili kabisa..
Asante kwa ushauri nitaufanyia kaziHili nalo lakushinda mkuu, kaa nae mbali.... Tena mbali kabisa, kabla hamjaonana alikuwa aishije labdaa.... Huyo kakupendea fedha kama Huamini anza kumdanganya Uchumi wako umeyumba na hali ni mbaya kama hajakimbia!!!!
Kaa nae mbali hiyo huruma itakuponza hata ukimuoa siku ukifulia atakukimbia hafai kuwa mke, na kaonyesha Hilo kwa kumtukana kwako mumewe kisa eti hapewi huduma za kiuchumiNimeshajaribu kumpotezea but hua anatumia weakness yangu ya huruma kwa yule mtoto wake, akiwa na tatizo haki nashindwa kujizuia nisimsaidie.
Poa mkuu, thanks kwa ushaurimchane live boya huyo mwanamke...mwambie hata wewe ukiwa nae na uchumi wako ukayumba atakukimbia kama anavyo taka kumkimbia huyo mme wake.....Mwambie aangalia ni kwa jinsi gani atamsadia mume wake awe njema kiuchumi.
Kabisa! asante kwa ushauriKaa nae mbali hiyo huruma itakuponza hata ukimuoa siku ukifulia atakukimbia hafai kuwa mke, na kaonyesha Hilo kwa kumtukana kwako mumewe kisa eti hapewi huduma za kiuchumi
Umenena kweli nduguDaah wanawake hawa, yupo tayari kumsaliti mumewe kisha kapata changamoto za maisha, ushaur wa bure usithubutu kumla uyo mwanamke, maana utaandamwa na laana kubwa! Mshinde shetani bro
Kumpotezea nimejaribu ila ni msumbufu sana kwenye simu, mara nyingi huniambia shida kuhusu mtoto wake, huruma huniingia kumsaidia mtoto. Yan kuachana nae ni labda nibadili contacts kabisaAchana nae bwana yani unashindwaje kwa mfano?????????????
kweli ndugu, nitakaza roho nitakata kamba....yaani cku zote too much is harmful.... Umzidisha toa msaada .....taratibu unaingia au umeshaingia kuwa sehemu ya tatizo lake ....kitu ambacho nikosa kubwaaa!...ok ikitokea jamaa ake akapata kazi na kipato kikubwa kuliko ww itakuaje?.......hpo ww kata kamba najamaa cku a gundua je!... Afu kumbuka naww ndo unasababisha jamaa azid kuzaraulika maana ucpofanya ww unazan wataangamia? Jitoe ktk hatari hyo cku zote usiruhusu wala kumpa mke wa mtu nafasi ya kukuambia matatizo yake na bwana ake kinachofata baada ya hapo.... Ni hicho kinachokutokea ww sahiz ...zen itamalizia naww kuingia ktk majuto makubwa ....ndio picha kama lako dizain linavyoisha
Block namba yake aisee kuna siku utapatwa na mazito ushindwe kurudi kuleta mrejeshoKumpotezea nimejaribu ila ni msumbufu sana kwenye simu, mara nyingi huniambia shida kuhusu mtoto wake, huruma huniingia kumsaidia mtoto. Yan kuachana nae ni labda nibadili contacts kabisa
ni kweli kabisaUmenikumbusha wale masista duu wa secondary walivyokua wanaringa ila sasa hivi mwana adabu kama nini tukikutana...anyway hapo mzee baba anataka pesa mwenyewe ameshakawambia mumewe kashindwa kumhudumia hivyo hata akija kwako iko Siku utashindwa kumhudumia atatafuta schoolmate mwingine and the apostasy goes on and on
Ndoa na iheshimiwe.Alicho kiunganisha Mungu binadamu asikitenganishe,
Duh! mkuu maisha yangu watu wengi wamechangia kunisaidia mpaka nimefanikiwa kimaisha, na mimi namsaidia mtu yeyote kwa kadri ya uwezo wangu paspo kuangalia jinsia, dini wala kabila.We mleta post hivi angekuwa mwanaume mwenzako ndo ana shida ivyo ungeweza msaidia kumpa mpa ivyo vijisenti? ?